minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Ni full majanga wapo 1%ni waadilifu kidogo sana lakini wengi wapo kibiashara zaidi wanawabambikia Raia kesi na ucheleweshaji kesi maksudi Waige mfano toka Kenya na Uganda wakuu wa jeshi la Polisi ni Wanajeshi na Wakuu wa Majeshi wana Nguvu sana na imesaidia angalau kidogo nidhamu ya kijeshi ipo tofauti na hapa tz kuingia bure kutoka Pesa .