Dogo hakuna MTU mwenye akili atafanya ujinga wa kumpa kura huyu MTU bora kupigia jiweNenda kwenye kioo kajiangalie halafu urudi tena hapa.Na ujisemee kwamba wewe mropokaji na mtu wa kujipa matumaini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo hakuna MTU mwenye akili atafanya ujinga wa kumpa kura huyu MTU bora kupigia jiweNenda kwenye kioo kajiangalie halafu urudi tena hapa.Na ujisemee kwamba wewe mropokaji na mtu wa kujipa matumaini.
Kwanini tuulize wakati wewe unajua yanayotokea huku,tuambieKadi ya mke wangu ikae vizurikwani hakika nitaiiba ili nikampe kura mbili za uhakika. Uliza yanayotokea nchi jirani waliojifanya kujifungia ndani
Mkuu mwanaccm anaelewa wakati anafukiwa kaburi
Mkuu wewe unadhani Magufuli anapaswa kupimwa kwa kuokota vichwa vya treni kule bandarini au kwa kuwadhibiti Chadema? Tusaidie mkuu ili na sisi tujue anafaa kwa lipi?Yaani Janga la Dunia la CORONA ambalo limewashinda hata Marais wanaosifika Duniani ndiyo leo hii lifanye Rais Dkt. Magufuli hafai? Sasa naanza Kuamini kuwa Great Thinkers wameshapungua nchini Tanzania.
Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kwetu wa leo, ni wa kuoenda kuvaa kombati kuelekea kwenye kumbi za mikutano na siyo kuelekea kwenye uwanja wa mapambano.Kwa mbali nakumbuka ile siku nduli Idi Amin alipotushambulia na kuteka sehemu ya Jamhuri yetu huku akitishia kuongeza mashambulizi hadi Bandari yetu ya Salama. Jemadari wetu Mkuu wakati huo, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakutafuta pa kukimbilia kujificha na kututaka tusali, hapana.
Baada ya kutangaza tu kwamba tuko vitani, aliingia kazini kuwahamasisha wananchi na kuliongoza Jeshi la wananchi, JWTZ, kwa kazi moja tu, kumpiga adui. Na kweli nduli alitandikwa. Alipigwa hadi akaikimbia si tu ardhi yetu na mambo yakaishia hapo, hapana, alizidi kutandikwa hadi akaikimbia na nchi yake Uganda.
Naam, hivyo ndivyo ilivyo, Kamanda na Jemadari Mkuu hakimbii uwanja wa vita akawaacha askari wake mikononi mwa wahuni kama Bashite.
View attachment 1425268Tukumbuke tunapomchagua Rais, tunamchagua Kamanda na Jemadari Mkuu ambaye atakuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya adui anayeonekana na asiyeonekana na si anayejificha mapambano yakipamba moto...ni hayo tu!
Rais wa awamu ya kwanza wa Tanzania, Mwl. J.K Nyerere na makamanda wa Jeshi.
View attachment 1425269
Hapa Kamanda wa kweli na Jemadari Mkuu, Mwalimu Nyerere, yupo juu ya tanki la jeshi, kifaru, uwanja wa vita!
Siwezi kumpigia kura mtu asiyejua mipaka yake.Anajifanya kama Mfalme Constantine wa Rumi ya kale.Ameamrisha nchi ifanye maombi.Tatizo linakuja umpe usimpe atatangazwa
Wadau amani iwe nanyiHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako??
Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme tu wa kulaumiwa ni viongozi wa dini wamejifichia kwenye unafiki wa njaa.Wanashindwa vipi kuwatenga waumini wao ambao ni wahuni wasiriharibu taifa Bali uwakumbatia Hadi kuwaruhusu wakanyage mimbali wamkufuru Mungu.Watu waovu wasipotengwa katu awatoacha uovu wao wataendelea kutesa na kuumiza watu.Nawakubali viongozi wa dini wa Congo na Kenya walisimama na jamii wakawapinga wahuni wasibomoe nchi zao.Viongozi wa dini Wana nguvu Sana Kama wataamua kusimamia kweli ili kuliponya taifa,check Leo hata sadaka na michango imepungua sababu ya unafiki wao wa kukaa kimya.Mkuu wafanyakazi wa hivyo vyombo ni watanzania pia sasa whether wanakiona hiki ambacho Mimi na wewe tunaona au wamepigwa upovu na mishahara na marupurupu ya muda mfupi Mungu ndo anajua,Ila tuendelee kuwaombea,Kama Mungu anaweza simamisha corona dhidi ya Tanzania anashindwaje kwa mtu anaiharibu Tanzania?
Awajaongezwa mishahara miaka plus kikotoo kitarudi cha ajabu yatakosea tu.Kuwa maiti ni mzigoMkuu wafanyakazi wa hivyo vyombo ni watanzania pia sasa whether wanakiona hiki ambacho Mimi na wewe tunaona au wamepigwa upovu na mishahara na marupurupu ya muda mfupi Mungu ndo anajua,Ila tuendelee kuwaombea,Kama Mungu anaweza simamisha corona dhidi ya Tanzania anashindwaje kwa mtu anaiharibu Tanzania?
Hatuwezi toa Kisha inatumika kutuumizaTatizo watu wa Ufipa huwa mnajifanya mna maendeleo mkiombwa msaada hata mia hamtoi