johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Lisu kavuta mzigo kasepaAkina Johnthebaptist
Hapa hapa!Hii fungulia thread yake
Ndio usilielie kwa niaba!Kuna mtu anabisha!!??
Kwa ivo Ufipa kuna hela!!??Lisu kavuta mzigo kasepa
Zikiisha anarudi tena kuchota, Ufipa kuna mijizi hasa!
Wewe si umesema Mbowe kasema CHADEMA imemfilisi? Mimi nimekupa sababu ni kwa nini kafilisika kutokana na yeye kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Makasiriko ya nini tena!!Ndio usilielie kwa niaba!
Uvccm mnakwepa hoja kwa style za kizamani inshort mmepoteana hamjui mjibu nini sasa πππHapa hapa!
We unadhani Akina Pambalu na Mwaipaya wanavyozurura wanatumia mawe?!!!Kwa ivo Ufipa kuna hela!!??
π€©π€©π€© Tunalamba Asali!Uvccm mnakwepa hoja kwa style za kizamani inshort mmepoteana hamjui mjibu nini sasa πππ
Unaweza kutumia mawe kusafiria. Nauliza Ufipa kuna hela!!??We unadhani Akina Pambalu na Mwaipaya wanavyozurura wanatumia mawe?!!!
Uvccm mmeingia ubaridi tena mkisikia katiba mpya ni sehemu ya agenda mnalagea magoti kabisa ππππ€©π€©π€© Tunalamba Asali!
Kuna Ruzuku na Asali π€£π€£Unaweza kutumia mawe kusafiria. Nauliza Ufipa kuna hela!!??
Kumbe!!Kuna Ruzuku na Asali π€£π€£
Ushaambiwa bila serikali 2 hakuna Katiba πππUvccm mmeingia ubaridi tena mkisikia katiba mpya ni sehemu ya agenda mnalagea magoti kabisa πππ
Serikali mbili ndiyo zipi hizo!!Ushaambiwa bila serikali 2 hakuna Katiba πππ
Hutaki hamia Urundi π€©π€©
Muulize Mwamba mlamba asali π€©π€© alikuwemo Bunge la KatibaSerikali mbili ndiyo zipi hizo!!
Wewe hukuwepo!!??Muulize Mwamba mlamba asali π€©π€© alikuwemo Bunge la Katiba
Mambo ya serikali 2 au 4 sio issue kwasasa, wazenji ndiyo walikua na nafasi kubwa kwenye hili ila ndiyo walishaingizwa cha kike na zito hawana namna.Ushaambiwa bila serikali 2 hakuna Katiba πππ
Hutaki hamia Urundi π€©π€©
Hapo umeji-contradict mwenyewe, umeonyesha dhahiri kwamba mawaziri walijivua utu na kujifanya wendawazimu kwa kuwa aliyewateua ndiyo ilikuwa furaha yake. Alitaka wateule wake na raia wengine wote wasiwe na mawazo yao bali wasikilize, watii na wamfurahishe yeye, hii ya kujitoa ufahamu ilikuwa ni katika kumfurahisha yule zuzu.Sioni kama hilo ni tatizo la kiongozi, tatizo ni hao mawaziri walio tayari kufanya lolote kutetea matumbo yao, kwani nani ana hakika kama hao mawaziri wameacha hizo tabia zao?
Kinachotufanya tuone wameacha ni kwasababu huyu aliyepo hataki hayo mambo, lakini kama ikitokea siku akayataka, basi hao wakata viuno wapo tayari.
Umemaliza kaziHapo umeji-contradict mwenyewe, umeonyesha dhahiri kwamba mawaziri walijivua utu na kujifanya wendawazimu kwa kuwa aliyewateua ndiyo ilikuwa furaha yake. Alitaka wateule wake na raia wengine wote wasiwe na mawazo yao bali wasikilize, watii na wamfurahishe yeye, hii ya kujitoa ufahamu ilikuwa ni katika kumfurahisha yule zuzu.