Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Malaya sawa.ila mwanaume mwenzangu BIG NO.Mnawalaumu mashoga na Malaya wakati wateja Ni nyie wenyewe.
mambo ya supa luluMbona hamuulizi ubongo kids nao wanasapoti ushoga
Wapi amesema alisimamisha?Uyo jamaa yako shoga nae
Huwezi kusimamisha kwa kuona makalio ya mwanaume mwenzako
Hivi hizi haki za binadamu aliweka nani? Muumba au sisi wenyewe, je aliyetuumba hakuweka misingi na taratibu zake?Kwani ushoga unakiuka sheria ipi ya haki za binadamu?
Hahahaha maaninatena kwa ukamilifu kabisa. Hakuna tofauti ya ushuzi na uharo hapo. Kila akijamba itakuwa lazima aweke mkono kuhakiki kama imetoka hewa tu ana kuna ki package kimeambatana.
Mkuuhatari sana iyo sio njia mpya wala ni za zamni njia mpya ni hizi nguo zenye upinde wa mvua, ukikuta vibukta hivi vina upinde wa mvua alafu ina zipu ogopa sana usivae hata mara moja, nilipewa siri na jamaa flani kwamba zile zenye zipu huwa zinageuzwa nyuma mbele alafu shoga anainamisha for emejency ,
ilishawah mtokea uyo jamaa ni muangalix wa hotel flan hiv sasa siku, mteja wake wa kiume akamuita amsaidie jambo ndo akakutana na jambo kama ilo jamaa alikua kageuza iyo bukta nyuma mbele alafu kaacha wazi akawa anajiinamisha inamisha kama anatafuta kitu, yule jamaa kuona vile mzigo ukashtuka ndo yule mteja akamwambia wafanye.
sijui aliishia wapi maana maadil ya hotel yao haayaruhusu muhudumu kufanya jambo na mteja
Nilipiga marufuku hizo tamthlia kwangu. Na sijui kwanini zinarushwa, TCRA sijui wapo wapi kwenye hilo. Hizo tamthlia za wafilipino zilipaswa kuzuiwa kurushwa hapa kwetu.Sijakutana na tamthilia ya kifilipino ambayo haina character gay.
Tanzania tumekuta dunia iko mbele sana, tumerukia huku tukiwa nyuma katika nyanja nyingi.
Tops ....bashaNdio vitu gani tops, vers na bottoms au mnajuana wenyewe?
Duh Mzee upo vizuri chamaniTops ....basha
Vers ....vyote mtu anakula na kuliwa
Bottom...anayeliwa kiboga
Nime Google mkuuDuh Mzee upo vizuri chamani