Kwa hio alilinda watu wasiue albino, halafu yeye akaanza kuua wasio na hatia Kama akina Ben na azory gwanda?
Aungue pabaya motoni
 
Anti English kaondoka harudi tenaaaaaaaaaa!
 
Hili halina ubishi wakuu atakayebisha basi either ana upungufu wa akili.

Kipindi cha JPM ndicho tulicho shuhudia watoto wawanyonge wanashika UDC, URC na Ukurugenzi.

Lakini pia tulishudia watoto wawanyonge wanaajiriwa

TANROADS, TANESCO, TRA, TPDC, EWURA, TBA, n.k.

Kwa kifupi kabla ya hapo mtoto wa mnyonge asingeweza kupenya katika sehemu hizo.
 
Tulikumbuke garassa sisi😀😀😀😀

#MayMos
 
Mbowe ni mzee wa ten percent. Kiboko yao Magufuli.
 
Si kweli.

Baba yangu mtoto wa "wanyonge" (wazazi wake hawakuwa na political connections) na kaanza Ukurugenzi sehemu nyeti tangu 1980.

Kwa uzito wa usomi wake na kazi alizofanya.
 
Si kweli.

Baba yangu mtoto wa "wanyonge" (wazazi wake hawakuwa na political connections) na kaanza Ukurugenzi sehemu nyeti tangu 1980.

Kwa uzito wa usomi wake na kazi alizofanya.
Damn!

Privileged brat!

Wewe si mtoto wa mnyonge😁.
 
Mkuu una umri gani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…