cumbamalema
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 366
- 820
- Thread starter
-
- #121
Nikutoe wewekutoa kafara na kuchukuana misukule sio poa kabisaa ndrugu zango no fear no hate 🐒
Wakati mwingine kwenye andilko lako andika; 'Kurithishwa' na sio 'kulisishwa'. Pia, usiandike; 'Kuludi ludi', ila andika; 'kurudi rudi'Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
apostle haiwezekani 🐒Nikutoe wewe
Vipi unaona kama hadithi ya kutunga? Ok Najalibu kuionyesha jamii maisha ya giza inayoyapitia ya uchawi,Wakati mwingine kwenye andilko lako andika; 'Kurithishwa' na sio 'kulisishwa'. Pia, usiandike; 'Kuludi ludi', ila andika; 'kurudi rudi'
Pia, naomba kuuliza kuhusu hii mada yako; Wewe umeyajuaje yote haya? Kwanba uliupata wapi uzoefu huu uliotuelezea?
Mwisho; umepata faida gani kwa hivi umeyajua haya yote uliyotuelezea?
Ova
Huna baya kubaliapostle haiwezekani 🐒
Uwandishi wako wa kushindwa kutofautisha L na R. Nimesoma naona kichefu chefu kwa kushindwa kutofautisha hizo herufi.Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Sema wewe ni kati ya wachawi wakubwa, sasa unaogopa kuona siri zenu zinawekwa hadharani,grand fiticel voçeUwandishi wako wa kushindwa kutofautisha L na R. Nimesoma naona kichefu chefu kwa kushindwa kutofautisha hizo herufi.
kama wachawi wangetumia uchawi katika maendeleo,basi Africa ingekuwa mbali sanaWaafrika tunaamini katika dini na uchawi, wazungu huamini practical science
Unajua wazungu walipofika barani Africa, kwanza walihakikisha wanakata connection kati ya mtu mweusi na mababu zetu waliotutangulia kupitia dini. Tungekua na mawasiliano Bado, huu uchawi ndio ungetupeleka mbali. Hawa wangetupa knowledge za kichawi kupitia ndoto juu ya nini Cha kufanya katika material world. Wao wazungu Bado Wana connection na Newtown, Plato, Tesla. Ila huku kwetu wangetuambia kwamba hiyo ni miungu.kama wachawi wangetumia uchawi katika maendeleo,basi Africa ingekuwa mbali sana
Ameloowa.. amenyeesheewa na mvua..Asifuye mvua ..............................................
Kwanini Lindi na mtwara Kuna umaskini mkubwa na wakutopea?!Imani potofu za kishirikina na uchawi ni utumwa wa fedheha na kimaskini sana dah 🐒
Mimi nashindwa kuelewa mchawi asijijue kwamba, yeye ni mchawi, kwani maana ya uchawi nini?Unajichanganya. Mleta mada unazungumzia uchawi na siyo imani wala ulozi.
Unaweza ukawa mchawi na usijijue kama wewe ni mchawi, lakini unaweza ukawa na imani ya Kikristo na ukajijua kwamba wewe ni Mkristo.
Wali ita "DARK CONTINENT" bara lenye Giza with no history, no technology, no any development..Unajua wazungu walipofika barani Africa, kwanza walihakikisha wanakata connection kati ya mtu mweusi na mababu zetu waliotutangulia kupitia dini. Tungekua na mawasiliano Bado, huu uchawi ndio ungetupeleka mbali. Hawa wangetupa knowledge za kichawi kupitia ndoto juu ya nini Cha kufanya katika material world. Wao wazungu Bado Wana connection na Newtown, Plato, Tesla. Ila huku kwetu wangetuambia kwamba hiyo ni miungu.
Tuliachiwa uchawi bila kupata maguiders wa Ile uchawI. Kilichobaki ni kulogana tu
Uchawi ni kitendo cha mtu kuwa na nguvu ambazo hazionekana kwa macho,na nguvu hizo siyo za kawaida,mfano mtu anaweza kuamuru fulani afe,mvua inyeshe,kumtia maradhi mtu na mengineyoMimi nashindwa kuelewa mchawi asijijue kwamba, yeye ni mchawi, kwani maana ya uchawi nini?