Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Karibu mkuu haya mambo kama una interest nayo mbona utaelewa chap tuu mdogo mdogo...

Hata mi nilikua napenda sana nikaanza kujikita sasa kwa kufanya practical...

Hivo kama una wiwa mkuu unaweza anza hata sasa.
Kuhusu software zipo nyingi sana utapewa site
Nipe intro basi au naanza anza vipi?
 
Sidhani kama ina shida
Naacha mkuu mana. Nilikua najua hizo ishu ni story tuu an maana hao watumiaji wa energy drinks kwa mda ambao zimeanza ku trend hyo generation ya kwanza kutumia hata bado hawajafikia uzee wa namna hyooo
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Safii kabisa ukampa yoteeee waaaah....

Bora yetu sisi kuna ishu ya water mark....

Daaah huyo jamaa tunasema alikua genius et... Hizi kazi ujanja ujanja mwingi sometimes...

Mi changamoto nayokutana nayo ni kurudia kazi zaidi ya mara tano..
Unakuta mtu anakupa maelekezo kibao an kila mda anataka hiki..

Mara rangi hataki.
Mara weka maneno haya
Mara sijui hilko mara kile an shida tupu
So wewe ni mtu wa graphics sio? Hiyo ya marekebisho haiepukiki hasa mteja akiwa ni mdada, huwa wanasumbua hao hatari hatari yani.
 
Nilishawahi kulala kwenye kibalaza cha pump ya mafuta nikiwa naudumia mafuta sheli, mvua yangu. baridi yangu, roho mkononi nikiofia naweza kuvamiwa mda wowote.....kaz za shift ya night tena zile za petrostation achen kabisa.

Nakumbuka siku nimekaa nikawaza kuwa ningekuwa kiongozi wa nchi hii basi ningepiga marufuku huuzaji wa mafuta usiku. wateja waliokuwa wananikela ni bodaboda + bajaji yani hawa jamaa wanazingua, usiku mmoja anakuja kujaza mafuta kila baada ya masaa mawili au moja tena mtu yule yule umemjazia mafuta saa tisa na nusu analudi saa kumi kamili 😡. alafu akifika anakaa kwanzaa anajifikilia weeee, mara atikise pikipiki mara ashuke afute bajaji vumbi na kitambaa tena anafuta yote..... kumbuka amekunyenyua usingizini dk3mpaka5 anatumia kujifikilia aweke ya sh ngapi.🤬🤬🤬mwisho wa siku
anakwambia weka lita moja. kipindi kile ilikuwa kama elf3
Baadhi ya wateja walikuwa waungwana sana yani walikuwa wananikuta mazingira magumu sana usiku nipo na kasweta natetemeka baridi la mwezi wa 6 nimejikunyata kwenye pump 😔😔😔 nimejikunja kama jongoo wananipa pole wenyewe, wanasikitika, wengine hadi wanajieleza kwa nn wanajaza wese
usiku
Kuna wale wateja...watoto wa madoni wanakuja na baby zao wengine wametoka kwenye sherehe wengine club vimini kama vyote wamevimba kwenye gari zao mziki mkubwa makelele kibao...... all in all vijana tunapitia mengi kwenye utafutaji kwa niliyopitia lazma niandike kitabu akisome mjukuu wangu ila mwanangu lazma nimuhadithie apate funzo
 
Nipe intro basi au naanza anza vipi?
Aaaah sawa sawa

Yaan mkuu inategema wewe unataka u deal na kitu gani kama ni video au picture

Kama ni video basi kikubwa ni kujua software ambazo zinatumika au weww utatumia..

Baada ya hapo ni kuanza kutafuta tutorial YouTube ili uanze kujifunza mdogo mdogo lakini before that lazima umpate mtu anayejua ili akupe basic kwanza

Naongea hapo kwa mtu ambaye tayar ana PC yake safi kabisa na ina uwezo interm ya RAM na Graphics card
 
So wewe ni mtu wa graphics sio? Hiyo ya marekebisho haiepukiki hasa mteja akiwa ni mdada, huwa wanasumbua hao hatari hatari yani.
Yaaah mi graphics na hizo ndo kazi watu wamasumbua sana...

Ila kama video ni ngumu mtu kuanza kukusumbua maana ishu ya video bana likija suala la kuanza ku export ni kuchoshana
 
Aaaah sawa sawa

Yaan mkuu inategema wewe unataka u deal na kitu gani kama ni video au picture

Kama ni video basi kikubwa ni kujua software ambazo zinatumika au weww utatumia..

Baada ya hapo ni kuanza kutafuta tutorial YouTube ili uanze kujifunza mdogo mdogo lakini before that lazima umpate mtu anayejua ili akupe basic kwanza

Naongea hapo kwa mtu ambaye tayar ana PC yake safi kabisa na ina uwezo interm ya RAM na Graphics card
Ningependa kuegemea kwenye picha
 
Muhimu hiyo kama clients wapo wa kutosha unaendelea kuadvance hatimae unapata agency yako saaafi kabisa.
Ndio mkuu wala sio uwongo..
Now i want to find someone ambaye atakua yupo benefits na kwa hzi kazi zangu sitaki mtu awe anakula na kulal kizembe hapa 😁😁😁😁
 
Nilishawahi kulala kwenye kibalaza cha pump ya mafuta nikiwa naudumia mafuta sheli, mvua yangu. baridi yangu, roho mkononi nikiofia naweza kuvamiwa mda wowote.....kaz za shift ya night tena zile za petrostation achen kabisa.

Nakumbuka siku nimekaa nikawaza kuwa ningekuwa kiongozi wa nchi hii basi ningepiga marufuku huuzaji wa mafuta usiku. wateja waliokuwa wananikela ni bodaboda + bajaji yani hawa jamaa wanazingua, usiku mmoja anakuja kujaza mafuta kila baada ya masaa mawili au moja tena mtu yule yule umemjazia mafuta saa tisa na nusu analudi saa kumi kamili 😡. alafu akifika anakaa kwanzaa anajifikilia weeee, mara atikise pikipiki mara ashuke afute bajaji vumbi na kitambaa tena anafuta yote..... kumbuka amekunyenyua usingizini dk3mpaka5 anatumia kujifikilia aweke ya sh ngapi.🤬🤬🤬mwisho wa siku
anakwambia weka lita moja. kipindi kile ilikuwa kama elf3
Baadhi ya wateja walikuwa waungwana sana yani walikuwa wananikuta mazingira magumu sana usiku nipo na kasweta natetemeka baridi la mwezi wa 6 nimejikunyata kwenye pump 😔😔😔 nimejikunja kama jongoo wananipa pole wenyewe, wanasikitika, wengine hadi wanajieleza kwa nn wanajaza wese
usiku
Kuna wale wateja...watoto wa madoni wanakuja na baby zao wengine wametoka kwenye sherehe wengine club vimini kama vyote wamevimba kwenye gari zao mziki mkubwa makelele kibao...... all in all vijana tunapitia mengi kwenye utafutaji kwa niliyopitia lazma niandike kitabu akisome mjukuu wangu ila mwanangu lazma nimuhadithie apate funzo
Sema hapo kwa dereva boda na bajaji nimecheka 😂😂😂😂
 
Uamuzi ni wako, kutafta hela ni jambo jema sana ila jambo la kwanza kabisa ni kuhakikisha haubuguzi afya yako ili uendelee kumake kila siku.
Mkuu kingine kazi zangu nakaa sana mfano hizi za mchana nakaa sana sana yaani sana.....

Hyo nayo imekaaje ki afya
 
Back
Top Bottom