Hivi Makonda na Cyprian Musiba wapo wapi hawa? Mlikuwa mnaimba mapambio pamoja we ukipiga huku wao wanaita vipaza sauti.Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
Muzarendo muzirankende muyago gwa gunioo?😜😜😜APia!
Uwiiii🤣🤣🤣 nimecheka hadi machozi🤣🤣🤣🤣..wewe mbingu utaishia kuisoma kwenye kamusi🤣🤣 uwiiii 🤣🤣🤣🤣🤣! .. gudondo🤣🙌Muzarendo muzirankende muyago gwa gunioo?😜😜😜
Kwani Magufuli na Iddi Amini tofauti ilikua ipi? Yule alikua mshamba kupindukiaYaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
🤣🤣🤣kina USSR na lucasBasi ile misukule yake ikiona hivyo huwaambii kitu utasikia huyu ndio rais .kwakifupi alijua kucheza na akili za wajinga wengi.
Ngoja dogo awanyooshe watani wangu pale Kaboya.😜😜😜Uwiiii🤣🤣🤣 nimecheka hadi machozi🤣🤣🤣🤣..wewe mbingu utaishia kuisoma kwenye kamusi🤣🤣 uwiiii 🤣🤣🤣🤣🤣! .. gudondo🤣🙌
Wapo na Mchange!Hivi Makonda na Cyprian Musiba wapo wapi hawa? Mlikuwa mnaimba mapambio pamoja we ukipiga huku wao wanaita vipaza sauti.
Lisu alivyoigilizia Chadema ikapata Mbunge mmoja kama taa ya Treni ya MoshiYalikuwa ni maigizo ya kijinga
Kama Wewe unavyolinda geti hapo Ufipa st wanene wakilamba mkojo wa Nyuki!Basi ile misukule yake ikiona hivyo huwaambii kitu utasikia huyu ndio rais .kwakifupi alijua kucheza na akili za wajinga wengi.
Dishi liliyumba kitambo tu wewe unaona swagaYaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
Na maisha yamekuwa magumu sana,umeme huku kwetu wa shida tunapata tabu sanaKwa kifupi nchi il
Kwa kifupi nchi aliipa vibe la kutosha! Watu walichangamka! Sasa hivi pamepooza hadi tunasinzia!
Aliwafanyia promo ya bangi yao alipomwambia Profesa Mbarawa avute bangi ya huko ili aongoze wizara vizuriAmewaheshimisha kwa kitu gani hapo Mafinga? Nyee!
Alifanya vile kufunika uelewa wake mdogo wa masuala. Hakukujua chochote na alikuwa Hana uwezo kabisa. Mpaka anakufa alikuwa anajuta kwa Nini zari lilimuangukia mpaka akawa rais ndo mana hakujua afanye Nini ofisini zaidi ya kula mahindi tuYaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
Haahahaaha...hii kaliAliwafanyia promo ya bangi yao alipomwambia Profesa Mbarawa avute bangi ya huko ili aongoze wizara vizuri