SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
🤣Hizi story mpe mtoto wako wa 3 years old aamini sio mimiKumbe unajua habari ya mnara wa Babeli na Safina ya Noah inaonekana unapenda kusoma maandiko, Jitahidi mkuu kuna za Mussa na farao, Daudi na Goliathi alafu kuna ya huyo Muhammad Hapo Makka very educative and interesting vipi nikutumie pdf usomesome kuongeza ufahamu??
Hizo tatu ndio abrahamic religion Yaani zinarudi asili kwa Ibrahim na zote zinakubali juu ya uwepo wa Mungu Muweza wa yote mwenye upendo wote.Mbona umetaja dini 3, Kati ya 10k zilizopo duniani
🤣🤣🤣Umeona asa tushazoea...🤣maswali ya kitoto haya..mi nakwambia Zeus kaiumba utabishaMiti imetokea wapi??
🤣🤣🤣🤣Watu hawabishani Kama bandari ipo lakini...mbona una akili za mtoto wa la tatuWatu huwa wanaleta hoja kwenye vitu ambavyo vipo sio ambavyo havipo kwa hiyo kuwepo kwa mjadala tu kuhusu Mungu ni hoja tosha kuwa Mungu yupo.
Ndio maana kuna hoja kuhusu bandari turuhusu uwekezaji au tusiruhusu iyoo ni kwasababu bandari ipo.
God of the bible story zake za uwongoKuna tofauti gani kati ya existance of the universe creator na god of the bible?
Very goodSasa mkuu, Mungu yeye kwa nini ajifiche?
Ana ogopa nini kutambulika hadharani kwa binadamu wote alio waumba yeye?
Yani kaumba viumbe na binadamu ambao hataki wamjue na kumwona hadharani?
Kama Mungu alitaka binadamu wote wamtii na kumwamini, Alishindwaje kuumba binadamu watakao mwamini muda wote na afute ufahamu wa kutomtambua yeye hayupo?
Yani ange program binadamu wote ufahamu wetu uwe, Kutambua yeye yupo muda wote, pasipo utata.
Kama vile kompyuta au Roboti inavyo kuwa programmed kufuata matakwa ya mtengenezaji na mtumiaji.
We unafurahia mtu kachomwa kisa hajazaliwa kwa baba au mama muislamu?"Kama vile kompyuta au Roboti inavyo kuwa programmed kufuata matakwa ya mtengenezaji na mtumiaji."....Na yeye ndie Kaumba mwanadamu awe hivi kwa matakwa yake, kusema aumbe mtu hivyo unavyotaka kusingekuwa na malipo siku ya mwisho.
Wewe unataka story gani?🤣Hizi story mpe mtoto wako wa 3 years old aamini sio mimi
Hiyo umeamini coz ndo dini ambazo zinakuzunguka .. ungekuwa India ungeamini Hinduism au Buddhism na ungeona ukristo na uislamu ni dini upotevu...so why huyu Mungu muweza yote ana upendeleo..anatokea jamii moja anaacha zingine zipotee, Kama anapenda wote angetokea kila mtu ili tumwamini..kwa Nini tusikilizie kwa msenge mmoja jangwani huko ambapo hawajui hata dunia ni roundHizo tatu ndio abrahamic religion Yaani zinarudi asili kwa Ibrahim na zote zinakubali juu ya uwepo wa Mungu Muweza wa yote mwenye upendo wote.
Kama kuna zinazoitwa dini lakini asili yake hairudi kwa Ibrahim huo ni dini ya upotevu kwa kifupi hawana tofauti na wewe unayepinga uwepo wa Mungu.
Note: uislamu, ukristo na uyahudi zinatofautiana katika mambo mengi tu lakini zote zinakubali kuwa kuna Mungu mmoja muweza wa yote unaweza kuita Allah, Yahu, Yehova Wewe tu.
🤣Sitishiki..ila at this point we mtu mzima unabidi uache kuwa na imaginary friendsKama unajua nimedanganya unatishika na nini sasa??
Bible naijua na Quran naijua ndo maana siamini..coz sijasomewa mstari mmoja unasema Mungu anapenda watu wote..nimesoma vitabu vizima kujua umaandazi walioandika...🤣🤣nikifa nitakufa sitakuwa na hisia yoyote...we unayesubiria bikra 72 kwa sababu za huku zimekushinda ndo nakuonea hurumaWewe unataka story gani?
Political science inawapeleka vibayaa siku ya kufa utajua hujui.
Ila mkuu mbona uligusia stori ya nuhu na mnara wa Babeli mimi nikajua ndio vitu unapenda kuvisoma.
Uislamu unasema watu wote wasioamini Allah na Muhammad mtume wake wanaenda straight motoni...🤣asa mtu kazaliwa kwa baba Mhindu mama mbudha unategemea anakuaje muislamu...Hamna mtu atachomwa sababu hajazaliwa kwa baba au mama muislamu.
Kitabu gani kinasema hivyo??
Sijasema unachosema ni imaginary..lakini huyo Allah wako ambae unaongea nae kiarabu na anakujibu ni sawa na imaginary friend... yaani rafiki wa kufikirikaProve Kama ninachokisema Ni imaginary.
Kuna BCE na CE saa hivi...hatupambi ujinga wenu...hiyo ilikuwepo coz the Roman church had political power siku hizi everywhere in science au history wanatumia terms Before the Common Era na Common Era...Kama unabisha fuatiliabiblia si tu kwamba naisoma vizuri kama wewe,naisoma kwa utulivu pia.
usisome huku unakula muwa.
embu eleza vifo vya aina mbili kwa namna gani???
inabidi uwe makini kujenga hoja,unajengaje.
kuhusu imani ni kweli tutakwambia wacha ugumu wa moyo,lakini kuhusu ushahidi tutakwambia acha upumbavu,maana ushahidi wa kihistoria katika biblia umehifadhiwa vyema kuliko historia yoyote unayoijua.
leo tu unahesabu 2023AD halafu kuna BC unajua maana yake???
Mimi nakuuliza wewe tena kwa kupitia nukuu za baadhi ya vitabu mnavuoviamini.Mimi kwa maelezo yangu ndio hayo .
Haya niambie wewe races zimetoka wapi?
So mema sio kumpenda jirani yako, kuishi vizuri na watu, kusaidia watu, kuwa na amani na watu...Ila mema ni kubong'oa kichwa kikiangalia mji wa uarabuni? 🤣Sema kuwa muislam unabidi ujitoe akiliWatakae fuata maagizo yake na kuacha makatazo yake hawatachomwa ila watakao kiuka watachomwa na Mungu kampa uwezo mwanadamu wa kufuata au kutokufuata sasa ni wewe kuamua kufuata usichomwe au kukaidi uchomwe.
Mungu angekuwa anakosea kama angemuumba mwanadamu alafu ampe uwezo wa kufanya mabaya tu bila mema alafu aseme ukifanya mabaya atakuchoma hapo ata mimi ningekubali huyu Mungu ni wa mchango lakini amekupa uwezo wa yote mabaya na mema hivyo uamuzi ni kwako si kwake tena.
Simulixi ya kanana umeisoma vizuri? Soma vizuri kamanda alichomuhadithia daudi ni nini alichomfanya sauli. Kamanda hakuhadithia kilichotokea alihadithia alivyomuua sauli Kwa mkono wake Kwa ridhaa ya sauli mwenyewe ni tofauti na hadithi ya sauli kujiua mwenyewe baada ya mshika silaha wake kukataa.nisome tena kwa utulivu.
ipi aliyochinjwa???moja inaeleza sauli akitoa maelekezi kwa kamanda wake amuue,akagomewa akajichomsha mwenyewe.
nyingine ni daudi akisimuliwa na kamanda husika kilichotokea.
shida yako iko wapi??