Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

sasa hapo ndio umetoa hoja zako za kwanini unasema hakuna mungu?
let's make it simple, Toja hoja zako kwanni unasem hakuna mungu , Forget about my point nataka kusikia kwa upande wako.
Maelezo yote uliyoyatoa unazunguka mulemule kwenye point zangu yaani unachokifanya ni ku-criticize hoja zangu mimi sina shida na hilo, Mimi nataka hoja zako Mr... plz tell me what make you say there is no god????
kuna utofauti kati ya kutoa hoja za kwanini unasema hakuna mungu na kukosoa hoja za wanaosema kuna mungu.
ulichokifanya wewe sio kutoa hoja za kwanini hamna mungu bali ni kukosoa hoja za kwanini kuna mungu.
have another try nakusubiri tena.
 
Na pia kama hujui Kuna cases za species tofauti ku interbreed na kupata offspring punda na farasi wanaweza kuzaa mnyana tunamuita mule ila anakuwa ni sterile hybrid huyo mule hana uwezo wa kuzalisha

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
za kuambiwa changanya na zako , Shida yako unataka kulazimisha evolution kuwa ndio asili ya mwanadamu my fiend yaani wewe ndio ume fail kabisa, Haya niambie huo mfano wako unahusiana vipi na asili ya mwandamu.
NOTE: hayo unayoyasema nayajua sana tu but they have nothing to do with origin of man.
 
aliyoleta habari ya evolution ni wewe sio mimi ..Maswali yangu yapo palepale
(1) kwanini hao nyani hawakubadilika wote kuwa binadamu?
(2) kwanini hao nyani hawaendelei kubadilika kuwa binadamu?
(3) Thibitisha kuwa ni kweli nyani alibadilika kuwa binadamu
(4)kama bindamu alitokana na nyani na je nyani alitkana na nini?
 
Nliamini elimu ni ufunguo wa maisha ila sasa siamini hivyo tena
 
yanaweza yasiwe ya kweli kwa sababu tu yako kweny biblia???mbona maandishi mengi tu yako kwenye vitabu vingine umeyapokea kama rejea za kweli??
Zimepitia process ya authentication...huwezi andika kitabu Cha science au history Leo afu kiwe Cha uwongo afu kipitishwe..Ila bible waliweza coz ni faith based system ...unaamini tu hata Kama ni ujinga na uongo
 
Acha uwongo...Kama ndo hivyo..nitajie mtu kifo chake recent ambacho kwenye mainstream media wanachanganya cause of death..hata Hitler kifo chake kinajulikana dunia nzima...acha kusingizia miaka...huyo Mungu muweza yote hakuona Hilo tatizo..
 
Tunakusamehe tuu ndugu yetu hujui ulisemalo..ikiwa uko na shida ya pesa...kazi..usisite kunipa taarifa najua umekata tamaa ya maisha. Karibu kwa YESU KRISTO
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwa Yesu Kristo mbona Kuna maskini wengi asa..mnatafuta mafuta ya upako...
 
huyo common ancestor ambaye ali branching na kutokea binadamu na nyani yeye alitokana na nini?
 
First mistake...hamna mtu amesema binadamu alikuwa nyani...we came from the same ancestors...so huyo ancestor saa hivi hayupo...so usitegemee abadilike Tena kwa sababu humuoni huyo...kingine soma evolution uelewe coz haya maswali ni ya kitoto sana
 
So anatuumba vibaya kwa sababu ye mwoga na mchoyo?
 
Shida yako ndio hiyoo mimi sijaona screenshot uliyotuma kuwa jua linaenda kuomba ruhusa kwa ALLAH.
Iweke hapa tena kwani kupest screenshot Kuna ugumu gani mbona ni rahisi tu kama kuweka vi Emoj vya kucheka.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ingia mtandaoni tafuta hio verse ya Hadith urudi..mbona unaogopa...,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yaani mwaka mzima unabisha..kitendo kwamba hujui inaonyesha hujui dini umefata tu mkumbo kuogopa kuchomwa kitako
 
Dini ya haki na ya kweli uislamu ina majibu.
Kama una swali linakutatiza uliza uislamu una majibu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Why sio Hinduism.. ushawahi skia Mhindu analipua jengo au Basi...mbona wahindi nao Wana haki na kweli
 
Umesema ulimwengu huu sasa wewe nani alikuambia nyoka aliongea katika ulimwengu huu?
Sijasema story ya nyoka ni taswira kwasababu sio taswira.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚So we unaamua nini ni taswira na Nini sio...sawa Mungu wa dunia...this proves vitabu vyenu naweza vitafsiri Kama porno na vikaenda sawa tu
 
Hueleweki una pinga hamna Mungu au unapinga kuwa Allah sio Mungu?
Embu tueleze sifa za Mungu wako tumpime katika mizani za kiakili kama kweli anafaa kuwa Mungu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sina Mungu wangu mimi. Siwezi kumpa mtu sifa simjui, sijawahi muona, sijawahi ongea nae .we sifa za muarabu mmoja aliyekuwa anaota pangoni ndo unajikuta una Mungu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwa Nini lisimhusu.. umetaja dini tatu ..hizo sio za kwanza Wala za mwisho .na humo zimekopiana vya kutosha ..huyo Mungu wa ukweli Yuko wapi mbona kila jamii Ina Mungu wake...πŸ˜‚tofauti ni kwamba jamii moja ilipenda vita na kutaka kumsambaza Mungu wao .
 
Kwasababu ndio dini inayoendana na logic na ndio dini ambayo 80% ya mambo ambayo imeyaeleza tayari yashakuwa proved na science kuwa ni kweli.
πŸ˜‚Science ya kweli ya nyota kuwa anga ya chini ili zipige mashetani wanataka kumfikia Allah
 
So anajua future hajui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…