Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Don't escape show me where you doubt the Holly qur an.
Kwa kutumia akili yako ya kuzaliwa Mungu anaweza kutamka haya maneno? Mungu anaweza kuwa hivi? Tumia akili yako ya kuzaliwa.

SURAH MUHAMMAD AYAT 4 (47:4)


فَإِذَا لَقِيتُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا فَضَرْبَ الرِّقَابِ حَتَّىٰ إِذَا أَثْخَنتُمُوهُمْ فَشُدُّوا الْوَثَاقَ فَإِمَّا مَنًّا بَعْدُ وَإِمَّا فِدَاءً حَتَّىٰ تَضَعَ الْحَرْبُ أَوْزَارَهَا ۚ ذَٰلِكَ وَلَوْ يَشَاءُ اللَّهُ لَانتَصَرَ مِنْهُمْ وَلَٰكِن لِّيَبْلُوَ بَعْضَكُم بِبَعْضٍ ۗ وَالَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعْمَالَهُمْ ( 4 )


Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a'mali zao.



Al-Baqarah (2:120)

وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾


120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. Sema: “Hakika mwongozo wa Allaah ndio mwongozo (pekee).” Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.


1) Wewe umeona wapi Mungu ana dini?.


2) Wewe umeona wapi Mungu ana mila?.


3) Wewe umeona wapi Mungu anawakataa watu wa jamii kuu mbili wayahudi na wazungu (wakristo) kisha akawasahau wahindi, wajapani, wachina, waafrika ambao wana mila tofauti na za kiarabu?


4) Wewe kwa kutumia akili yako ya kuzaliwa unahisi Mungu anaweza kuwasahau watu wa mila nyingine?


5) Kwa kutumia akili yako maadui wakuu wa waarabu kwenye nyanja zote za kimaisha ni nani? Nyakati za mtume maadui hawa walibadilika? Je, leo?
 
Acha ujinga bro nitatumia mda mwingi kuanza kutuma mapicha huku ndani we Simu unayo...ingia Google search Quran verse ambao inasema jua linazama kwenye tope...inasema jua linaomba ruhsa kwa Allah kuchomoza asubuhi...Kama utaki bac...🤣Sasa why nitunge, 🤣Kama ni dini yako pole bro ndo ushapigwa hivyo...
Nonsense ..Wewe si ndio mfuasi wa sayansi .
Sasa umeshindwa ku quote ata aya moja tu..vipi utaweza kuwa na uwezo wa kujadili the best of the best book like qur an.
Alafu mimi sijakuambia utume mapicha mimi nimekwambia u qoute Aya ata moja tu baasi.
 
Kwa kutumia akili yako ya kuzaliwa Mungu anaweza kutamka haya maneno? Mungu anaweza kuwa hivi? Tumia akili yako ya kuzaliwa.

SURAH MUHAMMAD AYAT 4 (47:4)


فَإِذَا لَقِيتُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا فَضَرْبَ الرِّقَابِ حَتَّىٰ إِذَا أَثْخَنتُمُوهُمْ فَشُدُّوا الْوَثَاقَ فَإِمَّا مَنًّا بَعْدُ وَإِمَّا فِدَاءً حَتَّىٰ تَضَعَ الْحَرْبُ أَوْزَارَهَا ۚ ذَٰلِكَ وَلَوْ يَشَاءُ اللَّهُ لَانتَصَرَ مِنْهُمْ وَلَٰكِن لِّيَبْلُوَ بَعْضَكُم بِبَعْضٍ ۗ وَالَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعْمَالَهُمْ ( 4 )


Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a'mali zao.



Al-Baqarah (2:120)

وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾


120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. Sema: “Hakika mwongozo wa Allaah ndio mwongozo (pekee).” Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.


1) Wewe umeona wapi Mungu ana dini?.


2) Wewe umeona wapi Mungu ana mila?.


3) Wewe umeona wapi Mungu anawakataa watu wa jamii kuu mbili wayahudi na wazungu (wakristo) kisha akawasahau wahindi, wajapani, wachina, waafrika ambao wana mila tofauti na za kiarabu?


4) Wewe kwa kutumia akili yako ya kuzaliwa unahisi Mungu anaweza kuwasahau watu wa mila nyingine?


5) Kwa kutumia akili yako maadui wakuu wa waarabu kwenye nyanja zote za kimaisha ni nani? Nyakati za mtume maadui hawa walibadilika? Je, leo?
Kwanza asante kwa quote The verses from Holly Qur an, Hapa ndio tuta argue Sasa in a good way.
Nianze kwa kujibu 'NDIO' kwa kutumia akili ya kuzaliwa Mungu anaweza tamka hayo maneno.
 
Niliamini dini za kuletewa ndiyo njia pekee ya kumjuwa Mungu kumbe sivyo......baada ya kuhitimu chuo kikuu na kusoma elimu ya dini ndipo nikajuwa waafrika tumechezewa sana akili, inasikitisha mno na hapa nilipo nafikiria mtu wa kumshitaki kutufanya sie watanzania mambumbumbu kuamini dini zisizo na mashiko kwetu.
Dini ni utumwa wa fikra.

Dini ni uongo.

Dini ni utapeli.

Binafsi nilikuwa mshika dini sana
(Roman Catholic) na nimesoma Seminari kabisa.

Lakini baada ya kujifunza na kuisoma dini, Historia yake na kuichambua haswa, kusoma philosophy na kuchambua haswa maswala ya Mungu.

Nimekuwa Atheist.

Buy a Bible read only one page ,and you will a Catholic,

Buy a Bible read only what suits you and you will be an evangelical,

Buy a Bible read it fully, analyze it, reason it and you will be an Atheist.
 
Nilikuwa naamini kwamba Wapare wanakula ugali kwa samaki wa kuchora. Yaani wao wanapika ugali tu, halafu mboga au kitoweo ni samaki waliyemchora ukutani au kwenye karatasi.
Kwa kufikiri kwamba mbinu hii ya wapare itanipunguzia garama, nikampa mchoraji anichoree samaki mkuuubwa wa kuoka akiwa kwa sahani na pembeni yake achore masalo, mchicha na ndizi mbivu mbili bila kusahau kasto light 4.
We jamaa filiwili haichanganyi kabisa. Mr.bean akasome
 
Mambo mengi tu. Kuongeza maarifa kunatufanya tutupilie mbali imani za zamani. Tunatakiwa tuwe watu wa kutafuta ukweli na walio tayari kubadilika tukikutana na ukweli mpya.

1. Nilikuwa naamini Yesu ni Mungu kumbe siyo.
2. Niliamini demokrasia ni nzuri kuliko udikteta kumbe siyo.
3. Niliamini USA ndiyo kilele cha ubora, kumbe ni shithole kama shitholes zingine.
4. Niliamini CHADEMA ni chama cha Maana kumbe hamna kitu.
5. Niliamini ubepari na soko huria kumbe ni hovyo kabisa.
4.
 
Mkuu wapo Mungu kawajalia wanakuta mali zipo tu Maisha kwao yanakuwa kitonga
Kila mtu hupenda kuwa na Mali, Hakuna mtoto aliye tamani kuzaliwa kwenye Umaskini.

Sasa Mungu gani huyo mwenye upendeleo?

Kwa nini Mungu asiwajalie binadamu wote mali, ili kila mtoto akizaliwa akute mali zipo?

Huyo Mungu yupo kweli?
 
Point namba 3,

Hebu fafanua kidogo kuhusu USA kuwa shithole?
Ma homeless wanajisaidia mitaani. Matejq wanatembea barabwrqni kama mazombie. Gun violence, uwokeness/uliberali wa kupiliza. Inflation ya kufa mtu. Gharama zisizofikika za nyumba, rent na matibabu. Kifupi kwa raia wengi ni dystopia fulani.
 
Kila mtu hupenda kuwa na Mali, Hakuna mtoto aliye tamani kuzaliwa kwenye Umaskini.

Sasa Mungu gani huyo mwenye upendeleo?

Kwa nini Mungu asiwajalie binadamu wote mali, ili kila mtoto akizaliwa akute mali zipo?

Huyo Mungu yupo kweli?
Hajawajalia kila mtu mali kwa sababu ni muweza wa yote, Yaani anaweza kuwapa watu mali na anaweza asiwape
 
Niliamini kuwa tajiri ni kujituma,nimegundua ni bahati just like game of chance (urithi) na wachache sana ni kitokana na uwezo wao wa akili.
 
Mambo mengi tu. Kuongeza maarifa kunatufanya tutupilie mbali imani za zamani. Tunatakiwa tuwe watu wa kutafuta ukweli na walio tayari kubadilika tukikutana na ukweli mpya.

1. Nilikuwa naamini Yesu ni Mungu kumbe siyo.
2. Niliamini demokrasia ni nzuri kuliko udikteta kumbe siyo.
3. Niliamini USA ndiyo kilele cha ubora, kumbe ni shithole kama shitholes zingine.
4. Niliamini CHADEMA ni chama cha Maana kumbe hamna kitu.
5. Niliamini ubepari na soko huria kumbe ni hovyo kabisa.
Ukute hujui hata jinsia yako
 
Mjinga wewe! Bado upo ktk Karne ya giza. Mpaka Leo unaongea upuuzi huo eti hakuna mungu?? Hujiulizi ukiwa UMELALA!! Viungo vyote havifanyi kazi ispokua moyo! Je unajua SIRI YA TUKIO HILO?

Lofaa sana
Weeee iyo science ya wapiii!!!!!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Nilikua naamini kula kitimoto ni dhambi, home kila weekend wakipika machalari na kitimoto mimi nikawa sili, ila sikumoja nikajiita mkutano nikatafakari sana nikatoka na suluhisho kwamba kama nchi inayoongoza kwa watu kula kitimoto (china) imetuzidi kila kitu kwenye ubinaadamu sasa mimi ni nani kujifanya najua sana mambo ya mbinguni?? Tangu siku hiyo nikasema kitimoto nitaitafuna rosti, kavu au choma
 
Sasa kama kitu hujui unapata wapi legitimate ya kusema claim yake ni ya uwongo.
Ili uweze kusema jambo sio lazima ujue ndio ni ipi sasa wewe hujui alafu unapinga claims za wenzako , Hii ni futui pro max
Ni uongo kwa sababu hakuna anaye jua,mbona jibu lipo wazi.yani maana yake hata uje na claim 1000 bado itakuwa ni uongo-asili ya mwanadamu imefichwa kwa kila MTU sio sayansi au dini.
So,achana na story za alinacha
 
Kwa kutumia akili yako ya kuzaliwa Mungu anaweza kutamka haya maneno? Mungu anaweza kuwa hivi? Tumia akili yako ya kuzaliwa.

SURAH MUHAMMAD AYAT 4 (47:4)


فَإِذَا لَقِيتُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا فَضَرْبَ الرِّقَابِ حَتَّىٰ إِذَا أَثْخَنتُمُوهُمْ فَشُدُّوا الْوَثَاقَ فَإِمَّا مَنًّا بَعْدُ وَإِمَّا فِدَاءً حَتَّىٰ تَضَعَ الْحَرْبُ أَوْزَارَهَا ۚ ذَٰلِكَ وَلَوْ يَشَاءُ اللَّهُ لَانتَصَرَ مِنْهُمْ وَلَٰكِن لِّيَبْلُوَ بَعْضَكُم بِبَعْضٍ ۗ وَالَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعْمَالَهُمْ ( 4 )


Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a'mali zao.



Al-Baqarah (2:120)

وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾


120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. Sema: “Hakika mwongozo wa Allaah ndio mwongozo (pekee).” Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.


1) Wewe umeona wapi Mungu ana dini?.
Kwanza maana ya neno dini ni 'njia' kwa maana ya muongozo, Sasa Mungu anaposema mfuate dini yake inamaana kuwa mfuate muongozo wake na kwanini asitoe muongozo wakati yeye ndio katuumba?
Muongozo wenyewe ndio dini mifano ya muongozo ni kama usizini, usiibe, usile riba, usidhulumu n.k
Na ndio maana kwa mujibu wa Qur an hakuna mtu ambaye hana dini kwa maana hakuna mtu ambaye hana muongozo wa maisha ni watu tu hujifanya mimi sina dini lakini kiuhalisia hakuna ambaye hana dini kwa maana mfumo mzima wa maisha anaoishi mwanadamu asubuhi mpaka usiku ndio dini yake mfano mtu anaye muamini Allah na mtume Muhammad akaswali na akaacha makatazo ya ALLAH huyo dini yake ni muislamu, Mtu anaye muamini Yesu kristo kuwa ndio mwokozi wa maisha yake na akaamini katika utatu mtakatifu huyo dini yake ni mkristo.
Sasa unaweza kujiuliza kuna watu wao sio waislamu wala wakristo wala wayahudi je wao ni dini gani na kwa mujibu wa Qur an hakuna mtu ambaye hana diini?
Jibu ni kuwa mfumo wa maisha wa huyo mtu ndio dini yake kama ni mtu wa uzinzi na riba basi dini yake ni dini ya upotofu.
2) Wewe umeona wapi Mungu ana mila?.
Mila ni taratibu, Mungu anaposema ana mila ni kwa sababu yeye ndio kafundisha taratibu hizo ili sisi tuzifuate kwa hiyo Allah anaposema na mfuate mila yangu maana yake na mfuate utaratibu wangu kwa maana utaratibu ambaye yeye Allah kauweka ajili ya wanadamu

3) Wewe umeona wapi Mungu anawakataa watu wa jamii kuu mbili wayahudi na wazungu (wakristo) kisha akawasahau wahindi, wajapani, wachina, waafrika ambao wana mila tofauti na za kiarabu?
Mahali ambapo Mungu kawataja wayahudi na wakristo ni mahali ambapo anaongelea dini kwasababu uyahudi ni dini na ukristo ni dini.
Sasa sio kwamba Mungu hajaongelea watu wa jamii nyingine hapana Kuna aya katika qur an ALLAH anasema ياايحنس yaani enyi watu hapa ana maanisha watu wote kwa maana ya wahindi, wachina n.k

4) Wewe kwa kutumia akili yako ya kuzaliwa unahisi Mungu anaweza kuwasahau watu wa mila nyingine?
Hawezi kuwa sahau na nishajibu kwa swali la tatu
5) Kwa kutumia akili yako maadui wakuu wa waarabu kwenye nyanja zote za kimaisha ni nani? Nyakati za mtume maadui hawa walibadilika? Je, leo?
siwezi kuwajibia maadui wa waarabu kwa sababu mimi sio msemaji wa mataifa ya kiarabu.
 
Back
Top Bottom