The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
- Thread starter
-
- #81
Fact madam Katrina 😍Nadhani hii inatokana na ufeki wa baadhi yetu hapa jukwaani.
Let's say labda mie Katrina najisifu hivi na vile halafu unanikuta katika uhalisia sipo kama ninavyojisifu unategemea moto wake hapa jukwaani utakuwaje?
Halafu sikuhizi kuna.....ambatanisha picha....
Yaani mtu akinijua kuwa mimi ndo fulani atanipiga na picha kisha itakuwa mada jadiliwa hapa jukwaani
Sasa katika kuepuka aibu ndogo ndogo kama hizo ndo tunaona heri tusifahamike tu😁😁
😂😂 Noma sana, Wajitokeze na members wengine tena sasaWalitoka droo
Sasa kama nyie wanaume mnatambua hili, kwanini kila siku mada za kutuponda na kutusagia wanawake haziishi humu Jf?Sana yani ukiona mdada mpaka kafika huku na kawa member kwa mda mrefu jua kabisa huyo anakitu cha ziada kichwani.
Jamii Forums ni maisha halisi na ni msaada mkubwa kwa jamii na nchi kwa u jumla.
Kongole nyingi kwa Maxence Melo
Yani ni wengi na hauwezi wadhania kabisa 🤣🤣Ni wengi siyo poa😅
KabisaaaaFact madam Katrina 😍
Kuna kasauti kaniambiaga wewe ndio yeye eti
Ya ghalfa nilishakutana na mdada mmoja tu ila yeye ndio alijua id yangu mimi aligoma nijue yake , akiona hii lazima ata like hapa🤣🤣🤣Najua kuna ambao wanakutana kwa matukio maalum.
Ila si ile ya ghafla kwenye daladala au sehemu ya mkusanyiko.
Watu wengi sana simu zao naona zina App ya Jf, na wanafungua kisirisiri😂😂 wakiwa kwenye halaiki za watu🤣
Ikawaje sasa Makiseo ukabadili ID 🎫 , Au ndo ulihofia mkaka (Si haha) atakusumbua 😁1.2019 nipo kwenye Coaster natoka Arusha kwenda Moshi...Nilikaa ile siti karibu na mlangoni...nipo JF kuna Uzi mmoja ulikuwa hot sana na Dada mzuri Heaven Sent kuna ushauri alikuwa anautoa kwenye hiyo mada..nikawa nafuatilia kwa makini sana wakati huo sikuwa active sana hapa jukwaani...kufika Machame road kuna Abiria akashuka Mkaka( si haba)😃wakati anashuka akaniambia kumbe wewe ndiyo Makiseo( ID yangu ya mwanzo).
2. Kibaruani kwangu...Kuna mmojawapo alinibamba...Kipindi App ikiwa ipo poa...Ila hakuona ID...Akaniambia kumbe Familia😄
Mtumishi wa jf😂😂Nilikutana na Mshana Jr, Pascal Mayalla, princess ariana, na Dkt. Gwajima D bila wao kujua kuwa kama Mimi ni mtumishi wa JF.
Wote ni watu wema.
Kwa nini mkuu iwe vizuri usifamike?Kuna mwamba ni mwana ila si kivile ni deal tu huwa zinatukutanisha aliniona natumia JF na yeye akasema anatumia ila hakujua natumia ID gani kwa sababu nilikuwa nasoma nyuzi mbalimbali tu
Tukakubaliana kuwa hakuna haja ya kujuana tuendelee kuwa anonymous
Tukakubalina kuwa ukiwa mtumiaji wa JF ni vizuri usifahamike na yoyote
🤣🤣🤣Ya ghalfa nilishakutana na mdada mmoja tu ila yeye ndio alijua id yangu mimi aligoma nijue yake , akiona hii lazima ata like hapa🤣🤣🤣
Mkono umeteleza mkuu.Mtumishi wa jf😂😂
Ya kama kawaidaSafi sana Mkagusia na mbili tatu za Jamii Forums sio
ID nilibadili 2021 haina uhusiano naye...Ikawaje sasa Makiseo ukabadili ID 🎫 , Au ndo ulihofia mkaka (Si haha) atakusumbua 😁
Waliowahi kukutana na Mimi hasa Kilingeni Msata hii sura sio ngeni kwaoHabari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Bora muwe hivyo hivyo asee, mkikutana na vijana wa ovyo mkajisahau ni rahisi mno kuwa mada ya wiki humu.🤣🤣🤣
Kwa mimi binafsi naona Id za kiume hazina mambo mengi
Ngoma ngumu ipo huku kwetu kwenye id za kike.
Yaani tunasoma jf kwa shida sana tukiwa kwenye mikusanyiko
Hata mimi pia😀💪🏿Nilikutana na Mshana Jr, Pascal Mayalla, princess ariana, na Dkt. Gwajima D bila wao kujua kuwa kama Mimi ni mtumishi wa JF.
Wote ni watu wema.
Yeah, na ndio maana kule juu nikasema tukijulikana huo moto wake sio poa huku Jukwaani, tena haswa haswa mleta mada awe na uhakika wa picha acha kabisa🥺Bora muwe hivyo hivyo asee, mkikutana na vijana wa ovyo mkajisahau ni rahisi mno kuwa mada ya wiki humu.