Na vile baba mnajua kujipendelea. ππHahaha we acha Mkuu, chezea vipolo vyotee lkn sio kipolo cha wali Nazi...unaweza nunulia watoto ngano ,ili kipolo kibaki kua chako ..nabado watoto wakataka kipolo ikoiko mtoke pasu !!!!...
Sema siku hizi nikipika , napika lkn sienjoy kivile ,sijui kwann ??....
Et nijikaribishe[emoji23][emoji23] napenda sana njegere.... nisipoipika njegere kama mboga bas ntaiweka kwenye wali,pilau, nyama yaan popote pale itakapofit mradi roho yangu isuuzikeHahahaha kumbe unapenda wali njegere.... Jikaribishe kwangu, nikupikie nawewe kesho yake unipikie ..
πππ Kilitokea nini mwaya?Sitasahau hyo siku nmerud likizo toka boarding nkakuta wamepika wali na njegere za nazi na nlikua napenda sana njegere
Hapo nlikua nmemiss msosi wa home bas nlikulaaa had nkavimbiwa[emoji23][emoji23] mateso yake sitayasahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Aahhh unajua ukianza kupika mpaka ule ,nanjaa imekata ..Na vile baba mnajua kujipendelea. [emoji3][emoji3]
Duuh!! Kwa nini sasa uenjoy au umezowea sana cha kununua Mkuu?
Hahahaha uwiiii ,wewe mjuzi ..iyo ndo yenyewe sasa !!Et nijikaribishe[emoji23][emoji23] napenda sana njegere.... nisipoipika njegere kama mboga bas ntaiweka kwenye wali,pilau, nyama yaan popote pale itakapofit mradi roho yangu isuuzike
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh. Niko mbioni kujaribu kupikia. Nitaleta mrejesho.Haiwi nzito kama ile OG unless uweke pact 2 bt harufu yake nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Kilitokea nini mwaya?
Mi basi hii hali inanikuta nikipika chapati. Yaani huwa sizihisi kabisa na hamu nazo inakata sa sijui ni ule moshi?Raha ya chakula upikiwe,hata mm nikipika chakula wakati wa kula hua sienjoy vzur kama kile amepika mwingine then mm niwe mlaji ila ukitoka kupika af ukaanza kula kwel hata huenjoy vzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Aahhh unajua ukianza kupika mpaka ule ,nanjaa imekata ..
Sema hata siku kupika mpaka weekend
Em jaribu,kwa wali nzuri sana na mboga kama dagaa. Ila kwa mboga ya taifa na kisamvu haitafaa sana maana ile inataka nazi ikolee vzurOoh. Niko mbioni kujaribu kupikia. Nitaleta mrejesho.
Sawa sawa ila kwa heshima Leo tubaki hewani mpaka mishale ya saa 12 ya kwa nyerere.Ooh. Niko mbioni kujaribu kupikia. Nitaleta mrejesho.
Yeah nadhani ni ule moshi na harufu ya msosi me. Mm inanitokea sana nikipika samaki...ile process ya kukaanga then unakuja kuunga bas nikiona hyo hali hua baada ya kupika sili mda huo. Nasubir kama lisaa hv ndo naenda kula ndo ntaenjoyMi basi hii hali inanikuta nikipika chapati. Yaani huwa sizihisi kabisa na hamu nazo inakata sa sijui ni ule moshi?
Ila jamani tunapenda chakula cha nazi lakini mtihani upo kwenye kukuna hiyo nazi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mm napika kama Shadeeya tu
Naanza na tui jepesi
Namaliza na zito
Ila muda wa kukuna nazi sina
Nikijiskia kupika na kula nazi basi hua ya azam either1 au 2
Inategemea naihitaji kwa kias gani
Wee acha bana, mwanamke ndo kila kitu ndani ya nyumba na kwa Mume mwenyeweHahahahaa na kwel binadamu lazima waseme mkeo hakujali kumbe ni mwili wake tu hauna shukrani
Eeh kwel wakaka weng sana ukiangalia picha zao before n after ndoa kuna tofauti sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nifundishe kwa kunisimamiaEm jaribu,kwa wali nzuri sana na mboga kama dagaa. Ila kwa mboga ya taifa na kisamvu haitafaa sana maana ile inataka nazi ikolee vzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mi siku ya kwanza kumwona sikujua kama ni yeye.Kwakweli ukioa na usinenepe basi wee una bila zako zakutaka kuonyesha kama mtoto wa watu hakujaliSiunaona Enock Bwigane wa TBC alikua chembamba..lkn baada ya KUOA ,... Kawa kama kifutu ...
Lazma ninenepe tu
Ngoja niandae tumbo hapaAndaa tumbo tu Ses mana kama ni huo mkate ushapata. ππ