Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Una imani na utendaji wa Jeshi la polisi?


  • Total voters
    111
amani iliyopo ni woga tu wa watz polisi hawafai hata kupewa hata 0%. May be -20%. Kila kitu kwao ni siasa tu wakingojea kukingiwa kifua na akina lukuvi & co. Polisi gani aweze kulenga shabaha kwa mtu anayemkimbiza muuaji lakini asiweze hata kumvunja miguu huyo muuaji? Uongo mwingine wahitaji kuupima kabla. Wanangojea kupiga tuu. Huko ccp mlifundishwa kupiga tuu?
 

Umenichekesha sana bana. Hata mimi ni hivyo hivyo
 
Mimi nawapa 2% kwa heshima ya ndugu zangu ambao ni police
 
Kiukweli jeshi letu siyo tu kwamba limekosa heshima bali limebadilishwa kuwa taasisi ya watu binafsi(ccm)ili kulinda maslahi yao na kuwasahau watanzania.mimi binafsi nina imani ya asilimia 0 na jeshi la polisi
 

Kwa 7bu ya wazalendo wachache sana waliopo imani yangu kwao ni 15%
 
Napendekeza iwekwe poll kwa ajili ya hii topic. Kama mleta maada hujui namna ya kutengeneza muombe mods akusaidie. Wasiliana na Paw.
 
Last edited by a moderator:

30% tuuu
 
10% kiutendaji, kimahusiano, kimbinu, na kwa kweli linafanya siasa za chama cha mapinduzi. sina hata punje ya shaka kuwa ni jeshi la chama tawala kukisaidia chama tawala kuendelea kuwepo madarakani.

Si wa kweli, wanachonganisha wananchi maana upelekapo taarifa za uhalifu wanamwambia mhalifu nani amekuja kuwapa taarifa hizo. Halishughuliki na matatizo ya wananchi ila linashughulika na ulinzi wa viongozi...kwa ufupi ni jeshi la viongozi walioko madarakani.
suala la rushwa hapo ndiyo kitovu chake. angalia traffic anakukamata kwa makosa yasiyoweza kusababisha tatizo lolote lakini makosa hasa hawashughuliki nayo. Ni traffic wa daladala maana wanapata chochote huko. Hawana mpango na kusimamia sheria za usalama wa barabarani zaidi ya magari...ukiwatazama usoni kama binadamu vile lakini simuoni binadamu ndani yao.
Ukienda vituo vya polisi huko ndiko vioski vya wakubwa...wanakusanya tu fedha
viongozi wake ...mfano Mwema, anaonyesha wazi yuko kwa maslahi ya Ikulu na ccm. Kova kauli zake ni za kilaghai...anatengeneza mood ya kutaka kuwaaminisha watz kuwa jeshi linafanya kazi tusiyoiona...press conferences zake anatumia nguvu nyingi kuelezea mambo madogo
Nalichukia jeshi la polisi 100%
 

0% sina imani kabisa(vijana wanatumia bangi sana)
 
Nina imani ya 0.00000000000% kwa jeshi la policcm.
 
Policcm sio polisi tena maana mpumbavu ndio anatoa amri ya kupiga badala ya wataalamu wa polisi.....ccm imeliharibu sana
 
Sina imani na jeshila polis hata mahakama zao pia
 
70 asilimia utendaji mzuri.10 asilimia utendaji mbovu.20 asilimia wananchi uwezeshaji mdogo na fikra hasi za kupandikizwa na wanasiasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…