Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,831
Big NO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hata yeye mwenyewe hatojipa kura.
Mimi namuombea kwa Mungu ili Mungu ampe uwezo wa kujipima wenyewe Kama anatosha au la ili asilazimishe kugombea akiishia kuwafanya police wetu,TISS,na watu wa Time ya uchaguzi wakafanya dhambi ambazo zisizo za lazimaHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona mnatudharau sana watanzania? Kwamba Magufuli ndo the best Tanzania? Acheni kuidharirisha nchi yetu tafadhaliWeka mbadala sasa, kama hapewi anpewe nani? Au kura iharibike tu?
Atakae bakia mjini hadi June 2017 ni mwanaume, wamekimbia wao.kwanza yuko wapi
Hivyo vyombo vingekuwa vinajali mustakabali wa nchi huyu mtu aliyebomoa nchi asingerudi.Tuendelee kumuombea Mangula afya teleMimi namuombea kwa Mungu ili Mungu ampe uwezo wa kujipima wenyewe Kama anatosha au la ili asilazimishe kugombea akiishia kuwafanya police wetu,TISS,na watu wa Time ya uchaguzi wakafanya dhambi ambazo zisizo za lazima
Usiwe na iman chafu Kama hizoTatizo linakuja umpe usimpe atatangazwa
Underground ni wengi Sana na wenye kuweza kutuvushaWeka mbadala sasa, kama hapewi anpewe nani? Au kura iharibike tu?
Hata kabla ya corona alishaproof failure, ameshindwa kutatua shida zetu mfano ajira, njaa,kilimo, usalama,diplomasia kutwa kucha amewekeza kupambana na watu Mara upinzani Mara mbowe badala ya kupambana na shida za watz.Yaani Janga la Dunia la CORONA ambalo limewashinda hata Marais wanaosifika Duniani ndiyo leo hii lifanye Rais Dkt. Magufuli hafai? Sasa naanza Kuamini kuwa Great Thinkers wameshapungua nchini Tanzania.
Beberu akwepeki ili uendelee sisi sio kisiwaChadema & beberu's implant on the move!
Ameenda kurechaji kuboost
LissuWeka mbadala sasa, kama hapewi anpewe nani? Au kura iharibike tu?
Sababu mfumo wako wa kuishi unategemea uwepo wake.Jifunze maisha mbadala asipokuwepo usife njaaJohn Pombe Joseph Magufuli---YES
Sijawahi kujutia kumpigia kura mwaka 2015.
Ndimi mtumishi mtarajiwa wa serikali kura yangu 2020 ni kwa Magufuli.
Wakwako walishaga tangulia nini?Mtaji mkubwa wa ccm ni wazee nawashangaa wameleta corona ili iangamize wazee
Sasa ngoja wazee waishe na corona tubaki vijana watupu tuwafundishe adabu mwezi October
Sent using Jamii Forums mobile app
Nidhamu ipi tofautisha Nidhamu na uogasimpi kura ingawa 2015 nilimpa...sababu ya kwanza, kulazimisha nchi yetu kuwa ya chama kimoja.
sababu nyingine kudhuru watu woote wanaompinga na kumkosoa.
kuna mambo kafanya vzr hasa kurejesha nidhamu kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana!! ni muoga! Hajiamini! amekimbia Vita!Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako??
Sent using Jamii Forums mobile app