Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aaha uliumbukaaa
 
We acha tu nilikuwa naungama kwa paroko , aliponipa sala ya toba niliachia kishindo cha ajabu chenye harufu ya yai lililooza , akaniambia nenda kwa amani !
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Haaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiiii
 
We acha tu nilikuwa naungama kwa paroko , aliponipa sala ya toba niliachia kishindo cha ajabu chenye harufu ya yai lililooza , akaniambia nenda kwa amani !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe jamaa kiboko duu sasa aliyefuata si alikuwa na wasiwasi na aliyemkuta hapo
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,ishawahi kunitokea hii sebuleni, nimeachia cha kimyakimya Mara watu wanakuja humo sebuleni,nilitamani kama wangechelewa chelewa kidogo ili kiharufu kiishe dah,ilikua aibu mnoo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe jamaa kiboko duu sasa aliyefuata si alikuwa na wasiwasi na aliyemkuta hapo
Kuna watu noma sana
 
Niliwahi jamba katika bus earphones zikiwa masikioni, nilijamba sana,kuja shtuka too late ,mostly of the people walikua wananikodolea macho..
Inamaana ulihis earphone umechomeka kunduni badala ya sikioni au[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,ishawahi kunitokea hii sebuleni, nimeachia cha kimyakimya Mara watu wanakuja humo sebuleni,nilitamani kama wangechelewa chelewa kidogo ili kiharufu kiishe dah,ilikua aibu mnoo
Alafu wakati wa kijambo unajikuta umejiachia kabisa
 
Kwa waliosoma makutupora sec. miaka ya 2000 kipindi hicho mwanamuziki Mh. Temba akiwa pale kama service JKT
hili kwao si uongo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu achaa uongoo
 
[emoji23]aisee hiyo siku sitoisahau
Yaani wewe mie machozi nikikumbuka maparoko zangu walivyokuwa vile hapana
mie ningekuwa nawakimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila nimuonapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…