Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Bado mgeni kwenye uanaume ila karibu Si bora we unajifungia ndani na PC wengine hapa ni ma-outsiders imefika hatua usiku tunauona mchana tena siyo kujifungia ndani ni kutoka nje na kuhangaika kiasi kwamba kukesha imekua siyo stori tena ya kuongelea
Wee lucha unafanya nini hiko cha kufanya mpaka sasa usiku kwako ni kawaida mkuu 🙌🙌🙌
 
Mkuu Poor Brain kama kuna kitu naweza kukushauri muda huu ni acha kunywa energe drinks kiongozi. Tafiti nyingo zinaonesha madhara ni makubwa. Juzi tu wataalamu wetu Tz wa afya tena wa serikali wamesema ni chanzo cha utasa

Niliwahi kuambiwa zina athiri moyo pia, ila zina uraibu mbaya sana inaweza kufika time ukashindwa kufanya kitu chochote bila kunywa.

Namjua fundi mmoja asubuhi hawezi kufanya kitu hadi anywe chupa tatu za energe drinks, na asipokunywa ni anatetemeka na kudata hamtaelewana.
 
ulikuwa una madini sana enzi zile 2023

shem anaendeleaje lakini? na uncle zangu?
Mkuu mpaka sasa madini yapo ni vile hapo kati nilipitia wakati mgumu tuu kichwa kikavurugika ila sasa nimerudi...

Mkuu huku hom wazima kabisa shem wako yupp.poa ..
Ma ankol wote bado wapo likizo nahisi tareh sita nitakua nao hapa mkuu

Your warmly welcome
 
Mkuu Poor Brain kama kuna kitu naweza kukushauri muda huu ni acha kunywa energe drinks kiongozi. Tafiti nyingo zinaonesha madhara ni makubwa. Juzi tu wataalamu wetu Tz wa afya tena wa serikali wamesema ni chanzo cha utasa

Niliwahi kuambiwa zina athiri moyo pia, ila zina uraibu mbaya sana inaweza kufika time ukashindwa kufanya kitu chochote bila kunywa.

Namjua fundi mmoja asubuhi hawezi kufanya kitu hadi anywe chupa tatu za energe drinks, na asipokunywa ni anatetemeka na kudata hamtaelewana.
Mkuu naachana nazo nimekua najua hzi ni story story tuu..

Maana wanasema ukifika uzeeni kama ulikua mtu wa energy drnk lazima zitakusumbua tuu ndo mana nikawa na doubt kidogo je kama umri wa uzee ni 70+ huko je tangu energy ziwe release kuna mtu amekua affected waka conclude hayo maneno..

But all in all naachana nazo mkuu japo ndo wepon yangu kwa kazi za usiku
 
Unawanga na bardi la njombe hilo mkuu.
Utakufa vibaya wewe
1.Mimi siwangi mkuu 🤣
2.Sipo njombe mkuu🤣
ILA Njombe hapana.
Wale watoto wanakula ice cream kama mandazi wakati sisi tumetinga makoti mazito na jua linawaka na tunasikia baridi mchana kote licha ya kujisiriba masweta.
Na wale wazee wanaagiza soda ya baridi asubuhi na lile winter 🤣🤣🤣 wana dharau sana wale wabena kuhusu maswala ya baridi hawako serious kabisa.
Mwisho tulichoka sana baada ya mateso yote hayo tukaambiwa baridi saa hiyo limeisha eti ndio msimu wa joto 🤣🤣🤣
 
1.Mimi siwangi mkuu 🤣
2.Sipo njombe mkuu🤣
ILA Njombe hapana.
Wale watoto wanakula ice cream kama mandazi wakati sisi tumetinga makoti mazito na jua linawaka na tunasikia baridi mchana kote licha ya kujisiriba masweta.
Na wale wazee wanaagiza soda ya baridi asubuhi na lile winter 🤣🤣🤣 wana dharau sana wale wabena kuhusu maswala ya baridi hawako serious kabisa.
Mwisho tulichoka sana baada ya mateso yote hayo tukaambiwa baridi saa hiyo limeisha eti ndio msimu wa joto 🤣🤣🤣
Sasa mie nimesoma pale mjini pale kilimani kabisa ukifika njombe mjini shule inaonekana kwa juu..

Kule ni kitovu cha bardi tz hapa na hapo ujaingia ndani ndani kama makete hukooo..

Jua la kule ni tochi tu..
Nakumbuka kuna kipindi tulikua tunagombana ili kukaa upande wa dirishani wenye jua 😁😁😁😁

Wabena nawapa saloute pipo zinaoga maji ya bard wakati mi kipindi hiki tuu na nipo dasalam ila uniogeshi maji nlbard
 
Kiranga the unorthodox
Hahaa, umenikumbusha The Notorious B.I.G alikuwa anasema " A nigga's unorthodox" akijisema yeye hafuati sheria za jamii.

Habari za kazi za usiku umenikumbusha miaka mingi iliyopita nilikuwa napiga kazi ya IT System Administration. Kuna mtoto mmoja wa Hong Kong yeye alikuwa anang'ang'ania shift ya usiku tu. Muziki ulikuwa haulali server inabidi liwe na mtu wa kuliangalia masaa 24.

Sasa mimi nilikuwa simuelewi, huyu kwa nini anang'ang'ania shift ya usiku tu? Yeye alikuwa anajifanya kama ananipa favor nisifanye kazi za usiku. Kwamba yeye kashazoea, kwangu itakuwa ngumu.

Nikaja kugundua kuwa jamaa anaipenda shift ya usiku kwa sababu haina usumbufu, akikaa anatulia tu, anaweza hata kulala, hakuna simu, hakuna email za kujibu, anapata shift ya mteremkooo.

Mimi wa shift ya mchana ndiye nilikuwa nafanya kazi sehemu kubwa sana😂😂😂

Sijafanya kszi za shift za usiku, ila nishaongoza project (Technical Project Manager) za dunia nzima zile hazina masaa. Unaweza kuwa umelala New York City usiku halalfu watu wanafanya kazi Japan. Australia au Singapore mchana wao wanakupigia simu utatue matatizo yao.

Siku za mwanzo nilipata tabu, ila nikagundua matatizo yao kwa kiasi kikubwa ni yaleyale yanajirudia.

Nikaandika troubleshooting documentation vizuri sana, nikaweka FAQ kwenye website ya ndani intranet. Nikawapa link.

Nikawaambia msinipigie simu mpaka mpitie hii document kwanza.

Nikakuta simu zote za usiku zimeisha, kila walichohitaji kilikuwa covered na ile document.
 
Hahaa, umenikumbusha The Notorious B.I.G alikuwa anasema " A nigga's unorthodox" akijisema yeye hafuati sheria za jamii.

Habari za kazi za usiku umenikumbusha miaka mingi iliyopita nilikuwa napiga kazi ya IT System Administration. Kuna mtoto mmoja wa Hong Kong yeye alikuwa anang'ang'ania shift ya usiku tu. Muziki ulikuwa haulali server inabidi liwe na mtu wa kuliangalia masaa 24.

Sasa mimi nilikuwa simuelewi, huyu kwa nini anang'ang'ania shift ya usiku tu? Yeye alikuwa anajifanya kama ananipa favor nisifanye kazi za usiku. Kwamba yeye kashazoea, kwangu itakuwa ngumu.

Nikaja kugundua kuwa jamaa anaipenda shift ya usiku kwa sababu haina usumbufu, akikaa anatulia tu, anaweza hata kulala, hakuna simu, hakuna email za kujibu, anapata shift ya mteremkooo.

Mimi wa shift ya mchana ndiye nilikuwa nafanya kazi sehemu kubwa sana😂😂😂

Sijafanya kszi za shift za usiku, ila nishaongoza project za dunia nzima zile hazina masaa. Unaweza kuwa umelala New York City usiku halalfu watu wanafanya kazi Japan. Australia au Singapore mchana wao wanakupigia simu utatue matatizo yao.
Sijafanya kszi za shift za usiku, ila nishaongoza project za dunia nzima zile hazina masaa. Unaweza kuwa umelala New York City usiku halalfu watu wanafanya kazi Japan. Australia au Singapore mchana wao wanakupigia simu utatue matatizo yao.
""Sijafanya kszi za shift za usiku, ila nishaongoza project za dunia nzima zile hazina masaa. Unaweza kuwa umelala New York City usiku halalfu watu wanafanya kazi Japan. Australia au Singapore mchana wao wanakupigia simu utatue matatizo yao.""""

Hii nimecheka sana 😁😁😁😁😁 sipatii picha an mtu mda wa kulala wenzko kule ni show show mchana kweupe....

Na hapo ishu inakuja kwenye kuongea nao tuu ipa ishu ya kuchart.nazani hiyo ingekua rahisi sana au kwa kipindi hicho hizi mambo za AI zilikua bado mkuu..?
 
Sasa mie nimesoma pale mjini pale kilimani kabisa ukifika njombe mjini shule inaonekana kwa juu..

Kule ni kitovu cha bardi tz hapa na hapo ujaingia ndani ndani kama makete hukooo..

Jua la kule ni tochi tu..
Nakumbuka kuna kipindi tulikua tunagombana ili kukaa upande wa dirishani wenye jua 😁😁😁😁

Wabena nawapa saloute pipo zinaoga maji ya bard wakati mi kipindi hiki tuu na nipo dasalam ila uniogeshi maji nlbard
Hahahah Umenikumbusha, makete kuna shule inaitwa mwakavuta nimesoma advance nadhani hakuna sehemu ina baridi kushinda makete Tanzania hii. Zinapita wiki mbili hakuna jua ni ukungu tu asubuh mpka jioni, form five wa nyanda za kati na kaskazini mapema sana waliomba uhamisho
 
Back
Top Bottom