Hivi Makonda na Cyprian Musiba wapo wapi hawa? Mlikuwa mnaimba mapambio pamoja we ukipiga huku wao wanaita vipaza sauti.
 
Kwani Magufuli na Iddi Amini tofauti ilikua ipi? Yule alikua mshamba kupindukia
 
 
Dishi liliyumba kitambo tu wewe unaona swaga
 
Alifanya vile kufunika uelewa wake mdogo wa masuala. Hakukujua chochote na alikuwa Hana uwezo kabisa. Mpaka anakufa alikuwa anajuta kwa Nini zari lilimuangukia mpaka akawa rais ndo mana hakujua afanye Nini ofisini zaidi ya kula mahindi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…