Wazee wanapungua ndio mtaji wa chakavu.Uzuri mwaka huu lile zindiko la Moto wa kichawi toka kuzimu linalopumbaza watu akili wakosee kuchagua alijakimbizwa sababu ya corona, hapa zindiko limekiukwa chochote chaweza tokea.Mtaji mkubwa wa ccm ni wazee nawashangaa wameleta corona ili iangamize wazee
Sasa ngoja wazee waishe na corona tubaki vijana watupu tuwafundishe adabu mwezi October
Sent using Jamii Forums mobile app