Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Yani Mabus yatoke Dar yote yamefatana kuelekea Arusha, afu moja lina pinduka mnasema kuna mkona wa Israel 😄
 
Ni wao tu! Hata Ritz Malaria 2 FaizaFoxy Kosugi brazaj @alwaz na Covax wamejichimbia uvunguni mwa Vitanda vyao wakiogopa Israel! Hamas kwisha
 
Mshaambiwa hali mabaya ya hewa, sasa israel ndio kaweka hali mbaya ya hewa ama!!

Yule waziri wa israel ajali yake kulikuwa na mkono wa iran..

Binafsi nakubali ni hali mbaya ya hewa na siku zake zimetimia hakuna namna.
na kwamba hyo "hali mbaya ya hema" hawakuiona ?! Au je ukungu ilitokea ghafla ?! Kama waliona hali hyo kmanini hawakuchukua hatua ?! Kama walijihakikishia kupita salama ? Je hawajawahi kupita katika "hali hiyo mbaya" ya hewa ?!
 
Itakuwa ni ajali ya kawaida , japokuwa kuna maswali ilikuwaje wakaande helicopter kwenda nje ya nchi? Watu wa hali ya hewa hawakuwepo ili kuzuia wasisafiri kwenye ukungu?
Huyo wamemfyatua tuu , sio rahs kiongozi mkubwa kama Yule kufia kizembe namba hyo , Kwa vyovyote ni hofu ya wayahudi ndo imepelekea kusafr kwenye chombo cha hovyo kisicho imara dhidi ya weather
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…