SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hilo halina ubishi,Idi Amini,Adolf Hitler, Stalin, Mussolini wote hawa tunawakumbuka,swali ni je tunawakumbuka kwa lipi?Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
🤣🤣🤣Kupata hasara sio jambo la kujisifia. Kupata hasara sio mashindano.
Kama mke wa jirani yako kaliwa juzi naww mkeo akiliwa leo na mchepuko utaleta uzi wa kumsifia hapa?
Acheni mambo ya kijinga, umaskini sio sifa.
Wewe kichwapanzi kila mtu anayepinga serikali ni Ufipa?ila UFIPA bana mna tabu sana,halafu ukute wewe ni mwanaume wa mtu[emoji28].
marekani wamepata uhuru miaka 400 iliyopita,wamepata mapinduzi ya viwanda miaka 200 iliyopita,unakuja kuitolea mfano hapa!!!!
tatizo siasa zimekula vichwa,mmekuwa kama kuku.
Acha ujinga wewe.Inasikitisha sana kwakweli.Magufuli alikuwa na msimamo na nia thabit ya kuinua uchumi wa nchi.Ila kwa sasa naona kama tumepoteza mwelekeo.Rais anasimama anasema waziwazi tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji! Anaruhusu wawekezaji waje na watu wao bila kujali ajira za wazawa.Hana msimamo mambo ambayo alitakiwa azungumzie ofisini anaweka hadharani au alijua JPM alikuwa mjinga kutokusema hadharani baadhi ya mambo? Huko ni kutengeneza panic na porojo ambazo zitamuondolea focus ya maendeleo na hazitamuongezea chochote!
Ni shirika changa nakubaliana nawe, lakini, kwanini zinapigwa kelele? Ni ile tabia ya kujikweza ya Mwendazake na kuona watangulizi wake hawakufanya jambo loloye kwa taifa hili zaidi ya ufisadi.Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Acha ujinga wewe.
Anayetakiea kuacha ujinga ni ww the golden!Acha ujinga wewe.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Acha ujinga wewe.
Anayetakiea kuacha ujinga ni ww the golden!Acha ujinga wewe.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Acha ujinga wewe.
Anayetakiea kuacha ujinga ni ww the golden!Acha ujinga wewe.
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Ulisoma mpaka darasa la ngapi kwani?Hasara sio garantee ya kufunga biashara...halafu kuwa na shirika la ndege ni kama kutoa huduma.
Mashirika ya ndege yanaendeshwa kwa hasara kipindi kama hiki cha covid...shirika letu hata kama litaendeshwa kwa hasara faida ipo kwenye utalii.
Wakenya wametumia shirika lao kuutangazia ukimwengu kuwa Kilimanjaro ni mlima wao. Na wamepata mapato mengi sana kupitia kubeba watalii kuleta nchini mwao.
Pole sanaHasara sio garantee ya kufunga biashara...halafu kuwa na shirika la ndege ni kama kutoa huduma.
Mashirika ya ndege yanaendeshwa kwa hasara kipindi kama hiki cha covid...shirika letu hata kama litaendeshwa kwa hasara faida ipo kwenye utalii.
Wakenya wametumia shirika lao kuutangazia ukimwengu kuwa Kilimanjaro ni mlima wao. Na wamepata mapato mengi sana kupitia kubeba watalii kuleta nchini mwao.
Shirika la ndege la wapi hili?Ulisoma mpaka darasa la ngapi kwani?
Uliza America Airline hii airline moja tu ndio utajua biashara ya ndege sio kama kuuza mbuzi
Kumkumbuka hiyo kwiinyoo walikufa watu wangu wa karibu ye nani kama Yesu mwenyewe alikufa hata we we utakufa nyantere usiogope kufaShirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Atakumbukwa kwa mengi mabaya, watu walipotea na kunyang’anywa mali zao; tutamkumbuka kwa hayo.Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.