Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
NDIO UWEZO WA WAHANDISI WETU WAKATI UMEFIKA HIZO TENDA WAPEWE MAKAMPUNI YA KICHINA ULIZA GHARAMA YAKE UTAAMBIWA MIL.350View attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Achana na takataka hilo! Hapo limejiandaa kukusema wewe ni CHADEMA!Huoni tatizo hapo?
Pour flush toilets? Hilo pia linawezekana. Asante kwa kutuelimisha.Na Wala hakuna ignorance, ila sis wachangiaj tunaignorance kwenye Hili.,,hatujui Sababu lakn tunalaumu.. kiufupi vyoo vingi katika shule nyingi za umma ambazo hazina maji au uhakika wa kupat maji ya kutoshaa ndo vinajengw hivi.. huwez ukawwka chemba wakati maji Hamna utasababisha Maafa zaidi... Chukuen hilo
Fundi maiko hapa kachemkaView attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Kuna technology moja mpya ya chemba inaitwa ballistic septic ingefaa zaidiNdio shida ya force account. Wote hao hawajui lolote kuhusu miundo mbinu ya maji taka kwenye vyoo na mabafu mengi. Kuwatumbua itakuwa sio haki. Ni kuwaletea mtaalamu atakae waelekeza namna ya kujenga inspection chambers, septic tanks, soak pits au French drains. Sio makosa yao. Na michoro mengi inakosa michoro ya hii miundo mbinu.
Amandla...
Yuko sahihi. Hapa unasukumiza uchafu kwa kakopo ka maji. Shida ni hayo mabomba utayalindaje yasiharibike?Huo muinamo wa hizo bomba unadhani zinaweza kutiririsha uchafu mzito! Haziwezi.
Ni sahihi kama akiweka kingo kisha afunike hizo pipe kwa udongo zisiwe nje ni rahisi kupasukaTubalance stori basi kwa kuweka mchoro/ picha ya choo chenye sifa stahiki. Maana wengine hapo tunaona ni sahihi.
Machame hiyo!Hao wana hulka ya kunywa mbege kwa mirija
Kwanini isiwe chingiriHao wana hulka ya kunywa mbege kwa mirija
Hicho si ni choo cha wanafunzi?Kwan huoni kama ujenzi unaendelea hapo!!
Na uyo mtu aje na msumeno kukata ina maana si amedhamilia hata ukifukia chini utasema vip mtu akija na jembe kuchimbua