Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Asante sana madamu..
Umeongea kitu nimeelewa sana hapo kuwa pesa zipo tuu..

But nimefikilia njia nyingine ya kukwepa hvi vitu ni kutafuta mwenza ambaye either awe anafanya haya mambo ili tusaidiane usiku yaani tupeane shift ...

Au awe na kichwa chepesi nimfundishe maana mi mchana nakua bize kuliko usiku yaani mchana kasheshe yake aaaaah hata mda wa kulala upati..

Kula tuu yaani ni kwa mbinde unaweza letewa chakula ila sasa kuna pipo zinakutinga mpaka chakula chapoa
Ina maana mchana hupumziki/hulali na usiku pia hulali ?.....hata ukilala ni kwa kujiegesha tu?....

Aloooo..... usisahau 'KUISHI' aiseee...japo pesa ni muhimu
 
Kwanini mkuu ukapoteza interest..
Mbona mambo yapo fire huku...

Daah yaani now mambo yanavyoenda hizi sector i muhimu sana mkuu
Nilifanya kazi na kikampuni fulani cha wahindi kilikua ni cha mambo ya urembo, ilikua hatari sana, ilikua ni bandika bandua na Kila task ukipewa lazima iishe ndani ya muda so kukesha ilikua ni swala la kawaida.

Lakini pia kuna siku nikakutana na mkenya fulani akanipa task ya kuandaa thesis fulani hivi, maneno elfu kumi, ile task nilikaa macho 24 kuandika huku napekua mavitabu kadha wa kadha ila baadae yule jamaa alinizidi ujanja nilipompa ahakiki nikamtumia kazi yote baada ya hapo akawa hapatikani Kila mahali kwa maana ya kwamba alinibulokuuu 😂😂😂 na mbaya zaidi nilikutana nae Facebook sio kwenye zile app rasmi za freelancer.
 
Daaaah mkuu mbona wewe ulikua una hatari bora hata mimi aiseeee...

Mi kuna mda naona kabisa hapa kichwa sio changu ila kulala mchana ni lazima nitalala tuuu tena masaa mengi
Hatari sana. Ila solution yangu ilikuwa kuacha kwa muda kama mwezi hivi kichwa kinarudi normal.
 
Asante sana madamu..
Umeongea kitu nimeelewa sana hapo kuwa pesa zipo tuu..

But nimefikilia njia nyingine ya kukwepa hvi vitu ni kutafuta mwenza ambaye either awe anafanya haya mambo ili tusaidiane usiku yaani tupeane shift ...

Au awe na kichwa chepesi nimfundishe maana mi mchana nakua bize kuliko usiku yaani mchana kasheshe yake aaaaah hata mda wa kulala upati..

Kula tuu yaani ni kwa mbinde unaweza letewa chakula ila sasa kuna pipo zinakutinga mpaka chakula chapoa

Fanya chap upate msaidizi kama income inaruhusu kufanya hivyo

Si unajua afya ya uzeeni mara nyingi ni impact ya tunavyoishi huku ujanani kwenye 20's na 30's

Hizo energy tukiacha utani na mazoea ya JF nakushauri uziache mara moja
 
Hapana sijui chochote kuhusu video prod... japo napenda sana kufahamu japo hata kidogo hasa kutengeneza animation kama katuni
Karibu mkuu haya mambo kama una interest nayo mbona utaelewa chap tuu mdogo mdogo...

Hata mi nilikua napenda sana nikaanza kujikita sasa kwa kufanya practical...

Hivo kama una wiwa mkuu unaweza anza hata sasa.
Kuhusu software zipo nyingi sana utapewa site
 
Ina maana mchana hupumziki/hulali na usiku pia hulali ?.....hata ukilala ni kwa kujiegesha tu?....

Aloooo..... usisahau 'KUISHI' aiseee...japo pesa ni muhimu
Mkuu wee acha tuu yaani acha tuuu
Hapa nasema mopango ni kutafuta mwenza ila sio mashangazi ambayo yenyewe hawajali hata kidogo...

Najali afya yangu mara moja moja mkuu
 
Fanya chap upate msaidizi kama income inaruhusu kufanya hivyo

Si unajua afya ya uzeeni mara nyingi ni impact ya tunavyoishi huku ujanani kwenye 20's na 30's

Hizo energy tukiacha utani na mazoea ya JF nakushauri uziache mara moja
Madam naacha naacha kuanzia sasa..
Hi ya leo namalizia tuuu..

Ila daaah ujue kukaza usingizi kavu kavu hiki kipengele mmmmh hatareeee
 
Nilifanya kazi na kikampuni fulani cha wahindi kilikua ni cha mambo ya urembo, ilikua hatari sana, ilikua ni bandika bandua na Kila task ukipewa lazima iishe ndani ya muda so kukesha ilikua ni swala la kawaida.

Lakini pia kuna siku nikakutana na mkenya fulani akanipa task ya kuandaa thesis fulani hivi, maneno elfu kumi, ile task nilikaa macho 24 kuandika huku napekua mavitabu kadha wa kadha ila baadae yule jamaa alinizidi ujanja nilipompa ahakiki nikamtumia kazi yote baada ya hapo akawa hapatikani Kila mahali kwa maana ya kwamba alinibulokuuu 😂😂😂 na mbaya zaidi nilikutana nae Facebook sio kwenye zile app rasmi za freelancer.
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Safii kabisa ukampa yoteeee waaaah....

Bora yetu sisi kuna ishu ya water mark....

Daaah huyo jamaa tunasema alikua genius et... Hizi kazi ujanja ujanja mwingi sometimes...

Mi changamoto nayokutana nayo ni kurudia kazi zaidi ya mara tano..
Unakuta mtu anakupa maelekezo kibao an kila mda anataka hiki..

Mara rangi hataki.
Mara weka maneno haya
Mara sijui hilko mara kile an shida tupu
 
Hizo sector ni muhimu kweli kwa maana mtu lazima uwe na plan nyingi kwenye maisha, mlango huu ukifungwa unaenda kwenye ule ambao uko wazi.
Ndo tupo humo.mkuu tunapambania kombe huku na kule mpaka kieleweke an

Mi hapa nasema najiwekea mazingira mazur for future ooooh staki nije sumbua watu aiseee
 
Nilidhani tumekubaliana unafanya namna upate muda wa kulala

Enwei,kila la heri
Asante mkuu nimeuchukua ushauri wako...
Hapa kazi za usiku takua nafanya mpaka sa nane iishe isiishe watajua wenyewe
 
Back
Top Bottom