Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Inaendelea..4
Basi yule kijeba akaanza
Kupoint nyumba anaanza kuongea harakaharaka kama ushawahi ona wale watu wa promotion kwenye mabasi ndio kama vile mara sisi ni wauzaji wa vyombo vya majumbani kutoka bra bra bra kibao kimoyo moyo hapo natamani hata kumtukana yule dada sisi wew na nani mbwa ww lkn daah! Nikawa namalizia rohoni tu sasa huwez amini nyumba zote zenye kapoint kama saba hv tukauza jagi moja tu zile zenye zinakuwaga na viglass vyake tena katoa kwenye beseni lake dada kijeba mm kwangu mzigo upo vile vile tukasonga hd buguruni pale ndo kuna nyumba moja hv kubwa wanaishi Waarabu si unajua wanakaaga wengi pale ndo tuliuza uza vyombo akawa anapoint hukuhuku lkn yule mama akitaka aje kwangu dada kijeba yeye anaanza promo kwa alivyovibeba yeye tu uwezi amini kuanzia hapo nikaanza kupata hasira na kijeba BTW Mungu alivyo mkubwa vitu vingi tuliuza Kiasi nikaanza kufeel kupungua uzito nikasema ahsante Mungu hapa tumemaliza maana si niliambiwa kuwa point ni buguruni ko nikahisi mambo yamekwisha wuehh dada kijeba akaanza kuniambia wew una upepo sana wa biashara hongera basi twende tukale tukaondoka hapo kama mida ya saa nane hivi,Tukaingia mgahawa mmoja hivi pale buguruni mm nikaagiza wali wa 2k yule my goodness kijeba alikula ugali sahani 2 nashuhudia kwa macho yangu akaulizia na ukoko ila mama akamwambia kuwa teyari una order ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuona manzi anakula kiasi kile basi...
Inaendelea sehemu ya mwisho
my goodness kijeba alikula ugali sahani 2 nashuhudia kwa macho yangu akaulizia na ukoko ila mama akamwambia kuwa teyari una order ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuona manzi anakula o kile basi...

😂😂😂😂😂😂
 
Inaendelea..4
Basi yule kijeba akaanza
Kupoint nyumba anaanza kuongea harakaharaka kama ushawahi ona wale watu wa promotion kwenye mabasi ndio kama vile mara sisi ni wauzaji wa vyombo vya majumbani kutoka bra bra bra kibao kimoyo moyo hapo natamani hata kumtukana yule dada sisi wew na nani mbwa ww lkn daah! Nikawa namalizia rohoni tu sasa huwez amini nyumba zote zenye kapoint kama saba hv tukauza jagi moja tu zile zenye zinakuwaga na viglass vyake tena katoa kwenye beseni lake dada kijeba mm kwangu mzigo upo vile vile tukasonga hd buguruni pale ndo kuna nyumba moja hv kubwa wanaishi Waarabu si unajua wanakaaga wengi pale ndo tuliuza uza vyombo akawa anapoint hukuhuku lkn yule mama akitaka aje kwangu dada kijeba yeye anaanza promo kwa alivyovibeba yeye tu uwezi amini kuanzia hapo nikaanza kupata hasira na kijeba BTW Mungu alivyo mkubwa vitu vingi tuliuza Kiasi nikaanza kufeel kupungua uzito nikasema ahsante Mungu hapa tumemaliza maana si niliambiwa kuwa point ni buguruni ko nikahisi mambo yamekwisha wuehh dada kijeba akaanza kuniambia wew una upepo sana wa biashara hongera basi twende tukale tukaondoka hapo kama mida ya saa nane hivi,Tukaingia mgahawa mmoja hivi pale buguruni mm nikaagiza wali wa 2k yule my goodness kijeba alikula ugali sahani 2 nashuhudia kwa macho yangu akaulizia na ukoko ila mama akamwambia kuwa teyari una order ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuona manzi anakula kiasi kile basi...
Inaendelea sehemu ya mwisho
Watu wa kazi ngumu ni kawaida iyo, kuna jamaa nae ivo ivo alipiga sahani mbili na nilimuacha bado hajaridhika sio ajabu aliongeza nyingine.
 
Hahaaaa!!!

Nilipataga mchongo wa kazi ya udereva kwa wahindi, nilivyoitwa kwenye interview nikajua labda itakua kawaida tu.

Nipo nje nasubiri, akatoka mkurugenzi mwenyewe(muhindi) na mafaili yake, akanipa funguo za gari akaniambia washa gari twende shoppers plaza.

Nimechukua funguo naangaza ni gari gani maana kulikua na gari kama 8 zimepaki, akanioneshea kimaruti(vile viko kama mkate) kipyaaaa na makaratasi yake.

Mie kufika kwenye gari nikaanza na mikwara eti nakagua maji, nakizunguka zunguka, naangalia kama tyres zinaupepo(hapo kanji ananichora tu, nahisi ki moyo moyo alikua anasema hiiiiiiiiiii bhagooosha)nikapanda nikawasha jino moja tu chuma ikawaka.

Kimbembe kila nikitia rivasi, nikiachia clutch kinazima, yaani mpaka kurudi nyuma kukiweka sawa kimeshazima mara nne 🤣 😂 (hapo bado kwenda mbele.)
Madereva wengine wa kampuni wanapigiana signal tu 🤣

Muhindi akapanda, kuondoka kikazima kama mara mbili, tayari nikawa nishapanic, tumeenda njiani nikakuta foleni kmmmmmk, pale mataa ya st Peters foleni inatembea mdogo mdogo.

Yaani foleni ikisimama inabidi uanze na gia namba moja, ukishatia gia namba moja ukiachia kinazima kmmmk hapo ndo nazidi kupaniki.

Nasogea mbele kikazima kama mara 2 mbele ya traffic wale wanakaa kushoto kwenye mbuyu mbele ya mataa, traffic akaniweka pembeni(hapo nikazidi kupagawa) nikakasukuma Pembezoni, kisha nikamfuata fastaaa

Nikamkunjia buku 2 yule matako ananipita kama hanioni vile moja kwa moja anaenda kukagua gari(kashaona muhindi tena 😄 🤣 😂)

Sema alivyogundua ni kipyaaaa akaingiza baridi, nikamwambia ndio tumetoka kukinunua dt dobie bado hakijazoea kuendeshwa, nikazuga zuga pale, kilivyowaka nikatembea na ukali.

Mpaka tunafika shoppers kimeshazima zaidi ya mara kumi(hapo kumbuka muhindi hajaniongelesha kitu chochote halafu ukizingatia ndio mkurugenzi wa kampuni 😄 🤣 😂 😆.)

Aliposhuka tu, nikaanza mazoezi pale pale parking za shoppers, nakisogeza mbele, narudi nyuma(tatizo kilikua kipyaaaa clutch yake inanyanyukia chiiiiini, ukiachia kidogo tu kinaruka kinazima)

Mshua alivyorudi tukaanza safari ya kurudi ofisini kinondoni, hapo kidooogo nilianza kukijulia, kilizima mara mbili tu mpaka tunafika.

Tulipofika mkurugenzi akashuka bila kuniambia kitu huyooo akaingia ofisini,(nikajua tu hapa tayari nimeshapoteza, hela ya udalali wa kazi imeliwa kizembe sana)

baada ya dk kama 10 hivi secretary akaniita akaniambia nenda nyumbani tutakupigia simu.

Nimetoka njiani nimemaind kichizi, najiuliza, kijiweni nitawashawishi vipi washkaji nimefeli interview wakati mimi ndio huwa ubishi/mzozo wowote kuhusu magari mimi ndio huwa nautatua.

Baada ya kama siku nne nashangaa simu yangu inaita minamba ina 222222 ya ttcl nikaona hawa jamaa vipi? Kama interview nimeshafeli, hiiiì nashangaa wananiambia kesho niende kazini kuanza kazi. asee nilishangaa sana, sijui yule muhindi aliona nini kwangu.

Baadae nikawa ndio dereva wake, madereva kibao niliwakuta ila nikawa dereva wa mkurugenzi, ikawa sio kuendesha mkate tena ni mwendo wa v8.
 
Hahaaaa!!!

Nilipataga mchongo wa kazi ya udereva kwa wahindi, nilivyoitwa kwenye interview nikajua labda itakua kawaida tu.

Nipo nje nasubiri, akatoka mkurugenzi mwenyewe(muhindi) na mafaili yake, akanipa funguo za gari akaniambia washa gari twende shoppers plaza.

Nimechukua funguo nataangaza ni gari gani maana kulikua na gari kama 8 zimepaki, akanioneshea kimaruti(vile viko kama mkate) kipyaaaa na makaratasi yake.

Mie kufika kwenye gari nikaanza na mikwara eti nakagua maji, naangalia kama kuna upepo, hapo kanji ananichora tu, nikapanda nikawasha jino moja tu chuma ikawaka.

Kimbembe kila nikitia rivasi, nikiachia clutch kinazima, yaani mpaka kurudi nyuma kukiweka sawa kimeshazima mara nne 🤣 😂 hapo bado kwenda mbele.

Muhindi akapanda, kuondoka kikazima kama mara mbili, tayari nikawa nishapanic, tumeenda njiani nikakuta foleni, yaani ulikua ni mwendo wa kuzima na kuwasha, mpaka tunafika shoppers kimeshazima zaidi ya mara kumi 😄 🤣 😂 😆.

Aliposhuka tu, nikaanza mazoezi pale pale parking za shoppers wakati namsubiri mshua, naenda mbele, narudi nyuma(tatizo kilikua kipyaaaa clutch yake inanyanyukia juu, ukiachia kidogo tu kinaruka)

Mshua alivyorudi tukaanza safari ya kurudi ofisini kinondoni, ni mwendo wa kuzima na kuwasha mpaka tunafika.

Tulipofika mkurugenzi akashuka bila kuniambia kitu huyooo akaingia ofisini, baada ya dk kama 10 hivi secretary akaniita akaniambia nenda nyumbani tutakupigia simu(hapo ki moyo moyo najua nimeshakosa kazi)

Baada ya kama siku nne nashangaa simu yangu inaita minamba ina 222222 ya ttcl nikaona hawa jamaa vipi? Kama interview nimeshafeli, hiiiì nashangaa wananiambia kesho niende kazini, asee nilishangaa sana
Haha ingekuwa ni Mimi ndo muhindi pia ningekupa kazi kiroho safi maana unaweza sema ni mwanzo always unakuwaga hivyo.
 
Hahaaaa!!!

Nilipataga mchongo wa kazi ya udereva kwa wahindi, nilivyoitwa kwenye interview nikajua labda itakua kawaida tu.

Nipo nje nasubiri, akatoka mkurugenzi mwenyewe(muhindi) na mafaili yake, akanipa funguo za gari akaniambia washa gari twende shoppers plaza.

Nimechukua funguo naangaza ni gari gani maana kulikua na gari kama 8 zimepaki, akanioneshea kimaruti(vile viko kama mkate) kipyaaaa na makaratasi yake.

Mie kufika kwenye gari nikaanza na mikwara eti nakagua maji, naangalia kama kuna upepo, hapo kanji ananichora tu, nikapanda nikawasha jino moja tu chuma ikawaka.

Kimbembe kila nikitia rivasi, nikiachia clutch kinazima, yaani mpaka kurudi nyuma kukiweka sawa kimeshazima mara nne 🤣 😂 (hapo bado kwenda mbele.)

Muhindi akapanda, kuondoka kikazima kama mara mbili, tayari nikawa nishapanic, tumeenda njiani nikakuta foleni, yaani ulikua ni mwendo wa kuzima na kuwasha, mpaka tunafika shoppers kimeshazima zaidi ya mara kumi 😄 🤣 😂 😆.

Aliposhuka tu, nikaanza mazoezi pale pale parking za shoppers wakati namsubiri mshua, naenda mbele, narudi nyuma(tatizo kilikua kipyaaaa clutch yake inanyanyukia juu, ukiachia kidogo tu kinaruka)

Mshua alivyorudi tukaanza safari ya kurudi ofisini kinondoni, ni mwendo wa kuzima na kuwasha mpaka tunafika.

Tulipofika mkurugenzi akashuka bila kuniambia kitu huyooo akaingia ofisini,(nikajua tu hapa tayari nimeshapoteza dili) baada ya dk kama 10 hivi secretary akaniita akaniambia nenda nyumbani tutakupigia simu(hapo ki moyo moyo najua nimeshakosa kazi)

Baada ya kama siku nne nashangaa simu yangu inaita minamba ina 222222 ya ttcl nikaona hawa jamaa vipi? Kama interview nimeshafeli, hiiiì nashangaa wananiambia kesho niende kazini kuanza kazi. asee nilishangaa sana, sijui yule muhindi aliona nini kwangu.

Baadae nikawa ndio dereva wake, madereva kibao niliwakuta ila nikawa dereva wa mkurugenzi, ikawa sio kuendesha mkate tena ni mwendo wa v8.
Nimecheka kinyamaa we jamaa noma aseee,alitokea kukukubali kwa kujiamini labda
 
Inaendelea..5
Baada ya kula nikashangaa ananyooshea kidole njia ya kuelekea ilala boma nikamuuliza vipi akanijibu kwani we umemaliza mzigo wako ebu Acha utoto nikamtukana sana ila kimoyomoyo ila ustaarabu ukaniongoza basi tukaanza kufuata ile njia mpaka marapa bungoni tukapita hd mbele kuna mtaa unaitwa Arusha, huo mtaa una waarabu kibao inaonekana ni mtaa wake pendwa maana kila tulipogonga walikuwa wanafahamiana nae kuna house moja tuligonga ikatoka Mali hiyo asikwambie mtu akasema dada mambo leo umekuja na mkaka mpya kapendeza jmn ! hapo mm natamani kusema kitu but gubu liko moyoni kucheka nataka kulia nataka! Confidence nakosa kbsa nikaishia kuuchubua tu of course tuliuza uza pale ilala na mimi sasa ule mbeseni wangu ukanunuliwa ko nikamuomba jeba vile vyombo vyangu vichache vyenye vimebaki niweke kwake na nikahisi kuanzia hapo nitakuwa free from loads daah jeba likakunja Eti ooh ukiweka hvo basi unabeba nikasema famililah! ,wacha nivishike tu ilikuwa ni chupa ya chai , glass za kunywea maji zile zimebebanishwa na vikunio vya karoti na nyanya hivyo basi ndugu yangu jeba likasemaje eti twende hadi junction ya karume then tukunje had ofisini kwa mguu lahaula walakuata illabillah! nikajisemea sakwe leo ninalo Kusema kweli hapo mm nilikuwa tyr miguu iko hoi to the maximum nikagoma nikamwambia hapana tupande daladala hapo boma shule lkn jeba akawa hataki nikamwambia sikia kama hutaki shika vyombo vyako mm naondoka akasema we unampa nan kakabidhi ofisin upewe na posho nikamjibu Sina shida na posho yenu mimi sitaki chochote jeba akawa mpole akasema basi punguza hasira twende tukapande daladala wakati tunaenda kuna mwanangu mmoja nilisoma nae advance mlandizi pale mm nilimuona anasogea pande nilipokuwa sema yeye hakuniona nilishukuru maana angenichalazia sana😅yule mwamba kwenye group letu la WhatsApp,Ndo kupanda daladala hadi veta tukafika ofisini tukaenda kukabidhi vile vitu vikabaki store kule tukaambiwa tumsubiri cashier nae yuko site huko ndo aje kutupa posho kukaa hadi saa moja kasoro cashier ndo anarudi yuko hoi kiatu kimoja mkononi kimekatika daah akatupa buku 2 Kila mmoja pale sikuamini yaani nimengoja for more than 1 en half hour iyo buku 2 daah nilikuwa hoi sana ile buku2 nikapanda boda hadi ngozi pale then nikapanda daladala hadi Gongolamboto ndo nilikuwa nikiishi huko enzi hizo hallo! ni siku sitaisahau yaani Nikiona haya matangazo kwenye nguzo huwa yananikumbusha hii story na nikiona mtu anauza vyombo yuko smart kavaa mpaka tai reminds me of this story 😄 sitasahau sitasahau sitasahau ukiwa Huna ajira maisha huwa weird mnoo 🙌🙌END
Wenu katika ujenzi wa taifa
SAKWE..
~Mwisho~
 
Nilitoa elfu 20 kwa ajili ya kitambulisho baada ya kuunganishwa na mshkaji hadi leo sijui pasport na cv zangu zilipo na kile kitambulisho sijapata na niliahidiwa kitakuwa tayari baada ya siku 3.
Nikakaa kama wiki hivi mshkaji ananiambia kama kule hakujaeleweka nakupa namba ya huyu wa kampuni nyingine ufanye kama ulivyofanya kwa yule wa kwanza, huku ni uhakika utampa 50K. Kengele ikagonga kichwani nikajiuliza hivi ni lini nmeanza kuwaamini watu kwa kiasi hiki cha kutaka kupigwa pesa ambazo sina? Nikachukua namba na sikumtafuta mhusika, nikafanya tafiti nikajabaini mshkaji anawapiga wengi sana kwa style ile.

Akanisumbua sana nimtafute mshkaji nikamwambia mi staki hiyo kazi tena.
Nusu albino uka pasuliwa na sio mayai 😂 🤣
 
Inaendelea..5
Baada ya kula nikashangaa ananyooshea kidole njia ya kuelekea ilala boma nikamuuliza vipi akanijibu kwani we umemaliza mzigo wako ebu Acha utoto nikamtukana sana ila kimoyomoyo ila ustaarabu ukaniongoza basi tukaanza kufuata ile njia mpaka marapa bungoni tukapita hd mbele kuna mtaa unaitwa Arusha, huo mtaa una waarabu kibao inaonekana ni mtaa wake pendwa maana kila tulipogonga walikuwa wanafahamiana nae kuna house moja tuligonga ikatoka Mali hiyo asikwambie mtu akasema dada mambo leo umekuja na mkaka mpya kapendeza jmn ! hapo mm natamani kusema kitu but gubu liko moyoni kucheka nataka kulia nataka! Confidence nakosa kbsa nikaishia kuuchubua tu of course tuliuza uza pale ilala na mimi sasa ule mbeseni wangu ukanunuliwa ko nikamuomba jeba vile vyombo vyangu vichache vyenye vimebaki niweke kwake na nikahisi kuanzia hapo nitakuwa free from loads daah jeba likakunja Eti ooh ukiweka hvo basi unabeba nikasema famililah! ,wacha nivishike tu ilikuwa ni chupa ya chai , glass za kunywea maji zile zimebebanishwa na vikunio vya karoti na nyanya hivyo basi ndugu yangu jeba likasemaje eti twende hadi junction ya karume then tukunje had ofisini kwa mguu lahaula walakuata illabillah! nikajisemea sakwe leo ninalo Kusema kweli hapo mm nilikuwa tyr miguu iko hoi to the maximum nikagoma nikamwambia hapana tupande daladala hapo boma shule lkn jeba akawa hataki nikamwambia sikia kama hutaki shika vyombo vyako mm naondoka akasema we unampa nan kakabidhi ofisin upewe na posho nikamjibu Sina shida na posho yenu mimi sitaki chochote jeba akawa mpole akasema basi punguza hasira twende tukapande daladala wakati tunaenda kuna mwanangu mmoja nilisoma nae advance mlandizi pale mm nilimuona anasogea pande nilipokuwa sema yeye hakuniona nilishukuru maana angenichalazia sana😅yule mwamba kwenye group letu la WhatsApp,Ndo kupanda daladala hadi veta tukafika ofisini tukaenda kukabidhi vile vitu vikabaki store kule tukaambiwa tumsubiri cashier nae yuko site huko ndo aje kutupa posho kukaa hadi saa moja kasoro cashier ndo anarudi yuko hoi kiatu kimoja mkononi kimekatika daah akatupa buku 2 Kila mmoja pale sikuamini yaani nimengoja for more than 1 en half hour iyo buku 2 daah nilikuwa hoi sana ile buku2 nikapanda boda hadi ngozi pale then nikapanda daladala hadi Gongolamboto ndo nilikuwa nikiishi huko enzi hizo hallo! ni siku sitaisahau yaani Nikiona haya matangazo kwenye nguzo huwa yananikumbusha hii story na nikiona mtu anauza vyombo yuko smart kavaa mpaka tai reminds me of this story 😄 sitasahau sitasahau sitasahau ukiwa Huna ajira maisha huwa weird mnoo 🙌🙌END
Wenu katika ujenzi wa taifa
SAKWE..
~Mwisho~
Ahaha ningekuwa mimi ndio jamaa af nimekuona ningekupiga picha nikatuma status 😂
 
Hahaaaa!!!

Nilipataga mchongo wa kazi ya udereva kwa wahindi, nilivyoitwa kwenye interview nikajua labda itakua kawaida tu.

Nipo nje nasubiri, akatoka mkurugenzi mwenyewe(muhindi) na mafaili yake, akanipa funguo za gari akaniambia washa gari twende shoppers plaza.

Nimechukua funguo naangaza ni gari gani maana kulikua na gari kama 8 zimepaki, akanioneshea kimaruti(vile viko kama mkate) kipyaaaa na makaratasi yake.

Mie kufika kwenye gari nikaanza na mikwara eti nakagua maji, naangalia kama kuna upepo, hapo kanji ananichora tu, nikapanda nikawasha jino moja tu chuma ikawaka.

Kimbembe kila nikitia rivasi, nikiachia clutch kinazima, yaani mpaka kurudi nyuma kukiweka sawa kimeshazima mara nne 🤣 😂 (hapo bado kwenda mbele.)

Muhindi akapanda, kuondoka kikazima kama mara mbili, tayari nikawa nishapanic, tumeenda njiani nikakuta foleni, yaani ulikua ni mwendo wa kuzima na kuwasha, mpaka tunafika shoppers kimeshazima zaidi ya mara kumi 😄 🤣 😂 😆.

Aliposhuka tu, nikaanza mazoezi pale pale parking za shoppers wakati namsubiri mshua, naenda mbele, narudi nyuma(tatizo kilikua kipyaaaa clutch yake inanyanyukia juu, ukiachia kidogo tu kinaruka)

Mshua alivyorudi tukaanza safari ya kurudi ofisini kinondoni, ni mwendo wa kuzima na kuwasha mpaka tunafika.

Tulipofika mkurugenzi akashuka bila kuniambia kitu huyooo akaingia ofisini,(nikajua tu hapa tayari nimeshapoteza dili) baada ya dk kama 10 hivi secretary akaniita akaniambia nenda nyumbani tutakupigia simu(hapo ki moyo moyo najua nimeshakosa kazi)

Baada ya kama siku nne nashangaa simu yangu inaita minamba ina 222222 ya ttcl nikaona hawa jamaa vipi? Kama interview nimeshafeli, hiiiì nashangaa wananiambia kesho niende kazini kuanza kazi. asee nilishangaa sana, sijui yule muhindi aliona nini kwangu.

Baadae nikawa ndio dereva wake, madereva kibao niliwakuta ila nikawa dereva wa mkurugenzi, ikawa sio kuendesha mkate tena ni mwendo wa v8.
Safi
 
Kijeba na sahani mbili za ugali na bado akaulizia ukoko
1738852926027.jpg
 
Back
Top Bottom