Uchaguzi 2020 Je, utampa Magufuli kura yako uchaguzi ujao?

Uchaguzi 2020 Je, utampa Magufuli kura yako uchaguzi ujao?

Utampaje kura mtu anayewaacha wananchi wake wakat wa majanga, rejea kauli zake nyungi kipindi cha majanga mfano kipindi kile cha mafuriko, tetemeko la ardhi " Kwan Mm ndio nimeyaleta hayo majanga" issue za bomoa bomoa,korosho nk.

Kivuko cha kigamboni kipindi ni waziri wa ujenz " pigeni mbizi mvuke bahari kama hamna nauli za kivuko"

Leo tuna corona anatutaka tukusanyike tusali ili kutokomeza ugonjwa huku yeye kajifungia ndani, hii inaonyesha wazi hatutakii mema wananchi wake hasa sisi maskini.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kadi ya mke wangu ikae vizurikwani hakika nitaiiba ili nikampe kura mbili za uhakika. Uliza yanayotokea nchi jirani waliojifanya kujifungia ndani
Mkuu eti Uganda mpaka sasa wagonjwa ni wangapi?
 
Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.

Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!

Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Kwa tume ipi?
 
Kusema kweli najuta kwamba mwaka 2015 nilimpigia kura. This time around sitaki nije kujuta tena. SIMPIGII KURA MAGUFULI!
 
Awajaongezwa mishahara miaka plus kikotoo kitarudi cha ajabu yatakosea tu.Kuwa maiti ni mzigo
Ndiyo maiti siku zote huwa ni mzigo kwa walio hai, wewe unadhani Kuna mtu hai yupo Kariakoo anatafuta corona kwa kisingizio cha kuchapa kazi?
 
Niseme tu wa kulaumiwa ni viongozi wa dini wamejifichia kwenye unafiki wa njaa.Wanashindwa vipi kuwatenga waumini wao ambao ni wahuni wasiriharibu taifa Bali uwakumbatia Hadi kuwaruhusu wakanyage mimbali wamkufuru Mungu.Watu waovu wasipotengwa katu awatoacha uovu wao wataendelea kutesa na kuumiza watu.Nawakubali viongozi wa dini wa Congo na Kenya walisimama na jamii wakawapinga wahuni wasibomoe nchi zao.Viongozi wa dini Wana nguvu Sana Kama wataamua kusimamia kweli ili kuliponya taifa,check Leo hata sadaka na michango imepungua sababu ya unafiki wao wa kukaa kimya.
Mkuu hao viongozi wa dini unawaonea bure jilaumu wewe mwenyewe kwa kushindwa kuchukua hatua.
 
Ndiyo maiti siku zote huwa ni mzigo kwa walio hai, wewe unadhani Kuna mtu hai yupo Kariakoo anatafuta corona kwa kisingizio cha kuchapa kazi?
Kwani corona inabagua hata uwe kwenu malinyi usipofata taratibu za afya itakupata tu.Waweza kuwa kariakoo kwa taadhari pia.
 
Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.

Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!

Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Nitampa DJ akigombea maana sisi waafrika tunapenda Starehe kama bia, soda, chips kuku, nyama choma, rushwa, maendeleo ya hewani, ngoma, social relationship, music and the like
 
Hakuna kundi ambalo halijaumizwa mpaka Sasa yaani limesomeshwa namba Hadi likachakaa Makundi yote hoi.Si watumishi,si wafanyabiashara, wakulima, wavuvi, vijana, masikini kwa matajiri,mijini kwa vijijini Sasa kama wataona kibano bado hakitoshi wengine tumeshalimia meno yote yameisha wao Kama bado Wana meno wasimlaumu mtu.
Kuna baadhi ya Jamii huwa sio za kuwapa leseni za udereva wabakie kwenye utingo kule ndo matumizi ya nguvu ni sahihi na sio udereva unahitaji akili sio nguvu.
 
Kwani corona inabagua hata uwe kwenu malinyi usipofata taratibu za afya itakupata tu.Waweza kuwa kariakoo kwa taadhari pia.
Sawa mkuu wewe chukua tahadhari na piga kazi,maana hao 250 wanaoumwa Tanzania na maelfu waliokufa dunia nzima si makini Kama wewe
 
Sawa mkuu wewe chukua tahadhari na piga kazi,maana hao 250 wanaoumwa Tanzania na maelfu waliokufa dunia nzima si makini Kama wewe
Corona imekuja kuchukua watu wake watakaobakia watabaki na watakaondoka wataondoka ikishamaliza kazi yake itaondoka.Huna haja ya kuogopa kifo ambacho kipo tu hata usipokiogopa
 
Back
Top Bottom