Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.

View attachment 2549998
Ungejua now ndio tunaonekana wadwanzi kuliko kenya.

Matukio ya kiseee mengi.
Huduma duni za kijamii.
Ushoga, usagaji, vitendo vya kidwanzi vimekithiri.
Madeni ya taifa mengi na hayajulikan yanafanyiwa nini.

Hiii inatuchafua tunazungunziwa vibaya saana
 
Ungejua now ndio tunaonekana wadwanzi kuliko kenya.

Matukio ya kiseee mengi.
Huduma duni za kijamii.
Ushoga, usagaji, vitendo vya kidwanzi vimekithiri.
Madeni ya taifa mengi na hayajulikan yanafanyiwa nini.

Hiii inatuchafua tunazungunziwa vibaya saana
Naona umedandia mwendokasi kwa mbele mwisho wake umevunjika mguu
 
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.

View attachment 2549998
 
Hivi kuna mahali Magufuli alishawahi kuandika kwamba anataka wateule wake wakate viuno? 🤣

Kama ipo naomba leta ushahidi otherwise we ni fala mmoja. Tabia ya upambe wanayo watanzania wengi tu hata sasa wapambe wapo wanaojiita chawa wa Mama.

Walikuwapo hata enzi za Jakaya, hulka za watu binafsi hazihusiani na kiongozi aliyepo madarakani. Ukiamua kuwa mpambe unakuwa zako mpambe. Ukiamua kukaa kimya unatulia zako na hamna raisi atakusumbua ati kisa humfanyii upambe nuksi.
 
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.

View attachment 2549998
Hivi huyu jamaa alikuwa analewa au kichwa chake kipo tenge tu naturally?
 
Hivi kuna mahali Magufuli alishawahi kuandika kwamba anataka wateule wake wakate viuno? 🤣

Kama ipo naomba leta ushahidi otherwise we ni fala mmoja. Tabia ya upambe wanayo watanzania wengi tu hata sasa wapambe wapo wanaojiita chawa wa Mama.

Walikuwapo hata enzi za Jakaya, hulka za watu binafsi hazihusiani na kiongozi aliyepo madarakani. Ukiamua kuwa mpambe unakuwa zako mpambe. Ukiamua kukaa kimya unatulia zako na hamna raisi atakusumbua ati kisa humfanyii upambe nuksi.
Kweli kabisa.
 
Ww nikicho

WW mijinga, solution sio kuongeza mshahara ni kuwapunguzia watu matumizi njia bora alioiona ni kujenga bwawa LA umeme uzalishaji ishuke bei maana ghalama za umeme angeshusha kwaiyo viwanda vingepata nishati Kwa bei ndogo vingezalisha Kwa ghalama ndogo ,mshahara ungebaki pale pale ila vitu vingeshuka be.Bwea we uwe na akili
Inawezekana mwenzangu umenizidi kwa ujinga, unadhani kwa miaka sita bei ya bidhaa zilikuwa zimesimama zinamsubiria yeye? Na kikubwa kinachoshusha bei ya bidhaa ni mafuta siyo umeme
 
Si wewe unapenda michongo mpaka ukachukua vyeti vya marehem alipambana darasani wewe ukaona shangwe.
Siwezi chukua cheti cha mtu kama Makonda na Musiba rafiki zake mwendazake walivyofanya.Inaonekana asilimia kubwa ya wateuliwa na wapambe wa Magufuri walikuwa ni vyeti feki.
 
Back
Top Bottom