Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Kama kuna vigezo vya uchawa utakuwa umevitimiza vyote na kupitiliza kwa Mbowe and the company.Hayo utajua wewe chawa wa jiwe
Hakuna wizi mkubwa uliwahi kufanyika zaidi ya 1.5 trillionMzee hiyo inaitwa Fraha baada ya kazi ,huwezi kupata maisha poa ya viongozi kama wakati wa mzee JPM,wanafanya kwa kujituma na na heshima uku uzalendo mbele hata kama hautaki .
Hawamu hii tumejaziwa majizi tu yanawaza kuiba tu kuhusu uzalendo hayana kabsaa...Inawezekana na ww ni mteule wa hawamu hii.
Ni haki yako kama weweYote kwa yote R.I.P MWAMBA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI
Wewe ni CHAWA na utaendelea kuteseka sana hasa baada ya kuachwa yatima na JiweKama kuna vigezo vya uchawa utakuwa umevitimiza vyote na kupitiliza kwa Mbowe and the company.
Mimi ni capitalist I just look for my interests siwezi kuwa chawa.
Sawa nateseka sana baada ya kuachwa na Jiwe. Clown.Wewe ni CHAWA na utaendelea kuteseka sana hasa baada ya kuachwa yatima na Jiwe
Utaendelea kuteseka sana maana kwa sasa mama hana muda huo wa kuwakumbatieni nyinyi waramba miguu na wauza umbea na fitinishiSawa nateseka sana baada ya kuachwa na Jiwe. Clown.
Kweli kabisa. Mpe salamu MAMA yako asiye na muda na sisi.Utaendelea kuteseka sana maana kwa sasa mama hana muda huo wa kuwakumbatieni nyinyi waramba miguu na wauza umbea na fitinishi
Mjinga ni wewe uliyeishi kwa kumtegemea mtu kama muumba wako.We jamaa ni mjinga sana
Kucheza acheze kangi hlf unamlaumu jiwe
Kama kina Musiba na &Co walikuwa wana abudu na kutukuza hadi kufikia kumuita binadamu mwenzao kuwa ni YESU unashangaa kitu gani leo watu kujiita chawa?Ni mda sasa nnachoona Ni machawa wanakua wengi kupita kawaida na kauli mbiu yao ya "anaupiga mwingi" alaf sielewi Ni kwenye nini. Ni upuuzi wa kiwango cha flyover....ivi... Are they even real people!?
Tulichekwa na hata watoto wadogoTulidharaulika sana
Umenena jambo la msingi sanaKiongozi akiwa kichaa na wateule wake wanakuwa hivyo hivyo.
Mwamba wa Chato aka Sukuma gang Empire na si mwamba wa Afrika tafadhari.Bado unaweweseka ukimkumbuka mwamba wa Africa? Kiki zenu za kumchafua kumbe Bado unazikumbuka. Jpm HAWEZI chafuliwa na hizi Hila zako pekeakoo.
Hapa tunaongelea habari za siasa .Muacheni Mzee wa Watu apumzike zake huko alipo.Kila binadamu ana yake,utazungumzia hawa waliofanya hadharanii ila kuna wanaofanya ufuska hatari huwaoni.
Hajui kuwa huko unaishi kulingana na matendo yako uliyoyafanya ukiwa duniani.Kiongozi hawezi kuachwa Hitler siunaona hili ni fundisho ukiwa kiongozi utende mema,si kila siku mnammwagia misifa hapa asiekuwa nayo...na aliekudanya kuna kupumzika huko ni nani???
Nillishia darasa la kutega mbango kama wajomba zako pale NjinjoHivi uliishia darasa langapi?
Maneno yako yanatuelekeza upo hivyoUlishanikuta nawachafua viongozi wa upinzani?
Ombeni msamaha na muache kuleta manyuzi ya kumtukuza mwendazake na kumlaumu MamaMama tunakuomba uache sasa kuwalipa hawa vijana wako kumchafua magufuli…Tayari wewe ni raisi na utachaguliwa tena 2025 Magufuli ameshafariki na wala hatofufuka kugombea tena.
yamkiniNillishia darasa la kutega mbango kama wajomba zako pale Njinjo
Mama yupo na watanzania wote walio na nia njema na mustakabali mwema wa taifa letu.Kweli kabisa. Mpe salamu MAMA yako asiye na muda na sisi.