Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je, unakubali ndoa au unakataa?

Je ni MSHANA JR au ROBERT HERIEL?


  • Total voters
    136
Unaweza Kuta Robert ndie JUMA Lokole.Chanzo Cha ustaarabu wa jamii yoyote Duniani uanzia kwenye Ndoa.Ila Jamii imevamiwa na Mashoga hatari tu.2.
 
Kwa hoja,Robert amezidi mshana mbali sana...

Sijawahi kuona mshana kaandika mada halafu akazama ile deep mpaka Nika feel huyu mtu hiki kitu anakijua..namuona kama Google flani hivi...

Ila tukirudi kwenye mada Cohabitation ndo new age approach..
Tafuta binti ishi nae,zaa nae bila ndoa..

Easy in,easy out.Akizingua piga chini sepa,Lea watoto..Tafuta binti mwingine muweke kiunyumba bila ndoa nadhani hii ndo approach suitable kwa Sasa..

As A man should avoid papers at all cost...
Alphabet huyu hapa.
 
Imani yangu, malezi yangu nikijumlisha na utamaduni wa taifa langu siwezi kukataa NDOA so katika hili naungana na
Mbona ulikataa kujioa ingali nilinunua mpaka engagement ring......ulisema kuoa single mom Bora ufe Kwa kupigwa fungu la kichwa.😭😭 Daa
Siwezi kukataa kuoa hata kama mwanamke ana watoto wawili. You had me in all your ways, with unknown reasons you pushed me away alafu hapa unanisingizia lol😄😄
 
Bro Kaoa hata January haikuisha Anamchana Mkewe nimemiss kua single nenda kwa Mama ukatembeetembee utarudi[emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣Aisee,unaanza kuhisi unabanwa Fulani ivi....Yaan mambo haya bhana🤣🤣🤣 Ndo madhara ya kuchelewa kuoa au kuolewa
 
Imani yangu, malezi yangu nikijumlisha na utamaduni wa taifa langu siwezi kukataa NDOA so katika hili naungana na

Siwezi kukataa kuoa hata kama mwanamke ana watoto wawili. You had me in all your ways, with unknown reasons you pushed me away alafu hapa unanisingizia lol😄😄
🤣🤣🤣Ngoja nikusemelee Kwa wanajf wakunyooshe Kwa kunibagua😜
 
Ndoa ni Ibada
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Heshima

Muhimu ni kumpata Mtu sahihi mtakayewezana.
Hii ishu ya kushinda ukitafuta mtu sahihi wakati Satan yupo road ni uongo ipo siku atamfikia tu. Pick any akijifaragua weka yeye chini pick anaza
 
Back
Top Bottom