Hahahahah ila mtu akikusema huna tako lazma ujiskie vibaya😅!Mie sijishtukii hata sina wasiwasi hata kidogo. Makalio kila mtu anayo sema size tofauti tu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kweli umeamua. Kama unaona ni sawa endelea tuNajua namna ambavyo bullying inatesa, hivyo kama itatokea mtot wangu kuyarithi basi na yeye atafanyiwa operation, siwezi kuruhusu awe bullied najua madhara yake ..
Akinisema nitamuuliza yeye anakalia kifuu?[emoji1787][emoji1787]Hahahahah ila mtu akikusema huna tako lazma ujiskie vibaya[emoji28]!
Well mie napenda ujistiri tu vyema ukivaa viuzuri hata kama huna chura unapendeza tu!
Wewe huna jeuri hio lazma ulie tu ukamsemee kwa baba😅😅😅Akinisema nitamuuliza yeye anakalia kifuu?[emoji1787][emoji1787]
Wapi wewe. Hapa nina black belt sitaki utani[emoji16][emoji16][emoji16]Wewe huna jeuri hio lazma ulie tu ukamsemee kwa baba[emoji28][emoji28][emoji28]
Siku hizi kuna wigi zinabandikwa za wanaume wenye viparaMimi ni kipara kilichonianza nkiw around 19 na hadi 22 kikawa kimekolea na sasa ndio kimekuw sugu
Mwenye dara niwez kurejesha nywel zangu
Hahahhah kwahio unakiwasha ki Tai ChiWapi wewe. Hapa nina black belt sitaki utani[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaaaaa eeh mtu akinizinguaHahahhah kwahio unakiwasha ki Tai Chi
Utakuwa mtam sana basi, yani mrembo af unajua ngumi hii combination tamu kweli😅Hahahaaaaa eeh mtu akinizingua
Naomba dojo classess basiHahahaaaaa eeh mtu akinizingua
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]Naomba dojo classess basi
Anatako kubwa I guessNi ngumu sana kuchangia kama wewe tu umeficha
Bullying ni mbaya saaana hasa ikiwa shuleni pale ambapo mtu anaanza kujitambua ktk miaka 15 -18.Habari wakuu
Je, umewahi kupitia bullying kutokana na maumbile au muonekano wako, ni namna gani iliathiri saikolojia na maisha yako kiujumla na je ni namna gani ulipambana na tatizo hili.
Binafsi kuna kitu hakipo sawa kwenye mwili wangu ( siwezi taja ) imekua ikiathiri sana saikolojia na maisha yangu in general, shule niliiona chungu kipindi nipo primary, nimekua nikitaniwa sana na kuchekwa. [emoji23]
Imedidimiza my self esteem siwezi hata kusimama mbele za watu, unfortunately only surgery can correct that. Mimi ni muumini wa dini ya kiislam hivyo nilijaribu kufuatilia kama ni sahihi kufanya surgery but luckily enough nimeambiwa it's permitted if only done to correct any deformity in the body be it a birth defect or an acquired one, most especially if it causes either psychological or physical pain.
Japo wazazi wapo against jambo hili kwa kisingizio eti dini, itoshe tu kusema hiyo dini hawajui inasemaje kuhusiana na hili na mbaya zaidi hawataki kuelimishwa ( much know ) .. kwa hili watanisamehe tu, maisha yenyewe mafupi haya kwanini ukose raha kwa kudhikakiwa yet there's a solution na dini imepermit ?? ..
Mwisho wa yote, kama na wewe mdau wa JF ni Ile aina ya watu wenye kupenda kucheka ama kudhiaki watu kutokana na muonekano please acha mara moja, hujui tu ni namna gani inaathiri saikolojia ya mtendewa na mara nyingi hupelekea hata kujitoa uhai sababu wengine mioyo yao mepesi hivyo vitu kama hivi vinaweza kumtoa kabisa kwenye reli ..wanasema kushare na watu yanayo kutatiza kunaweza saidia kuleta relief moyoni hivyo basi yangu ni hayo tu naomba kuwasilisha.
Mwisho kabisa kama kuna mtu anataka kunipinga nasema hivii nipe mkono tushindane nipeeee ([emoji23]jokes)
Mkuu wacha roho mbaya jmn😅Mnapoelekea nitaufuta na Uzi wenyewe ([emoji23][emoji23] jokes ) ..