Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Una imani na utendaji wa Jeshi la polisi?


  • Total voters
    111
Wanajamvi,salamu kwanza.
Kutokana na mfululizo wa matukio ya mauaji na ugaidi hapa nchini,na kupelekea kuwepo na shirika la upelelezi la marekani(FBI) wakishirikiana na na jeshi la polisi nchini,hii ni dhahiri kuwa huu ni uzushi na danganya toto kwa watanzania.
Nikianzia na tukio la Dr.ulimboka.Mtu aliyekamatwa si mtanzania,kwa nini Dr ulimboka asihojiwe wakati yeye ndio victim yu hai na anawatambua waliomteka,ulimboka alikamatwa akiwa hai na alikuwa anatambua kila kitu kilichokuwa kinaendelea.Huu ni uzushi na uongo kwa watanzania,aliyekamatwa kwenye tukio hilo kesi yake haieleweki imefikia wapi,huku tukio la kutekwa na kuteswa kwa ulimboka likifuatiwa na kauli ya kwamba NI SIRI YA TAIFA.Ninachokifahamu serikali wanaogopa kumpeleka mahakamani na wanatumia mahakama kama sehemu ya kufichia maovu kwa kisingizio cha upelelezi haujakamilika na kuwa na hofu ya Dr ulimboka kuwa shahidi namba moja.Wamemkamata kijana wa watu kama funika kombe tu.Huu ni uzushi na udanganyifu kwa watanzania.
Pili,tukio la mabomu Arusha ktk kanisa la Olasiti na katika mkutano wa chadema,wote wanaokamatwa ni raia wa kigeni kulikoni? Huu ni uzushi. Hakuna ukweli wowote,bali ni uzushi wa kuwadanganya watanzania ilihali serikali inajua mrushaji wa mabomu ni nani.Hii inafanyika ili kuwapoza watz kwani jambo likiwa mahakamani si rahisi kulizungumzia.kwa nini mwigulu asihojiwe kwa kauli yake ya kwamba "watu wa Arusha msipoichagua ccm mtakufa" serikali inajua aliyerusha bomu lakini wanakamata watu wasio na hatia ili kuzuia mjadala,hii ni mbinu chafu na tumeishajua kuwa ndio sehemu ya serikali kujinusuru na hizi tuhuma.
Kwa mtazamo wangu,hakuna ukweli wowote na serikali ni mtuhumiwa no moja,lakini ipo siku ukweli utajulikana tu.Serikali ya ccm inafanya maovu na kujifichia mahakamani kwa kudai upelelezi unaendelea...huu ni uongo wa hali ya juu,na udanganyifu mkubwa kwa watz..wakati ukweli upo.
 
Ungetaka kujua FBI au CCM wanafanya kazi kama kwenye bomu angeuawa mmarekani au bomu lingempiga mtoto wa mwigulu, hapo ungeona jinsi serikali inavyo tenda kazi, lakini kwasababu ni wao wenyewe wanayo yafanya haya, ni kitendawili kitupu, ni sawa na kuiba kitu cha mwenzako alafu unaanza kujifanya kukitafuta
 
2cpende kuamini kile 2nachodhan cc kuwa n sahihi kwa 100%, coz the reality will real suprise us.
 
View Poll Results: Una imani na utendaji wa Jeshi la polisi?

Voters 80. You have already voted on this poll


  • Ndiyo


    33.75%
  • Hapana


    7796.25%

    MAISHA BORA KWA KILA M-DANGANYIKA. Mimi nina imani nao Polisi kwa sababu ya wale Twiga na Wanyama
  • wa Porini kusafirishwa kwa ndege na Polisi wanajuwa lakini hakuna anaye wakamata nina imani na Polisi
  • wa Ki-Danganyika.


 
Last edited by a moderator:
Hivi kulikuwa na sababu yo yote ya kutumia risasi kumkamata Shehe Ponda?!
 
Jeshi letu la polisi ni jeshi ambalo mfumo na sheria zake tulirithi kutoka enzi za kikoloni.lakini JWTZ tulibadili mfumo wake 1964 na kuwa jeshi la kizalendo.
Kwa siku za karibuni jeshi hili la polisi limekuwa nijanga na kuilalamikiwa na wananchi kwa utendaji kazi wake mbovu hasa mateso kwa raia waliotakiwa kulindwa na jeshi hilo na zaidi kuwabambikia kesi za kisiasa hivyo kuonyesha ni jeshi la chama cha siasa badala ya kulinda watu wote pasipo kujali itikadi za vyama.

Ni budi sasa jeshi hili libadilishwe mfumo na sheria zake za kiutendaji pamoja kwani historia ni hakimu wa kizazi kipya tena ina tabia ya kujirudia hivyo watawala wa sasa wasifurahie utendaji mbovu wa jeshi hili na hapo baadaye likawarudi

Kwa sasa kiundwe chombo mahususi cha kisheria[bodi]kufuatilia utendaji wa jeshi hili ili kujiridhisha utendaji wake ambao unalalamikiwa na kila mtu.


Nchi hii ni ya watanzani wote
 
SINA IMANI HATA KIDOGO NINAWEZA KUWA NA IMANI NA SHETANI ILA SIYO POLISI WA TANZANIA. Hilo ni kundi la majambazi lililo alalishwa na serikali, kwa kupewa baraka zote za kuua, kubambikiza kesi, kupora mali badala ya kulinda. I hate tzanian polisi km ingekuwa inawezekana kulifuta basi ningependa liwe hvy.
 
Bora jambazi kuliko police wanaua bila. Wan kudhalilisha. Wanambambika raia kesi za uongo
 
Nina imani na sheria zinazounda na kusimamia jeshi la polisi lakini si binadamu wanaounda jeshi hilo.
 
WAJUMBE SWALI KIFUNGU HICHO KINA AFIKIWAAA?
WAJUMBE: Ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Nawakubali kwa sababu bila wao leo usalama wa nchi ungekuwa pabaya, licha ya mapungufu waliyonayo bado wanahitajika nao ni watanzania lazima tuwakubali kwa sababu wengine ni baba na ndugu zenu.

Mjomba wangu ni Polisi na mtoto wa Shangazi ni Polisi, mtoto wa famili frend wetu ni polisi lakini sina Imani nao!
 
Kama police wetu watawacha kuwapiga watu kwenye mikutano yao amani itakuwepo tu kazi yao nikulinda amani na usalama wa raia na mali zao lakini wao wamekuwa kichochezi kikubwa ndani ya jamii
 
Hahaha sikuwa nimeiona kaka...
Hivi hawa polisi wamekuwa wahariri wa mabango ya maandamano?! Kwa nini wamechana bango la waalimu waliokuwa wanalalamikia posho kubwa waliyokuwa wanalipwa wajumbe wa bunge la katiba kulinganisha na mishahara yao ya mwezi katika maandamano ya siku ya waalimu huko Bukoba?!

Kwa nini hawakutaka waalimu kufikisha ujumbe wao kwa Pinda?!

Hakika polisi ni janga la Taifa!!!!!
 
Back
Top Bottom