amani iliyopo ni woga tu wa watz polisi hawafai hata kupewa hata 0%. May be -20%. Kila kitu kwao ni siasa tu wakingojea kukingiwa kifua na akina lukuvi & co. Polisi gani aweze kulenga shabaha kwa mtu anayemkimbiza muuaji lakini asiweze hata kumvunja miguu huyo muuaji? Uongo mwingine wahitaji kuupima kabla. Wanangojea kupiga tuu. Huko ccp mlifundishwa kupiga tuu?