Uchaguzi 2020 Je, utampa Magufuli kura yako uchaguzi ujao?

Kadi ya mke wangu ikae vizurikwani hakika nitaiiba ili nikampe kura mbili za uhakika. Uliza yanayotokea nchi jirani waliojifanya kujifungia ndani
Kwanini tuulize wakati wewe unajua yanayotokea huku,tuambie
 
Yaani Janga la Dunia la CORONA ambalo limewashinda hata Marais wanaosifika Duniani ndiyo leo hii lifanye Rais Dkt. Magufuli hafai? Sasa naanza Kuamini kuwa Great Thinkers wameshapungua nchini Tanzania.
Mkuu wewe unadhani Magufuli anapaswa kupimwa kwa kuokota vichwa vya treni kule bandarini au kwa kuwadhibiti Chadema? Tusaidie mkuu ili na sisi tujue anafaa kwa lipi?
 
Wa kwetu wa leo, ni wa kuoenda kuvaa kombati kuelekea kwenye kumbi za mikutano na siyo kuelekea kwenye uwanja wa mapambano.
 
Wadau amani iwe nanyi

Leo nimekaa na kutafakari msitakabali wa nchi yetu nimekuja na ugunduzi wa mambo kadha wa kadha.
Kwenye siasa za nchi yetu kuna kundi la watu ambalo kazi yao ni kuwaaminisha wananchi kwamba kiongozi fulani hafai hivyo wasifuate maagizo yake lakini wananchi ndiyo kwanza wanazidi kumfuata na kumsikiliza huyo kiongozi !

Chadema wamekuwa wakimwandama sana RC Makonda na kujaribu kumfubaza mbele ya wananchi tangu kipindi kile amtaje Mbowe kwenye genge la wauza madawa ya kulevya nchini na kupelekea madawa kuisha kabisa mitaani na mateja kupungua mno nchini kote, tangu hapo kila atakachoagiza Makonda Chadema lazima wapinge.
Mfano tarehe 20/April Makonda alitaka kila mwana Dares salaam kuanza kuvaa barakoa ili kujikinga na na hivi virus vya Corona lakini Chadema walipinga agizo hilo kwa nguvu zote!
Chadema walipinga agizo hilo kwa kisingizio kwamba anayetakiwa kutoa agizo la kuvaa barakoa ni waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Lakini cha kushangaza pamoja na Chadema kuwataka wananchi wasivae barakoa lakini wananchi wameitikia kweli kweli wito wa Makonda kila kona ya jiji wananchi wameva barakoa, hii ina maana gani kwa Chadema?
Je ina maanisha chadema haisikilizwi tena na wananchi? Mvuto wa chadema umekwisha? Je ni laana ya kuuza madawa ya kulevya au damu ya Akwilina?

Nini kimetokea chadema iliyokuwa inaagiza watu watoke nje kuandamana na wanatoka kweli licha ya mabomu leo imekuwaje hawafuati maagizo ya chadema? Ni laana ya Dk Slaa? Kwa hali hii Chadema itashinda uchaguzi wowote?
Yetu macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatopata ila atashinda. Lakini utakuwa ni msimu mgumu sana kwake. Uchumi wa Dunia utakuwa chini, Dollar zitaingia kwa uchache sana, itabidi abadili shilingi kwenda Dollar ili alipe wakandarasi, kuagiza mafuta n.k Miradi mikubwa itamsumbua kichwa sana kuimaliza.

2020-2025 ni kipindi ambacho kinahitaji strategy ya kutosha na ni wakati ambayo tutahitaji misaada ya Mabeberu kuliko wakati wowote.

Sina hakika kama Raisi wetu atakubali kumpigia goti Beberu apewe msaada au ataendelea kukopa aiweke nchi kwenye madeni zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niseme tu wa kulaumiwa ni viongozi wa dini wamejifichia kwenye unafiki wa njaa.Wanashindwa vipi kuwatenga waumini wao ambao ni wahuni wasiriharibu taifa Bali uwakumbatia Hadi kuwaruhusu wakanyage mimbali wamkufuru Mungu.Watu waovu wasipotengwa katu awatoacha uovu wao wataendelea kutesa na kuumiza watu.Nawakubali viongozi wa dini wa Congo na Kenya walisimama na jamii wakawapinga wahuni wasibomoe nchi zao.Viongozi wa dini Wana nguvu Sana Kama wataamua kusimamia kweli ili kuliponya taifa,check Leo hata sadaka na michango imepungua sababu ya unafiki wao wa kukaa kimya.
 
Awajaongezwa mishahara miaka plus kikotoo kitarudi cha ajabu yatakosea tu.Kuwa maiti ni mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…