Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Sasa mtu si ndo wewe bro au?
Eve nilishachoka mda sana, kabinti kanahitaji mtu fresh kabisa. Mbona ni kazuri sana, kwa zile picha kule kana shape nzuri japo reception na tabia hatujui...🀣🀣

Au financial services akipata mchuchu anabana sana, hatoi!πŸ˜€ Wanaume wa leo wanataka kuonja kabla ya kuweka ndani.
 
Usikute wa kwake alishamkataa kitambo sababu hana gari, nyumba wala kazi ya kueleweka.
 
NiPM tuyajenge me mhanga mwenzio
 
Hapo kwenye reception ndiyo shida ilipo mkuuπŸ™„πŸ˜€ na siwezi kubadilisha chochote sasa
 
Ahsante sana japo sometimes nafikiria sana, ila najitahidi kutokua desparate sana
 
Shake well before use ni muhimu......
 
🀣🀣🀣 mwanamke akikuzidi pesa akakuzidi na akili umekwisha......
Mwenyew ata sijisumbui mtaishia kusema mnatafuta wachumba mitandaoni kwa kuweka vigezo hivi huwa mnafanikisha tofauti na unapotongozwa apo apo🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…