Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Chadema walikugonga uko nyuma?Chadema mlikula hela za visima vya bilionea Sabodo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema walikugonga uko nyuma?Chadema mlikula hela za visima vya bilionea Sabodo!
Tusubiri matokeoNi wazee wa magomeni mapipa, mikumi, mwembechai, makuti, kagera, mburahati, Agentina hadi manzese wanasema ni kama vile hayati Magufuli aliwaonjesha asali kwani sasa maji hayatoki tena.
Wazee hao wamemuomba RC Makalla kulishughulikia tatizo la maji na kulimaliza kama alivyolimaliza tatizo la wamachinga na sasa jiji limekuwa safi kila mtaa.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe huwa wanakugonga kumbe!Chadema walikugonga uko nyuma?
Mwanamke mbea weweYule shahidi wa kibanda cha mbege!
Hahahaaaa..... Unayo namba ya kuchangia msosi pale ubungo?Mwanamke mbea wewe
akina mama wenzako wametulia wewe maneno kibaoHahahaaaa..... Unayo namba ya kuchangia msosi pale ubungo?
Nataka nikutue ndoo kichwani!akina mama wenzako wametulia wewe maneno kibao
Ukiacha kukanyaga demokrasia JPM alikuwa anajua nini anafanya. Kwa jinsi mambo yaanavyo enda 2025 jina la JPM litakuwa mtaji mkubwa sana hasa kwa wapinzani.Ni wazee wa magomeni mapipa, mikumi, mwembechai, makuti, kagera, mburahati, Agentina hadi manzese wanasema ni kama vile hayati Magufuli aliwaonjesha asali kwani sasa maji hayatoki tena.
Wazee hao wamemuomba RC Makalla kulishughulikia tatizo la maji na kulimaliza kama alivyolimaliza tatizo la wamachinga na sasa jiji limekuwa safi kila mtaa.
Maendeleo hayana vyama!
Nakubaliana na wewe Chadema watabeba ajenda zote za Magufuli!Ukiacha kukanyaga demokrasia JPM alikuwa anajua nini anafanya. Kwa jinsi mambo yaanavyo enda 2025 jina la JPM litakuwa mtaji mkubwa sana hasa kwa wapinzani.
Toka umetoka Katoro unasumbua balaaNataka nikutue ndoo kichwani!
Naona umelewa gongo sasa umebakia kurohoja tu.Magufuli lazima akumbukwe utake usitake.
Yaani kwanavyo iona hii model ya mwendo wa maisha yetu Tanzania trust me hata kama hutaki utamkumbuka tu. Hata wanaoiba kuna wakati watamkumbuka.
Naomba huu uzi msifute.
Wangefutilia mbali huu upuuziMagufuli lazima akumbukwe utake usitake.
Yaani kwanavyo iona hii model ya mwendo wa maisha yetu Tanzania trust me hata kama hutaki utamkumbuka tu. Hata wanaoiba kuna wakati watamkumbuka.
Naomba huu uzi msifute.
Akili za mleta uzi na mchangiaji ni sawa na pipa na funikoNakubaliana na wewe Chadema watabeba ajenda zote za Magufuli!
Kawadanganye wendawazimu wenzakoUkiacha kukanyaga demokrasia JPM alikuwa anajua nini anafanya. Kwa jinsi mambo yaanavyo enda 2025 jina la JPM litakuwa mtaji mkubwa sana hasa kwa wapinzani.
Kwani usipo ongea matusi unakosa nini?Wewe huwa wanakugonga kumbe!
Mkuu kama ulijua aisee....nchi ishaingia shimoni tayari.He is My sons's legacy
Amenisaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Kaka pembe pembe bado zinaota, zilishafika ukomo?Mkuu kama ulijua aisee....nchi ishaingia shimoni tayari.