THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Kuna muda mwingine wawe wanaamgalia na mtu wa kukulinganisha naye mkuu. Vijana wanaojifunza uandishi wana vingi vya kujifunza kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alphabet huyu1 kataa ndoa kwa afya ya akili
Mbona ulikataa kunioa ingali nilinunua mpaka engagement ring......ulisema kuoa single mom Bora ufe Kwa kupigwa rungu la kichwa.😭😭 DaaImani yangu, malezi yangu nikijumlisha na utakachokikuta wa taifa langu siwezi kukataa NDOA so katika hili naungana na Mshana Jr
Kwahyo wewe hautooa[emoji849]Emotional,economically dependant
Alphabet huyu hapa.Ndoa ni uhuni uhuni wa Kibusara busara, Afu ndoa zinaslow down zoezi la kujaza dunia.
Alphabet huyu hapa.Kwa hoja,Robert amezidi mshana mbali sana...
Sijawahi kuona mshana kaandika mada halafu akazama ile deep mpaka Nika feel huyu mtu hiki kitu anakijua..namuona kama Google flani hivi...
Ila tukirudi kwenye mada Cohabitation ndo new age approach..
Tafuta binti ishi nae,zaa nae bila ndoa..
Easy in,easy out.Akizingua piga chini sepa,Lea watoto..Tafuta binti mwingine muweke kiunyumba bila ndoa nadhani hii ndo approach suitable kwa Sasa..
As A man should avoid papers at all cost...
Waache wakomae mm lazima ni vute jiko[emoji847]Kupiga nyeto
Siwezi kukataa kuoa hata kama mwanamke ana watoto wawili. You had me in all your ways, with unknown reasons you pushed me away alafu hapa unanisingizia lol😄😄Mbona ulikataa kujioa ingali nilinunua mpaka engagement ring......ulisema kuoa single mom Bora ufe Kwa kupigwa fungu la kichwa.😭😭 Daa
Alphabet huyu hapaKataa ndoa
For reallyNdoa ni Ibada
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Heshima
Muhimu ni kumpata Mtu sahihi mtakayewezana.
🤣🤣🤣🤣Aisee,unaanza kuhisi unabanwa Fulani ivi....Yaan mambo haya bhana🤣🤣🤣 Ndo madhara ya kuchelewa kuoa au kuolewaBro Kaoa hata January haikuisha Anamchana Mkewe nimemiss kua single nenda kwa Mama ukatembeetembee utarudi[emoji1787][emoji1787]
Hapa tuko pamoja mkuu, ndoa ni lazima ili nikamilike. Kuna baadhi ya vitu unaweza ukavifanya lakini kama ungefanya baada ya kushauriana na mwenzako vingenyooka zaidi.Waache wakomae mm lazima ni vute jiko[emoji847]
🤣🤣🤣Ngoja nikusemelee Kwa wanajf wakunyooshe Kwa kunibagua😜Imani yangu, malezi yangu nikijumlisha na utamaduni wa taifa langu siwezi kukataa NDOA so katika hili naungana na
Siwezi kukataa kuoa hata kama mwanamke ana watoto wawili. You had me in all your ways, with unknown reasons you pushed me away alafu hapa unanisingizia lol😄😄
Hakika umekuwa Goodman🥰For really
Hii ishu ya kushinda ukitafuta mtu sahihi wakati Satan yupo road ni uongo ipo siku atamfikia tu. Pick any akijifaragua weka yeye chini pick anazaNdoa ni Ibada
Ndoa ni Baraka
Ndoa ni Heshima
Muhimu ni kumpata Mtu sahihi mtakayewezana.
Haha haya bhana my lovely X ninayempenda bado. Hivi ile engagement ring bado unayo au ndiyo ulishamkabidhi mwengine?🙄🤷🤣🤣🤣Ngoja nikusemelee Kwa wanajf wakunyooshe Kwa kunibagua😜