Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hata kwa mtutu wa bunduki siwezi kumpa kura huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapanda mlima Kilimanajro kwa kutambaa. Vichaa hawaishi dunianiHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Kama hivyo hiyo tahadhari unachukua ya nini sasa?au na wewe unaogopa kifo?Corona imekuja kuchukua watu wake watakaobakia watabaki na watakaondoka wataondoka ikishamaliza kazi yake itaondoka.Huna haja ya kuogopa kifo ambacho kipo tu hata usipokiogopa
Siogopi kifo lkn siwezi jirahisi kifo cha kujitakiaKama hivyo hiyo tahadhari unachukua ya nini sasa?au na wewe unaogopa kifo?
Mpe hata baba yako.Unampa vipi mtu aje akutese
Endelea kulala sie tunachapa kaziKumbe wewe ni utopolo maana hata hujui unatetea Nini?haya kachape kazi acha mie nilale
BABA gani anawakimbia watoto wakati wa majangaHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Kenya Wana 270 na wamepima watu 15000 Kesho Ummy akikohowa tu tumewapiga gap,Vifo visitangazwe please maana itakuwa aibu kwa kiongozi wa malaika mtarajiwa na inaweza ikamfanya mungu akagairi kumteua kwenye hicho cheoMkuu eti Uganda mpaka sasa wagonjwa ni wangapi?