Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.

Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.

Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.

Mda wote tuna kesha na maji vs energy

Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...

Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni.mwendo wa kuchimba tuu daily...

Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa..

Je ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine..?

View attachment 3190333
Unatafuta hela lakini unaharibu afya yako kwa kunywa energy na kukosa usingizi wakutosha.

-kipimo cha myocardial infarction muhimbili- 2M
-Kuweka stent-6M

Kumbuka
"Afya ni mtaji"

🙏
 
Ndo maisha hayo we kesha ili badae wanao waje waimbe nani kama mama

Nb, nakusihi nakusihi hizo energy hizo energy nilitaka niache roho live live sababu ya hizo hizo kuwa makini sana
View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.

Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.

Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.

Mda wote tuna kesha na maji vs energy

Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...

Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni.mwendo wa kuchimba tuu daily...

Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa..

Je ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine..?

View attachment 3190333
 
Mimi nimefanya sana kazi ya ulinzi usiku. Inafikia kipindi usiku silali na mchana silali nikifika hatua hii naacha kazi ku reset mwili urudi kwenye hali ya kawaida. Baadae naanza tena mpaka nilivyostaafu.
Mkuu hongera sana toka kuwa mlinzi hadi kusukuma migari ya maana. Kweli maisha ni hatua na mapambano.
 
Unatafuta hela lakini unaharibu afya yako kwa kunywa energy na kukosa usingizi wakutosha.

-kipimo cha myocardial infarction muhimbili- 2M
-Kuweka stent-6M

Kumbuka
"Afya ni mtaji"

🙏
Duuuhh myocardial si mambo ya moyo hayo mkuu wangu au
 
View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.

Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.

Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.

Mda wote tuna kesha na maji vs energy

Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...

Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni.mwendo wa kuchimba tuu daily...

Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa..

Je ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine..?

View attachment 3190333
Pole sana Mkuu,nishawahi fanya kazi kampuni x, yaani hata nikchukua likizo inabidi nizime simu, maana ni nwendo kutoka usiku!
 
Pole sana Mkuu,nishawahi fanya kazi kampuni x, yaani hata nikchukua likizo inabidi nizime simu, maana ni nwendo kutoka usiku!
Ulinzi nini maana mambo ya kulinda hayo niliyakataaga mapema aiseeee..

Kule hapana daaah
 
Back
Top Bottom