Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Ni Hilo tu. MWENDAZAKE alitumia uchawi ghani. Maana sote Ni mashahidi alifanya miradi MIKUBWA BILA kuhangaika na vikodi vidogo kwa watu wa chini. Maswala ya MBOLEA kwa mfano Ni kumnyonya maskini mkulima wa kijijini huko.

Mwendazake alikuwa bingwa dhuluma usisahau.
 
Deni la Taifa limepaa kutoka kiasi gani hadi kiasi gani?
Umelinganisha na nchi nyingine ukaona status ya kupaa kwa deni la Taifa?
Mjinga mmoja ww hujui kwamba tulikuwa tumefkia hatua hatupew mkopo bila kujadiliana na nchi za east africa kisa ukichaa wa mwendazake

Mkikosolewa mnaleta ujinga wa kujilinganisha na nchi zngn
 
Huyo huyo alikuwa anakuchapa mbele na nyuma
Dah! Hajawahi mkuu, labda aliwachapa wale wamama aliowauliza awapanue wapi, kumbe tofauti na ukichaa wake marehemu jingaman alikuwa anakula kisamvu? Doh masikini mama Janet hajapona, tuliongozwa na firauni kabisa
 
Mwendazake alikuwa mporaji tu,Aliiba pesa za watu kutoka benk,DPP alitumika Kutishia watu Ili walipe pesa.
 
Mjinga mmoja ww hujui kwamba tulikuwa tumefkia hatua hatupew mkopo bila kujadiliana na nchi za east africa kisa ukichaa wa mwendazake

Mkikosolewa mnaleta ujinga wa kujilinganisha na nchi zngn
Tuliza mapovu dogo......au anakalia kigogo weye saa hii
 
Mjinga mmoja ww hujui kwamba tulikuwa tumefkia hatua hatupew mkopo bila kujadiliana na nchi za east africa kisa ukichaa wa mwendazake

Mkikosolewa mnaleta ujinga wa kujilinganisha na nchi zngn
Huo uongo umeutoa wapi?stop being parrot
 
Kuwa Mtanzania ni kipaji, huko duniani wanatuona ni viumbe vya ajabu.
 
Alidhulumu matajiri wakwepa kodi akajenga barabara sio...

Alijikita kwenye dhuluma za aina zote kiasi aliyemrithi akapiga marufuku zikiwamo kodi za dhuluma na mahakama nayo inarudisha baadhi ya dhuluma hizo.
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Upumbavu wake.
 
Alijikita kwenye dhuluma za aina zote kiasi aliyemrithi akapiga marufuku zikiwamo kodi za dhuluma na mahakama nayo inarudisha baadhi ya dhuluma hizo.
Sasa hv unapopigwa kwenye mitandao ya simu!!?
mafuta......
au unajitoa ufahamu
 
Sasa hv unapopigwa kwenye mitandao ya simu!!?
mafuta......
au unajitoa ufahamu
Huyu pamoja na yote ana nafuu kuliko lile jambazi sugu ambalo halikuishia kwenye pesa tu bali hata uhai wa watu.

Au wewe huku ndiyo kujitoa ufahamu sasa kuwa hujui kina Ben au kina Azory waliowahi kuwapo hapa duniani!!?
 
MWENDAZAKE alitumia uchawi gani? Maana sote Ni mashahidi alifanya miradi MIKUBWA BILA kuhangaika na vikodi vidogo kwa watu wa chini. Maswala ya MBOLEA kwa mfano Ni kumnyonya maskini mkulima wa kijijini huko.
Deni la taifa limeongezeka mara mbili kwa miaka 5 tu ya JPM
 
Back
Top Bottom