Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Una imani na utendaji wa Jeshi la polisi?


  • Total voters
    111
naliamini kwa asilimia 0.3 tu kwa kuwa kuna muda huwa wanafanya wajibu wao
 
Sijui......
naomba maoni yangu pia yaheshimiwe!
 
Ndugu wanaJF, Naomba maoni yenu juu ya imani yenu kwa jeshi la polisi kuhusu utendaji kazi wake na mahusiano yake na jamii katika kudhibiti vitendo vya rushwa,uhalifu sambamba na kuzuia na kupambana na hali zote zinazoweza kupelekea uvunjifu wa amani. Lengo la kuomba maoni yako ni kunisaidia mimi kwenye kuandaa matokeo kutokana na utafiti mdogo ninaofanya kuhusu "MAHUSIANO BAINA YA VYOMBO VYA DOLA NA RAIA KATIKA KUSIMAMIA HAKI" Tayari nimekusanya maoni kutoka kwa wadau mbalimbali na wananchi kuhusu mahakama na magereza. Niambie unaliamini jeshi la polisi kwa asilimia ngapi? 100%, 90%, 80%, 70%, 60%, 50%, 40%, 30%, 20%, 10% au 0% Naomba umakini (seriousness) uzingatiwe katika kujibu. Karibuni
Mimi siliamini kabisa kwa hiyo weka 0%
 
0% Jeshi limevamiwa na wanasiasa uchwara chama cha mauaji unategemea nini mkuu? Hamna jeshi la polisi hapo
 
jeshi la polis linatumiwa na chama cha mapinduzi.
 
Naliamini.siyo kila mahali ni wabovu kwani ingelikuwa hivyo hata amani hii kidogo tuliyonayo isingelikuwepo.
 
Hawa wanatumiwa na chama cha mauaji {ccm}
kwahyo nawaamini kwa 0%
 
5% on performance. 5% on ethics. Wako wazalendo wachache sana ambao wanakabiliwa na extinction kama hatua za haraka na dharura za kuwanusuru viumbe hao adimu ktk jeshi hazitachukuliwa.

Maoni:
Hili Jeshi ni irrelevant kwa kuzingatia mahitaji na malengo ya Kitaifa hivyo livunjwe na kuundwa upya haraka. Kwa sasa Jeshi la polisi sio jeshi la kulinda usalama wa raia wala mali zao bali kuzipora na kuziangamiza.Tena ni sehemu ya mtandao mpana na hatari wa uhalifu unaojihusisha na ujambazi, madawa ya kulevya na mambo kama hayo.
 
Hakuna jeshi hapo,ndo maana marekani wanakuja na police wao maana hawa mbwa koko wanategemea mavi ya walevi au kula majalalani (-%)
 
20% based on an assumption that there are some angels within the land locked of "devils" .
 
Siliamini kwa 0% ni wauwaji wakubwa wamekuwa kama mbwa anaeambiwa ng'ata anang'ata hata kama mtu hana kosa SIWAPENDI HATA ROBO
 
20% maana limekuwa jeshi la chama kimoja ccm nakuacha majukumu yake, wanatumia nguvu nyingi pasipo sababu
 
Tanzania hatuna jeshi la polisi...

Tuna jeshi la polisccm =green gadi.!!!!!
 
Mimi imani yangu kwao ni sifuri. Nikiwaona naona nipo hatarini zaidi kuliko wasipokuwepo. Tutawaamini vipi wauaji? Kazi waliyopewa na bosi wao ni kupiga na kuua kisha kusingizia raia kuwa wmerusha kitu chenye ncha kali. Hivi polisi wakimuhoji mtu mpaka akafa wataaminika?!
 
Back
Top Bottom