Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatafuta hela lakini unaharibu afya yako kwa kunywa energy na kukosa usingizi wakutosha.View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.
Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.
Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.
Mda wote tuna kesha na maji vs energy
Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...
Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni.mwendo wa kuchimba tuu daily...
Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa..
Je ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine..?
View attachment 3190333
View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.
Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.
Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.
Mda wote tuna kesha na maji vs energy
Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...
Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni.mwendo wa kuchimba tuu daily...
Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa..
Je ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine..?
View attachment 3190333
Mkuu hongera sana toka kuwa mlinzi hadi kusukuma migari ya maana. Kweli maisha ni hatua na mapambano.Mimi nimefanya sana kazi ya ulinzi usiku. Inafikia kipindi usiku silali na mchana silali nikifika hatua hii naacha kazi ku reset mwili urudi kwenye hali ya kawaida. Baadae naanza tena mpaka nilivyostaafu.
Weee blaza mjomba..Inategemea...
Cc: Mahondaw
Duuuhh myocardial si mambo ya moyo hayo mkuu wangu auUnatafuta hela lakini unaharibu afya yako kwa kunywa energy na kukosa usingizi wakutosha.
-kipimo cha myocardial infarction muhimbili- 2M
-Kuweka stent-6M
Kumbuka
"Afya ni mtaji"
🙏
Wakuu naona suala la energy limekua very serious aiseeeeNdo maisha hayo we kesha ili badae wanao waje waimbe nani kama mama
Nb, nakusihi nakusihi hizo energy hizo energy nilitaka niache roho live live sababu ya hizo hizo kuwa makini sana
Prondo kashavurugwa sasa hv wee jiweke barabarani hvyo uwoneMkuu hongera sana toka kuwa mlinzi hadi kusukuma migari ya maana. Kweli maisha ni hatua na mapambano.
Ahahahah weee ufanyagi kaz za usiku au nature ya kazi yako hairuhusuSehemu pekee naweza kesha ni jamii forum, otherwise saa 2 unusu mapemaa nauchapa mwingi tukutane asubuh
Sio kazi hizo elewa swali mkuu...Kazi za usiku nafanya kila siku
Wewe ndio huelewi maana ya kazi? Namaanisha nafanya kazi usikuSio kazi hizo elewa swali mkuu...
Umesoma comment yaani kazi kama kazi sio unakesha kufanya mambo ya ajabu unasema kazi
Pole sana Mkuu,nishawahi fanya kazi kampuni x, yaani hata nikchukua likizo inabidi nizime simu, maana ni nwendo kutoka usiku!View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.
Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.
Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.
Mda wote tuna kesha na maji vs energy
Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...
Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni.mwendo wa kuchimba tuu daily...
Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa..
Je ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine..?
View attachment 3190333
Kazi gani...Wewe ndio huelewi maana ya kazi? Namaanisha nafanya kazi usiku
Ulinzi nini maana mambo ya kulinda hayo niliyakataaga mapema aiseeee..Pole sana Mkuu,nishawahi fanya kazi kampuni x, yaani hata nikchukua likizo inabidi nizime simu, maana ni nwendo kutoka usiku!
Kazi ya ulinzi. Nafanyia ofisini kwanguKazi gani...
Yaani sio unafanyia kwako...
Duuuh hapo nimekupata mkuu...Kazi ya ulinzi. Nafanyia ofisini kwangu