Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anti English kaondoka harudi tenaaaaaaaaaa!Moja ya jambo ambalo Albino wanamkumbuka hayati JPM ni ulinzi wa Maisha yao na nafasi waliozipata wakati wa uongozi wake.
Ni hadhiri wanaomba haya mambo yaendelezwe. Na Zaidi watengewe bajeti kwa ajili ya ulinzi wa Ngozi zao.
Albino chini ya jemedari JPM aliishi kwa Amani bila mauwaji wala mateso.
Ni hayo tu.
Mkuu Sheria ajiongozi yenyewe.Hivi tumejitungia Sheria za nini kama ni hivi. Albino wanalindwa na Sheria au Mtu.
Kweli kabisaHili nimelisema sana humu.zile NGOs fake hazijawahi kuongelea
Wewe ni nani?Kwa hio alilinda watu wasiue albino, halafu yeye akaanza kuua wasio na hatia Kama akina Ben na azory gwanda?
Aungue pabaya motoni
Walikuwa wamalindwa tokea zamani na haya mambo yalianzia hukohuko maeneo ya ChatoMkuu Sheria ajiongozi yenyewe.
Hayati aliwalinda kwa mjibu wa Sheria
Sijui huyu mwana amezikiwa wapi kwanini uchunguzi usianzeben saanane
Unataka unijue ili ugundue niniWewe ni nani?
Mkuu akikujibu unitag😂😂Sabaya ndio aina ya watoto wa wanyonge!!?
hivi slaa ameeudi bongo?Kismati cha kuitoa Chadema kutoka wabunge 100+ walioachwa na Dr Slaa hadi kubaki mbunge mmoja Joyce Mkuya??..
Hovyo kabisa kwa walamba viatu vya Mboe
Si kweli.Hili halina ubishi wakuu atakaye bisha basi either ana upungufu wa akili.
Kipindi cha JPM ndicho tulicho shuhudia watoto wawanyonge
wanashika UDC, URC na Ukurugenzi.
Lakini pia tulishudia watoto wawanyonge wanaajiriwa
TANROADS, TANESCO, TRA, TPDC, EWURA, TBA, n.k.
Kwa kifupi kabla ya hapo mtoto wa mnyonge asingeweza kupenya katika sehemu hizo.
Damn!Si kweli.
Baba yangu mtoto wa "wanyonge" (wazazi wake hawakuwa na political connections) na kaanza Ukurugenzi sehemu nyeti tangu 1980.
Kwa uzito wa usomi wake na kazi alizofanya.
Mkuu una umri gani....Hili halina ubishi wakuu atakaye bisha basi either ana upungufu wa akili.
Kipindi cha JPM ndicho tulicho shuhudia watoto wawanyonge
wanashika UDC, URC na Ukurugenzi.
Lakini pia tulishudia watoto wawanyonge wanaajiriwa
TANROADS, TANESCO, TRA, TPDC, EWURA, TBA, n.k.
Kwa kifupi kabla ya hapo mtoto wa mnyonge asingeweza kupenya katika sehemu hizo.