Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Asee situnambiwa ni binadamu na Dolphins tu ndo wanagegedana kwa starehe hao wengine ni kwa kuzaliana tu iyo nyegere niaje ase? Afu mimi nikigumiana nae porini ntajitahdi nimdake halafu nimfunge nianze kujiachia na jike lake huku yeye anaona, bwege sana uyo nyegere yani anaminyana na K ivo
Utajiachia na jike lake? Kivipi [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Fisimaji tatizo lake sio wivu bali ni tamaa ya ngono. Yeye hata akikuta mwamba wa jiwe umetoboka mfano wa papuchi lazima aushughulikie mpaka amalize hamu yake.

Hahahahahahahaha lol umetisha!!!!sasa wamama wa uswahilini kumtukana mtt fisi maji mkubwa we ckumdhalilisha jmn yaani inamaana kafanana tabia na hicho kifia nyeeeee!!!
 

  1. Mkuu Mkereketwa haina haja ya kuniita muongo,ungeweza kutoa usahihi ya maelezo yako ya "kitaalamu" bila kunipa hilo jina.
    Mimi nimefundishwa kwa kurithishwa na mababu zangu wawindaji tabia za mnyama huyu na jinsi ya kukabiliana nae,Wazee hawakuwa wameenda shule kusomea mambo ya wanyama,wao walikuwa wanajuwa mashuzi ya Nyegere si tu kujilinda na maadui kwa harufu kali,bali pia kuwapumbaza nyuki kila wanapokuwa wanakwenda kuvamia asali

    Naahukuru kuwa hujapinga kuwa nyengere hujamba mashuzi yanayonuka,maana hii ndio sifa yake moja wapo kubwa,hizo sababu nyingine ni za elimu darasa ambazo babu zetu hawakupitia.Hata leo ukienda kijijini kwangu ukawaambia mashuzi ya nyegere hayaleweshi nyuki hawatakuelewa na huo "utaalamu" wako
Umejibu kibusara zaid, jamaa anataka naye aoneshe uelewa na kuonekana anapiga hoja lakn ukweli amekubaliana na ww, point ni ushuzi hata yeye amekubali kuwa anatoa ushuzi sasa sijajua ni kipi anachopinga na kukusema mwongo
 
Mbona avatar ni nyingi sana,kwanini wote tutumie moja?na kuna jamaa mwingine nae anaitwa makaveli anatumia avatar yangu.Helloo...can somebody help me pleeeease!
huyo ni 2 pac mkuu sio wewe ni mtu mashuhuri dunia hata watu mia mnaweza kuweka avatar yake ni kwamba mmemkubali...walioweka avatar za mandela au Nyerere pia watoe kwa kuwa kuna mmoja kaweka na kusema yake kuna watu sio wako ni wa jamii nzima...turudi kwene nyegere..
 
huyo ni 2 pac mkuu sio wewe ni mtu mashuhuri dunia hata watu mia mnaweza kuweka avatar yake ni kwamba mmemkubali...walioweka avatar za mandela au Nyerere pia watoe kwa kuwa kuna mmoja kaweka na kusema yake kuna watu sio wako ni wa jamii nzima...turudi kwene nyegere..
Tupac hana picha moja,ana picha zaidi ya elfu,kwani ukiona hiyo picha uliyoweka kuna mtu tayari anaitumia ukachagua ingine kungekuwa na shida gani?Unaweza kuweka hata ya mama yako
 
Tupac hana picha moja,ana picha zaidi ya elfu,kwani ukiona hiyo picha uliyoweka kuna mtu tayari anaitumia ukachagua ingine kungekuwa na shida gani?Unaweza kuweka hata ya mama yako
kuiga avatar mwenyewe hua sipendi, kuna mdau aliiga avatar yangu ikabidi niibadilishe, kumuiga mtu avatar ni sawa na kuiga id yake tu
 
Tupac hana picha moja,ana picha zaidi ya elfu,kwani ukiona hiyo picha uliyoweka kuna mtu tayari anaitumia ukachagua ingine kungekuwa na shida gani?Unaweza kuweka hata ya mama yako
mkuu naona umedhamilia...ungekuepo enzi za tupac si ungewakataza watu wasitembee kama tupac au wasivae nguo machata ya pac..sasa kama zipo nyingi si ubadilishe kwa nini utake kuongea kwa vitu vidogo tuu ivyo avatar sijui duu wewe jamaa wa wapi..
 
mkuu naona umedhamilia...ungekuepo enzi za tupac si ungewakataza watu wasitembee kama tupac au wasivae nguo machata ya pac..sasa kama zipo nyingi si ubadilishe kwa nini utake kuongea kwa vitu vidogo tuu ivyo avatar sijui duu wewe jamaa wa wapi..
kuweka avatar ya tupac sio shida, ila kuweka avatar ileile exactly kama aliyoweka mwenzako, unakuwa umekosa nyingine?
na avatar zina maana ndio maana jf wakaweka sehemu ya avatar na id, la sivyo wasingeweka
 
Back
Top Bottom