Mimi imani yangu kwao ni sifuri. Nikiwaona naona nipo hatarini zaidi kuliko wasipokuwepo. Tutawaamini vipi wauaji? Kazi waliyopewa na bosi wao ni kupiga na kuua kisha kusingizia raia kuwa wmerusha kitu chenye ncha kali. Hivi polisi wakimuhoji mtu mpaka akafa wataaminika?!
Ndugu wanaJF,
Naomba maoni yenu juu ya imani yenu kwa jeshi la
polisi kuhusu utendaji kazi wake na mahusiano yake na jamii katika
kudhibiti vitendo vya rushwa,uhalifu sambamba na kuzuia na kupambana na
hali zote zinazoweza kupelekea uvunjifu wa amani.
Lengo la kuomba maoni
yako ni kunisaidia mimi kwenye kuandaa matokeo kutokana na utafiti mdogo
ninaofanya kuhusu "MAHUSIANO BAINA YA VYOMBO VYA DOLA NA RAIA KATIKA
KUSIMAMIA HAKI"
Tayari nimekusanya maoni kutoka kwa wadau
mbalimbali na wananchi kuhusu mahakama na magereza.
Niambie unaliamini jeshi la polisi kwa asilimia ngapi?
100%, 90%, 80%, 70%, 60%, 50%, 40%, 30%, 20%, 10% au 0%
Naomba
umakini (seriousness) uzingatiwe katika kujibu.
Karibuni
Ndugu wanaJF, Naomba maoni yenu juu ya imani yenu kwa jeshi la polisi kuhusu utendaji kazi wake na mahusiano yake na jamii katika kudhibiti vitendo vya rushwa,uhalifu sambamba na kuzuia na kupambana na hali zote zinazoweza kupelekea uvunjifu wa amani. Lengo la kuomba maoni yako ni kunisaidia mimi kwenye kuandaa matokeo kutokana na utafiti mdogo ninaofanya kuhusu "MAHUSIANO BAINA YA VYOMBO VYA DOLA NA RAIA KATIKA KUSIMAMIA HAKI" Tayari nimekusanya maoni kutoka kwa wadau mbalimbali na wananchi kuhusu mahakama na magereza. Niambie unaliamini jeshi la polisi kwa asilimia ngapi? 100%, 90%, 80%, 70%, 60%, 50%, 40%, 30%, 20%, 10% au 0% Naomba umakini (seriousness) uzingatiwe katika kujibu. Karibuni
ndugu wanajf, naomba maoni yenu juu ya imani yenu kwa jeshi la polisi kuhusu utendaji kazi wake na mahusiano yake na jamii katika kudhibiti vitendo vya rushwa,uhalifu sambamba na kuzuia na kupambana na hali zote zinazoweza kupelekea uvunjifu wa amani. Lengo la kuomba maoni yako ni kunisaidia mimi kwenye kuandaa matokeo kutokana na utafiti mdogo ninaofanya kuhusu "mahusiano baina ya vyombo vya dola na raia katika kusimamia haki" tayari nimekusanya maoni kutoka kwa wadau mbalimbali na wananchi kuhusu mahakama na magereza. Niambie unaliamini jeshi la polisi kwa asilimia ngapi? 100%, 90%, 80%, 70%, 60%, 50%, 40%, 30%, 20%, 10% au 0% naomba umakini (seriousness) uzingatiwe katika kujibu. Karibuni