Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kiukweli kwangu mwanaume saa inatosha, akiongeza vikorimbwezo vingine ameharibu
Tunao vaa kofia, pama, masheni kama yote, Pete tano kwenye vidole, tunaruhusiwa kukometi.
😄😄😄😄😄😄😄😄😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ww ni chiz ujue
Haaaaa.....chukulia kawaida mkuu, ila mimi nimeanza kuvaa kutokana na nature ya kazi yangu muda mwingi kuwa juaniSerious mkuu unaonekana km mhuni..na kuna zile culture..wanaume wanazivaa sana zina bendera ya Tz..kwakweli nachefukwa sana..iko siku nitaunguza mtu mkono
Binafsi mwanaume anaye vaa cheni anipatie mbali, Pete zile za majini, culture yaani nachefukwa.Serious mkuu unaonekana km mhuni..na kuna zile culture..wanaume wanazivaa sana zina bendera ya Tz..kwakweli nachefukwa sana..iko siku nitaunguza mtu mkono
Shoga sio uhuni jua lina choma jomonii hadi bata wanaruka ruka badala ya kutembea,..☹japo hata mm sipendi man wangu avae kofia aisee labda kwenye mitoko flan hivi beach beach..na avae kwa mwaka mara moja usiwe utaratibu wake😎akivaa sana anaweza geuka abunuwasi buree😂Kuna kipindi hubby alinunua cap..nikamwambia mbn unavaa kofia unakuwa km mhuni mhuni vile..akaniambia ninaficha upara...sasa sk 1 kaivaa..boss wake akamu0na akamwambia na ww ushakuwa mhuni sasa kwann unavaa kofia..???toka pale akaacha..kwakweli mwanaume anayevaa kofia awe btn 30 -50 mimi kwangu namchukulia MUHUNI..hana tofauti kbs na mdada anayechomekea dera kwa nguo za ndani!
Jitafakari best🤔🤔🤔🤔🤔
uwiii anae vaa macheni yale mazito na mapete pete kama madilu asee anipite hata salamu maana sitamuitikiaBinafsi mwanaume anaye vaa cheni anipatie mbali, Pete zile za majini, culture yaani nachefukwa.
Yes kuna maeneo mwanaume akivaa kofia haina tatizo sio kila sikuShoga sio uhuni jua lina choma jomonii hadi bata wanaruka ruka badala ya kutembea,..☹japo hata mm sipendi man wangu avae kofia aisee labda kwenye mitoko flan hivi beach beach..na avae kwa mwaka mara moja usiwe utaratibu wake😎akivaa sana anaweza geuka abunuwasi buree😂
Halafu siku hizi mapete imekuwa fashion kwa baadhi ya wanaumeuwiii anae vaa macheni yale mazito na mapete pete kama madilu asee anipite hata salamu maana sitamuitikia
Shoga sio uhuni jua lina choma jomonii hadi bata wanaruka ruka badala ya kutembea,..☹japo hata mm sipendi man wangu avae kofia aisee labda kwenye mitoko flan hivi beach beach..na avae kwa mwaka mara moja usiwe utaratibu wake😎akivaa sana anaweza geuka abunuwasi buree😂
Aisee mwanaume wa hivo asithubutu kunishika mkono wangu...maana nawaona kama wana mapepo aaahģg😣Halafu siku hizi mapete imekuwa fashion kwa baadhi ya wanaume
Aisee mwanaume wa hivo asithubutu kunishika mkono wangu...maana nawaona kama wana mapepo aaahģg😣
Hahaha eti za bahati...chaaa!!!!tupo wwngi jaman mipete ya shaba mikuuubwaaa...pyeee
Washirikina tuu hawana lolote...Halafu siku hizi mapete imekuwa fashion kwa baadhi ya wanaume
Naona umeniamulia[emoji28]. Acha ni log outyaan unaonekana km umetoka kolomije[emoji28]...hazina shape nzuri at all..