Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #161
Mkuu karibu sana ndo vtu tunakesha navyo kila siku ila sio mbaya unaweza kujua tu mdogo mdogoNapenda sana kazi za kutumia kompyuta, ingawa sina ujuzi wowote ila natumaini nitapata siku moja.
Thanks mkuu bado tunajituma mkuu weee acha tuuu...Endelea kujituma KIJANA good things takes time .
Mkuuu mambo si mambo acha ntutafute pesa hayo mambo ya utumwa wakati unapiga pesaPesa zizikufanye mtumwa.
Kuna Muda WA kazi na kuna Muda wa mapumziko pia.
Nimeacha, mwaka mpya na mambo mapya, na mimi mupya kabisaaa.Vishu Mtata acha pombe
Sasa toka lini mishangazi ikawa jau katika afya yangu mkuu ...Nimeacha, mwaka mpya na mambo mapya, na mimi mupya kabisaaa.
Na wewe acha kutembea na mishangazi lika la bibi zako
Thanks mkuu bado tunajituma mkuu weee acha tuuu...
Sema kazi za usiku hizi qcha mkuu maana kujinyima usingizi sio kitu kidogo
Hapana situmii kinywaji chochote zaidi ya majiDuuuh hapo nimekupata mkuu...
Vipi wewe huwa hutumii kinywaji chochote kile ku neutraliz
Mkuu mimi nafanya day siku saba7 night siku 7 na huwa situmii enengy yoyote. awamu hii nimepiga 5weeks night zote wala hakuna shidaView attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.
Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.
Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.
Mda wote tuna kesha na maji vs energy
Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...
Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni.mwendo wa kuchimba tuu daily...
Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa..
Je ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine..?
View attachment 3190333
Mmmmh mkuu hapo unaposema nahangaika na oldest woman daaah nimecheka sana ....Life is about a balance
Ule muda wa kuhangaika na oldest women unaweza kuutumia kulala na usiku ukafanya hiyo Kazi .
Mmmmmh basi kuna mda unalala weweHapana situmii kinywaji chochote zaidi ya maji
Kinana sio jambo zuri kutembea na watu wa rika hilo, tafuta rika lako uoe utimize lile jukumu la kuijaza dunia, hivyo vibibi mayai yalishasinyaa .Sasa toka lini mishangazi ikawa jau katika afya yangu mkuu ...
We ndo jau hivo unajua kwanini juzi ulikua unalalamika wamekuibia ....?
Utakuja kufa vibaya wewe na mke wako wahuni tukamuwoa...Mkuu mimi nafanya day siku saba7 night siku 7 na huwa situmii enengy yoyote. awamu hii nimepiga 5weeks night zote wala hakuna shida
Mkuu acha masikhara kazi gani show show za usiku..Kaz yenyewe lain unalia kuna kaz za kibabe za kiume show show husikiii barid wala usingiz
Wewe uwezi nishauri kitu vishu..Kinana sio jambo zuri kutembea na watu wa rika hilo, tafuta rika lako uoe utimize lile jukumu la kuijaza dunia, hivyo vibibi mayai yalishasinyaa .
Wanakusaidia au wanakufurahisha huku wakikuharibia FUTURE.Mmmmh mkuu hapo unaposema nahangaika na oldest woman daaah nimecheka sana ....
But all in all hawa watu ndo huwa wananisapport katika mambo yangu an hawa ndo core hvo kuwa escape ni hapana...
Kama sasa hv nawaza nilale kidogo ofisi tafungua hata saa sita hvi
Mkuu mkuu mbona kama upo seriously kabisa kunishauri about that things...Wanakusaidia au wanakufurahisha huku wakikuharibia FUTURE.
MTU aliyekuzidi umri 10 mbele mwanamke ni ngumu kuwa rule modal wako japo inawezekana
Huyo jamaa fundi anayekunywa.tatu asubuhi ni kijana kabisa wa miaka 35 na hana hata miaka 7 ya kuzinywa.Mkuu naachana nazo nimekua najua hzi ni story story tuu..
Maana wanasema ukifika uzeeni kama ulikua mtu wa energy drnk lazima zitakusumbua tuu ndo mana nikawa na doubt kidogo je kama umri wa uzee ni 70+ huko je tangu energy ziwe release kuna mtu amekua affected waka conclude hayo maneno..
But all in all naachana nazo mkuu japo ndo wepon yangu kwa kazi za usiku