Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Au nijitumie "I love you" kwa namba nyingne maana mda unaenda [emoji23]
Kama mpaka saiv amna mtu ameshaanza mwaka na wewe mkuu
Jitumie tu[emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au nijitumie "I love you" kwa namba nyingne maana mda unaenda [emoji23]
Jinsi ninavyosubiri salamu za Heri ya mwaka mpya kabla sijalala[emoji20]
View attachment 2064368View attachment 2064369View attachment 2064370View attachment 2064372View attachment 2064373View attachment 2064374
@Darlin [emoji3][emoji3][emoji3]nateseka sanaKama mpaka saiv amna mtu ameshaanza mwaka na wewe mkuu
Jitumie tu[emoji38]
@Darlin [emoji3][emoji3][emoji3]nateseka sana
Huyo Mungu si mpaka umjue???......... Mungu ktk Dunia ya leo kachakachuliwa sana! na wengi hamjui Mungu wa kweli! ni nani yupi, wapi lini, kwa nini .....mara awe mzungu!, mara muarabu mara muafrica sasa wa kweli ni yupi!!...Sio kweli kuwa mama yako mzazi hawezi kukusaliti,humans are just humans with a lot of imperfections..
Hapa ndipo unasimama ukweli kuwa amtegemeae mwanadamu amelaaniwa,asiebadilika ni Mungu pekee..mtegemee yeye utaishi vizuri sana.
Yesu mzungu!,kusamehewa!Huyo Mungu si mpaka umjue???......... Mungu ktk Dunia ya leo kachakachuliwa sana! na wengi hamjui Mungu wa kweli! ni nani yupi, wapi lini, kwa nini .....mara awe mzungu!, mara muarabu mara muafrica sasa wa kweli ni yupi!!...
hivi wewe unajua Esau alitubu, akalia kwa machozi ya damu kwa Mungu lkn hakusamehewa ile dhambi?!!! ......haya km haitoshi....Yuda Msaliti alitembea na Yesu akamjua vyema, akapendwa akapendeka, hata Yesu aliposema kunamtu hapa atanisaliti YUDA hakutiliwa shaka!!
But yalipo mfika heee!! alitubu, akalia kwa uchungu mkuu!! kwa jinsi alivo saliti, akatupa vile vipande thelathini chini huko!! lkn haikusaidia kitu, yaani mtu alitubu mpaka akafa fooofofo!! lkn hakusamehewa..
Mungu ni smart guy!! Sasa weye MWana mbagala ni nani ???? ukubaliwe na Mungu kirahisi ivo na ka yesu kako, hako kazungu?? kwanza utakasubiri sana hako hutakaona kakija mawinguni...wkt huo wenzako wakinyakuliwa, utaona wamedanganywa kisa unasubiri yesu mzungu....
Kama mtu me/ke kakupenda sana na mwenyewe umethibitisha kua huyu mtu ananipenda kwa dahati ila wewe humpendi tafadhali usitumie nafasi hiyo kumuumiza watu wengi wanakua serial killers kwa ajili ya kukataliwa/oppressed na watu wanaowapenda kama wazazi au Crushes.Siwezi kumng'ang'ania mtu abaki maishani mwangu kwa kweli kwa jinsi ninavyojifahamu.... Hasa kama maamuzi ameyatoa yeye, loooh!! nitayafata tu ata km nilimpenda kupita maelezo. Ata kama ni rafiki wa karibu Sana na Mimi, maana ni maamuzi yake... Ila akijirekebisha ni sawa tu kuwa kama zamani, maana sinaga tabia ya kuweka vitu moyoni kbs kbs, mwepesi kusamehe na huwa siwez kubembeleza.
Nitafurahi kama kuoitia uzi wangu huu utawakutanisha pamoja na kupendana. Semezaneni
Daah mzee unanipa penalty [emoji2][emoji2][emoji2]Nitafurahi kama kuoitia uzi wangu huu utawakutanisha pamoja na kupendana. Semezaneni
Tusemezane yaliyomoHeeee mkuu
Tusemezane nini sasa hapo
Sababu mwenye matatizo ya kisaikolojia ni vigumu kujijua kuwa ana matatizo.Hii post yako nimeileta huku ili uzi ulioComment ufutike. I want it to fade away.
Kwanini unadhani mtoa mada yupo single?
Je kwanini unadhani kua mtoa mada ana matatizo na anahitaji kumuona mwanasaikolojia?