macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kuna uwezekano polisi ulimwomba akusindikize akaenda kuandaa ''majambazi'' yakawavamia, na kukuua mwenye fedha na polisi akakatwa na kisu (danganya toto) na fedha zikayoyoma. Usawa wa sasa hivi polisi wajue umebeba dhahabu yenye thamani ya sh bilioni 50 wakuache?Jeshi limeshindwa kusimamia maadili mazuri kwa watu wake...
Billion 50 zote hizo hata wakijua mtu ana 50m kwenye gari usiku jua huna maisha aisee..kwani kesi ya Mtwara ni shilingi ngapi kwa wale jamaa wote wakampa dogo kesi ya kuiba piki piki na kumtafuta Dr afanye kazi kwa sumu ikashindikana wakatumia nylon kumziba hewa haya maandishi yapo humu walijitetea hao Majambazi...Kuna uwezekano polisi ulimwomba akusindikize akaenda kuandaa ''majambazi'' yakawavamia, na kukuua mwenye fedha na polisi akakatwa na kisu (danganya toto) na fedha zikayoyoma. Usawa wa sasa hivi polisi wajue umebeba dhahabu yenye thamani ya sh bilioni 50 wakuache?
Tatizo tunapenda sana midia kuliko uhalisia.Adanganye umma kwa faida ipi soma taarifa ya Tume aliyounda Rais upate majibu kidogo sio unataka kuongea vitu usivyovijua hapa..
Kama umebeba dhahabu kwa kufuata taratibu basi hakuna shida yeyote ile, ila kama hujui %90 madini yanabebwa bila kufuata utaratibu 7bu utaratibu wa kumiliki madini ni mgumu sana hasa kwa wachimbaji wadogo. Utaratibu sio mzuri hata kidogo. Ulizia vizuri.Kuna uwezekano polisi ulimwomba akusindikize akaenda kuandaa ''majambazi'' yakawavamia, na kukuua mwenye fedha na polisi akakatwa na kisu (danganya toto) na fedha zikayoyoma. Usawa wa sasa hivi polisi wajue umebeba dhahabu yenye thamani ya sh bilioni 50 wakuache?
Mkuu umekuja kutoa elimu ya CAG baadae utatoa taarifa za Sheria tena nikitulia utakuja na mguu wa Engineer...Tatizo tunapenda sana midia kuliko uhalisia.
Hata upotevu wa pesa sio kwamba pesa yote imeibiwa, hata kama ni ripoti ya cag, pesa huwa zimetolewa kwa kazi fulani ila viongozi wanatoa amri ya kutumika sehemu fuluni, akija mkaguzi akiambiwa pesa hii ilitumika ktk matumizi haya yeye kwa amri ya idara, hapokei taarifa hiyo, na wewe kama mkurugenzi huna nafasi ya kuongelea hilo bungeni/kwenye midia. Sasa wewe uliopo nje ukisikia ripoti kuna upotevu wa pesa sehemu fulani unahisi zimeibiwa na serekali hawachukui hatu. Hawasemi ukweli maana wanajua ukichukua hatua ya kumuwajibisha itakula kwa serikali maana document za matumizi zipo.
Tusiamini sana midia.
Halafu tunalaumu Polisi.Kuna uwezekano polisi ulimwomba akusindikize akaenda kuandaa ''majambazi'' yakawavamia, na kukuua mwenye fedha na polisi akakatwa na kisu (danganya toto) na fedha zikayoyoma. Usawa wa sasa hivi polisi wajue umebeba dhahabu yenye thamani ya sh bilioni 50 wakuache?
Lakini polisi haijengwi na matofali, inajengwa na hao hao watu binafsi wanaofanya kazi Polisi.Halafu tunalaumu Polisi.
Hapa neno polisi ondoa, maana hapo atakua aliambiwa mtu binafsi ila kazi yake ni askari polisi, haihusiani kabisa na escort ya Polisi. Huu ni urafiki kati yake na askari polisi, wkaamua kusafiri pamoja kwenda kwenye safari yao, hakuna idhinisho la polisi hapo.
Hiyo haiitwi escort.
Hela itokayo ktk ATM kwa masaa 24 ktk acount 01 ni milioni moja wa utaratibu wa awamu 02 kwa baadhi ya benki na awamu 3 baadhi ya benki.pale benki kuna mijitu huwa inasimama kwenye foleni ikikaribia atm inarudi nyuma inaacha nafasi kadhaa mbele ijazwe na wa nyuma yake, kumbe huwa inasikilizia mlio wa atm ikilia muda mrefu inajua hapo zimetoka hela nyingi na itaanza kukufuatilia wewe uliyotoa hela nyingi wakutapeli. Kuweni waangalifu na watu wanaojirudisha nyuma ya mstari wanabaini nani kadroo hela nyingi
Ni sawa, naona sasa tunaenda kuelewana.Lakini polisi haijengwi na matofali, inajengwa na hao hao watu binafsi wanaofanya kazi Polisi.
Unaandika kama kuna likitu likuubwa linaitwa Polisi, wakati Polisi ni watu kama sisi.
Unaambiwa hao watu ndio hawaaminiki, na hivyo Polisi kama taasisi haiaminiki.
Taasisi ni zaidi ya watu binafsi, lakini hakuna taasisi inayokuwapo bila ya kuwa na watu binafsi.
Wananchi hawana imani na jeshi la Polisi.Ni sawa, naona sasa tunaenda kuelewana.
Tunaposema escort ya polisi maana yake ni idara ya jeshi la polisi, hatuzungumzii mtu binafsi, idadi ya kiasi gani unaenda kutoa na kusafirisha atakaeijua kwa upande wa polisi ni mkuu atakaye saini rifu za wewe kuruhusiwa kuambatana na askari utakaopewa na rifu hiyo kupigwa muhuri wa kituo, na askari utakaopewa hawatajua pesa ni kiasi gani. Ili mchongo usukwe na pesa itembee ni lazima askari hao nao wafe wote wawili hapo ndipo mzigo utatembea na silaha za jeshi pia zitatembea.
Ukimfuata askari polisi binafsi bila kupitia kituo cha polisi na ukapewa askari hilo ni la kwako na sio la polisi, na hili tunafanya sana yani.
Hapa ndipo tamaa ya kuendesha RANGE inapopata nafasi.
ππππ Over my died bodyWafanyabiashara wakubwa wilayani Songwe wametakiwa kuwachukua Askari Polisi kwa ajili ya kuwasindikiza (Escort) wanapokuwa kwenye shughuli zao za kwenda kuuza madini na kuchukua hela na kuzipeleka benki ili kuepuka kufanyiwa uhalifu wanapokuwa njiani.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe ACP Theopista Mallya ameyasema hayo leo Desemba 12, 2023, alifungua mafunzo ya ulengaji wa shabaha kwa wamiliki wa silaha za kiraia wilaya ya Songwe na kusema kuwa, ni vyema unapokuwa unaenda kupima dhahabu au unapokuwa na hela nyingi ni bora kuchukua askari kwa usalama wako na mali yako.
"Unakuta mtu anaenda kupima dhahabu au kupeleka hela benki bila ulinzi kutokana na hivyo anavamiwa na kuchukuliwa hela pamoja na mali zake, mara nyingine na yeye anapoteza uhai kwa jambo ambalo angefuata utaratibu wa kuchukua Askari Polisi kwa ajili ya ulinzi madhara hayo yasingeweza kutokea," amesema Kamanda Mallya.
Kwa upande wa wafanyabiashara hao walimuahadi Kamanda Mallya kutekeleza agizo hilo ili kuwa salama wao na mali zao.
Kwa 7bu tulishalishwa sumu tangu tunazaliwa kua polisi ni wabaya kama tulivyolisha sumu kua mwarabu kamtesa muafrika kwa picha za kuchora na wazungu, wakati warabu wenyewe ni waafrika wenzetu. Lengo la wazungu ni kutugombanisha ili waendelee kuitawala Afrika.Wananchi hawana imani na jeshi la Polisi.
Hawajasahau kesi ya kina Ramadhani Zombe bado.
Aah, kabla hujamaliza la Polisi ushakimbikia la Muarabu ni Muafrika.Kwa 7bu tulishalishwa sumu tangu tunazaliwa kua polisi ni wabaya kama tulivyolisha sumu kua mwarabu kamtesa muafrika kwa picha za kuchora na wazungu, wakati warabu wenyewe ni waafrika wenzetu. Lengo la wazungu ni kutugombanisha ili waendelee kuitawala Afrika.
Sumu iliotumika kuwachukia warabu ndio sumu hiyo hiyo iliotumika kuwachukia Polisi nchi hii.
hizo hizo kidogo matapeli huzitakaHela itokayo ktk ATM kwa masaa 24 ktk acount 01 ni milioni moja wa utaratibu wa awamu 02 kwa baadhi ya benki na awamu 3 baadhi ya benki.
Kuna ATM zinatoa 600,000/= kisha 400,00/= eg CRDB, awamu 02
Kuna ATM zinatoa 400,000/=, 400,000/= kisha 200,000/= eg NMB.
Ukitaka kutoa pesa zaidi ya hapo kwa benki utalazimika kuingia ndani.
Biashara ya utumwa mwarabu alinunua mtu kutoka ktk familia yake, hivyo wazee ndio huuza watoto wao, yani mbongo mwenyewe ndio anamuuza mtoto wake kwa tamaa zetu za kutaka pesa.Aah, kabla hujamaliza la Polisi ushakimbikia la Muarabu ni Muafrika.
What's next? Biashara ya utumwa iliyoendeshwa na Waarabu huku Afrika haikuwahi kutokea, hiyo ni hadithi ya Wazungu tu ya kutaka kutugombanisha na Waafrika wenzetu wanaoitwa Waarabu?