Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Hilo halina ubishi,Idi Amini,Adolf Hitler, Stalin, Mussolini wote hawa tunawakumbuka,swali ni je tunawakumbuka kwa lipi?
 
Wanataka kumchafua mpendwa wetu JPM. Ni awamu ipi isiyo na upigaji au mapungufu? Sema level zinatofautiana

Huyu CAG alikua wapi kushauri toka awali swala kama la stand la Mbezi ndio aje aseme sasa hivi?

Okay fine. Maboresho ya shirika la Ndege la ATCL limeanza lini? Hiyo miaka mitano anayosema na hasara zilizopatikana miaka ya nyuma alishindwa nini kusema kwa uwazi kama professional yake inavyomtaka? Sio unafiki huu ni nini?

JPM ni kweli kwa baadhi ya mambo hayakua sawa. Lakini tunaona alionesha jitihada kupambana na rushwa na maadili kwa watendaji, hata Kama alikwama je? Ni kwa kiasi gani kulinganisha na wengine?

Alafu hakuna Biashara yeyote isiyo na hasara kwa Mda flani? Hasa ukizingatia na suala la covid 19 hapo kati, ni shirika gani la ndege afrika ambalo halijapata hasara?

Mara ooh ndege hazipai usiku mara sijui nini. Mbona alipofariki JPM ni ndege hizo hizo zilimbeba toka Dsm to Dodoma. Ile ilikua adhuhuri?

All in all JPM was a Hero.
 
ila UFIPA bana mna tabu sana,halafu ukute wewe ni mwanaume wa mtu[emoji28].

marekani wamepata uhuru miaka 400 iliyopita,wamepata mapinduzi ya viwanda miaka 200 iliyopita,unakuja kuitolea mfano hapa!!!!

tatizo siasa zimekula vichwa,mmekuwa kama kuku.
Wewe kichwapanzi kila mtu anayepinga serikali ni Ufipa?

Unaelewa kwamba CCM ilikuja na sera ya kuuza mashirika yote yenye kuleta hasara, ikauza mpaka ambayo hayaleti hasara.

Sasa kwa nini serikali inarudi katika biashara?

Hii serikali inajua kama inataka kufanya biashara au hautaki?

Mbona kama inafanya march ya one step forward two step backwards?
 
Asingeweza kutufikisha kwa sababu alikuwa ana aproach za kibabe za kizamani kwenye utawala wake.
 
Inasikitisha sana kwakweli.Magufuli alikuwa na msimamo na nia thabit ya kuinua uchumi wa nchi.Ila kwa sasa naona kama tumepoteza mwelekeo.Rais anasimama anasema waziwazi tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji! Anaruhusu wawekezaji waje na watu wao bila kujali ajira za wazawa.Hana msimamo mambo ambayo alitakiwa azungumzie ofisini anaweka hadharani au alijua JPM alikuwa mjinga kutokusema hadharani baadhi ya mambo? Huko ni kutengeneza panic na porojo ambazo zitamuondolea focus ya maendeleo na hazitamuongezea chochote!
Acha ujinga wewe.
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Ni shirika changa nakubaliana nawe, lakini, kwanini zinapigwa kelele? Ni ile tabia ya kujikweza ya Mwendazake na kuona watangulizi wake hawakufanya jambo loloye kwa taifa hili zaidi ya ufisadi.
Fuatilia history ya shirika hili toka kipindi cha Ben mpaka cha mzee wa awamu ya nne, serikali iliona "potential" katika biashra hii ndo maana ikafika maamuzi ya kulinunua shirika hili kwa asilimia mia toka " SAA", kwake yeye ilikua ni namna gani ya kujipanga shirika liende kwa faida.
Yakaanza majigambo na sanifu kumbe hata board yenyewe imetawaliwa na kanjanjaz,..so sad!!!
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!
Mzigo wa fuso hauwezi kubwebwa na bajaji asilani🤔!
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!
Mzigo wa fuso hauwezi kubwebwa na bajaji asilani🤔!
Acha ujinga wewe.
Acha ujinga wewe.
Anayetakiea kuacha ujinga ni ww the golden!
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!
Mzigo wa fuso hauwezi kubwebwa na bajaji asilani🤔!
Acha ujinga wewe.
Acha ujinga wewe.
Anayetakiea kuacha ujinga ni ww the golden!
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Shida ni akili kubwa ikiachia ndogo kuyaendeleza mafikira yake ndio chanzo! Vinginevyo avihusishe vichwa vingine vingi vyenye akili nyingi ili kuyapakua maono yote bila unafiki! Akiziogopa akili kubwa na kuzifungia, aibu itamkuta peke yake!
Mzigo wa fuso hauwezi kubwebwa na bajaji asilani🤔!
Acha ujinga wewe.
Acha ujinga wewe.
Anayetakiea kuacha ujinga ni ww the golden!
 
Watakao mkumbuka JPM ni wale tu walio nufaika na utawala wake, kama akina Bashite na Nchemba.

Mie nimkumbuke kwa lipi hasa ??
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.

Shirika la ndege haliwezi kufufuliwa kwa kununua ndege kwa cash wala tatizo la ATC halikuwa kukosekana kwa ndege. Aidha, Kenya Airways sio mfano wa kutumia kabisa. Ni kama kumfuata kipofu gizani. Kununua ndege kama alivyofanya JPM ni kumimina mabilioni chooni.

Angetafuta ushauri wa wajuzi wa hiyo sekta, asingeharakisha kutoa pesa zote hizo kuwanufaisha Boeing na Airbus/Bombardier. Bila shaka wamechekelea sana.

Ethiopian Airlines huwa wanakodishwa (leased) ndege mpya kwa kuonyesha business plan na cashflows zenye mpango wa malipo. Wanatumia na kurudisha au kumalizia ununuzi wa ndege husika kutegemea na mafanikio ya kibiashara. Ni suala la kucheza na hesabu/mwenendo wa biashara. Kumiliki ndege tu bila mpango mahsusi wa kibiashara ni mzigo wenye gharama kubwa sana. Ndege hazitakiwi kulala au kupiga safari zisizo sahihi km Dreamliner kuruka safari chini ya masaa 8.

Msifieni Hayati JPM kwa mengine lakini hili la ndege ni janga kubwa ambalo Rais atasota nalo sana.
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.

Tutamkumbuka kama tunavyowakumbuka Iddy Amini na Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini.
 
Hasara sio garantee ya kufunga biashara...halafu kuwa na shirika la ndege ni kama kutoa huduma.

Mashirika ya ndege yanaendeshwa kwa hasara kipindi kama hiki cha covid...shirika letu hata kama litaendeshwa kwa hasara faida ipo kwenye utalii.


Wakenya wametumia shirika lao kuutangazia ukimwengu kuwa Kilimanjaro ni mlima wao. Na wamepata mapato mengi sana kupitia kubeba watalii kuleta nchini mwao.
Ulisoma mpaka darasa la ngapi kwani?
Uliza America Airline hii airline moja tu ndio utajua biashara ya ndege sio kama kuuza mbuzi
 
Hasara sio garantee ya kufunga biashara...halafu kuwa na shirika la ndege ni kama kutoa huduma.

Mashirika ya ndege yanaendeshwa kwa hasara kipindi kama hiki cha covid...shirika letu hata kama litaendeshwa kwa hasara faida ipo kwenye utalii.


Wakenya wametumia shirika lao kuutangazia ukimwengu kuwa Kilimanjaro ni mlima wao. Na wamepata mapato mengi sana kupitia kubeba watalii kuleta nchini mwao.
Pole sana
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Kumkumbuka hiyo kwiinyoo walikufa watu wangu wa karibu ye nani kama Yesu mwenyewe alikufa hata we we utakufa nyantere usiogope kufa
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Atakumbukwa kwa mengi mabaya, watu walipotea na kunyang’anywa mali zao; tutamkumbuka kwa hayo.
 
Back
Top Bottom