Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Sio kweli kuwa mama yako mzazi hawezi kukusaliti,humans are just humans with a lot of imperfections..

Hapa ndipo unasimama ukweli kuwa amtegemeae mwanadamu amelaaniwa,asiebadilika ni Mungu pekee..mtegemee yeye utaishi vizuri sana.
Huyo Mungu si mpaka umjue???......... Mungu ktk Dunia ya leo kachakachuliwa sana! na wengi hamjui Mungu wa kweli! ni nani yupi, wapi lini, kwa nini .....mara awe mzungu!, mara muarabu mara muafrica sasa wa kweli ni yupi!!...

hivi wewe unajua Esau alitubu, akalia kwa machozi ya damu kwa Mungu lkn hakusamehewa ile dhambi?!!! ......haya km haitoshi....Yuda Msaliti alitembea na Yesu akamjua vyema, akapendwa akapendeka, hata Yesu aliposema kunamtu hapa atanisaliti YUDA hakutiliwa shaka!!

But yalipo mfika heee!! alitubu, akalia kwa uchungu mkuu!! kwa jinsi alivo saliti, akatupa vile vipande thelathini chini huko!! lkn haikusaidia kitu, yaani mtu alitubu mpaka akafa fooofofo!! lkn hakusamehewa..

Mungu ni smart guy!! Sasa weye MWana mbagala ni nani ???? ukubaliwe na Mungu kirahisi ivo na ka yesu kako, hako kazungu?? kwanza utakasubiri sana hako hutakaona kakija mawinguni...wkt huo wenzako wakinyakuliwa, utaona wamedanganywa kisa unasubiri yesu mzungu....
 
Huyo Mungu si mpaka umjue???......... Mungu ktk Dunia ya leo kachakachuliwa sana! na wengi hamjui Mungu wa kweli! ni nani yupi, wapi lini, kwa nini .....mara awe mzungu!, mara muarabu mara muafrica sasa wa kweli ni yupi!!...

hivi wewe unajua Esau alitubu, akalia kwa machozi ya damu kwa Mungu lkn hakusamehewa ile dhambi?!!! ......haya km haitoshi....Yuda Msaliti alitembea na Yesu akamjua vyema, akapendwa akapendeka, hata Yesu aliposema kunamtu hapa atanisaliti YUDA hakutiliwa shaka!!

But yalipo mfika heee!! alitubu, akalia kwa uchungu mkuu!! kwa jinsi alivo saliti, akatupa vile vipande thelathini chini huko!! lkn haikusaidia kitu, yaani mtu alitubu mpaka akafa fooofofo!! lkn hakusamehewa..

Mungu ni smart guy!! Sasa weye MWana mbagala ni nani ???? ukubaliwe na Mungu kirahisi ivo na ka yesu kako, hako kazungu?? kwanza utakasubiri sana hako hutakaona kakija mawinguni...wkt huo wenzako wakinyakuliwa, utaona wamedanganywa kisa unasubiri yesu mzungu....
Yesu mzungu!,kusamehewa!

Hizi ni mada tofauti kabisa
 
Siwezi kumng'ang'ania mtu abaki maishani mwangu kwa kweli kwa jinsi ninavyojifahamu.... Hasa kama maamuzi ameyatoa yeye, loooh!! nitayafata tu ata km nilimpenda kupita maelezo. Ata kama ni rafiki wa karibu Sana na Mimi, maana ni maamuzi yake... Ila akijirekebisha ni sawa tu kuwa kama zamani, maana sinaga tabia ya kuweka vitu moyoni kbs kbs, mwepesi kusamehe na huwa siwez kubembeleza.
Kama mtu me/ke kakupenda sana na mwenyewe umethibitisha kua huyu mtu ananipenda kwa dahati ila wewe humpendi tafadhali usitumie nafasi hiyo kumuumiza watu wengi wanakua serial killers kwa ajili ya kukataliwa/oppressed na watu wanaowapenda kama wazazi au Crushes.

Mtu akikupenda usipompenda huna haja ya kumuambia kwa kashfa/kumsimanga kua humtaki , bora hata uwe unampa hata atumaini kwa hugs na maneno mazuri ya kutia moyo…Kuna watu wanapeda vibaya mno, mtu wa namna hiyo inatakiwa uchunge maneno ya kumjibu pindi mnapoongea. Maana ukimjibu majibu ya kumkashfu atajiona hana thamani duniani, ataona watu hawatakiwi kupendwa nakufanyia wema..mtu kama huyo anaweza kujidhuru au asipojidhuru basi anaweza kudhuru wengine. Hapa ndio wanatokea sasa wale wazee wa hit and run, anakuzalisha anakutelekeza, au anaweza kua muuaji (kuna kesi nyingi ajili hili)

Anyway nilitaka kusema pole kama ilikutokea. But if someone push you have to push them back coz you can't run forever. Sometimes inatakiwa ubembeleze upendo for collective good if the one worth it ✌️
 
Happy new year mkuu
Haaa!!! Ulinionea huruma ikabidi uni-Wish
Thanks for noticing me mkuu
JamiiForums-794084973.gif
 
I don't wanna talk
About things we've gone through
Though it's hurting me
Now it's history
I've played all my cards
And that's what you've done too
Nothing more to say
No more ace to play

The winner takes it all
The loser's standing small
Beside the victory
That's her destiny
I was in your arms
Thinking I belonged there
I figured it made sense
Building me a fence
Building me a home
Thinking I'd be strong there
But I was a fool
Playing by the rules

The gods may throw a dice
Their minds as cold as ice
And someone way down here
Loses someone dear
The winner takes it all
The loser has to fall
It's simple and it's plain
Why should I complain?

But tell me, does she kiss
Like I used to kiss you?
Does it feel the same
When she calls your name?
Somewhere deep inside
You must know I miss you
But what can I say?
Rules must be obeyed

Because the winner takes it aaall...!
FB_IMG_16206535718111165.jpg
 
Hii post yako nimeileta huku ili uzi ulioComment ufutike. I want it to fade away.

Kwanini unadhani mtoa mada yupo single?
Je kwanini unadhani kua mtoa mada ana matatizo na anahitaji kumuona mwanasaikolojia?
Sababu mwenye matatizo ya kisaikolojia ni vigumu kujijua kuwa ana matatizo.
 
Be an introvert but not a simp. Life is a bitch but live it for the https://jamii.app/JFUserGuide of it.
 
Back
Top Bottom