FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Imekuwa Ikifahamika kwa watu wa chache sana wenye maarifa na ujuzi katika miaka ya hivi karibuni (20th century), kwamba biblia ni masimulizi ya ‘Vibao vya mawe vya Sumeria’ vilivyo ‘ghoshiwa’ na wajanja wachache (hasa Warumi) katika kukamata na kupumbaza akili raia katika himaya zao, hii iliwarahisishia kujitanua na kutawala kwa uhakika zaidi.
Vibao vya mawe vya kale vya ‘Sumeria’ vinakadiriwa kuandikwa takriban miaka 3,000 kabla ya kuandikwa kwa biblia, na Biblia inakadiriwa kuandikwa miaka 2,000 baada ya kuandikwa kwa vibao vya mawe vya Sumeria.
Vibao vya Sumeria viligundulika miaka ya 1800 na watafiti wa mambo ya kale toka Uingereza katika ukanda wa ‘Assyria’; idadi ya hivyo vibao bi maelfu kwa maelfu, na kwakuwa lugha hiyo ni ya kale sana na imeshabadilika sana, ilichukua miaka mingi kuweza kutafsiri vilivyoandikwa kwenye vibao hivyo.
Miaka ya 1900 idadi kubwa ya vibao hivyo, ambavyo hadi miaka ya hivi karibuni tu vilikuwa vimefanywa siri na kufichwa katika majumba ya makumbusho ya uingereza, viliweza kutafsiriwa kwa ufasaha mkubwa sana, kilichokuwa kimeandikwa humo kilikuwa ni tishio na aibu kubwa kwa wezi wa maandiko walioandika biblia, hivyo kwa miongo yote hiyo hakuna aliyeweza kuambiwa kilichomo.
Miaka ya hivi karibuni watu wengi sana huko ulaya na Marekani walianza kupoteza hamu ya mambo yahusuyo kanisa na Ukristo kwa ujumla, hivyo hofu ya kuviweka hadharani vibao hivyo ikapungua, na baadhi japo ni vichache (vile ambavyo sio tishio sana) vimeanzwa kiwekwa wazi kwenye majumba ya makumbusho huko uingereza, kiasi hata kama wewe ni paroko wa kanisa flani, unaweza kuwachangisha waumini wako pesa ya tiketi na ukaenda kujionea mwenye kwa macho yako.
Hadithi zilizofanyiwa ‘plagiarism’ na ‘kughoshiwa’ na biblia ni nyingi, na nitazichambua nyingi kadri niwezavyo, ila moja iliyonipagawisha ni ile ya ‘Shetani’ kumshawishi Eva wafanye ngono na Adam, kitendo kilichomwogopesha na kumkera ‘Creator wa kwanza’ , Adam , Eva, na ‘Shetani walimchukiza sana.
Nyingine ni ile ya ‘Shetani’ kuwa muumbaji wa mwisho wa binadamu (alifanya kazi ya finishing) kwa kutagawia ‘DNA’ yake ya kimungu na kuwafanya binadamu kuwa na’Umungu ndani yao, hili pia lilimkera sana ‘Creator wa kwanza’, maana liliwapa binadamu uMungu na kumpa wivu sana, ni mungu mwenye wivu sana, shetani alimkera sana kwa kitendo hichi, na inawezekana adhabu yake na ya kwetu itakuwa kali sana mwishowe.
Nakunyw amaji nianze kuweka Hadithi kwa hadithi tena kwa undani.
==============================
Hadithi ya kwanza: Post no. 44
============================
View: https://www.instagram.com/reel/DCg_mj_Il44/?igsh=ZjFrMWRwdXg5bGxn
Vibao vya mawe vya kale vya ‘Sumeria’ vinakadiriwa kuandikwa takriban miaka 3,000 kabla ya kuandikwa kwa biblia, na Biblia inakadiriwa kuandikwa miaka 2,000 baada ya kuandikwa kwa vibao vya mawe vya Sumeria.
Vibao vya Sumeria viligundulika miaka ya 1800 na watafiti wa mambo ya kale toka Uingereza katika ukanda wa ‘Assyria’; idadi ya hivyo vibao bi maelfu kwa maelfu, na kwakuwa lugha hiyo ni ya kale sana na imeshabadilika sana, ilichukua miaka mingi kuweza kutafsiri vilivyoandikwa kwenye vibao hivyo.
Miaka ya 1900 idadi kubwa ya vibao hivyo, ambavyo hadi miaka ya hivi karibuni tu vilikuwa vimefanywa siri na kufichwa katika majumba ya makumbusho ya uingereza, viliweza kutafsiriwa kwa ufasaha mkubwa sana, kilichokuwa kimeandikwa humo kilikuwa ni tishio na aibu kubwa kwa wezi wa maandiko walioandika biblia, hivyo kwa miongo yote hiyo hakuna aliyeweza kuambiwa kilichomo.
Miaka ya hivi karibuni watu wengi sana huko ulaya na Marekani walianza kupoteza hamu ya mambo yahusuyo kanisa na Ukristo kwa ujumla, hivyo hofu ya kuviweka hadharani vibao hivyo ikapungua, na baadhi japo ni vichache (vile ambavyo sio tishio sana) vimeanzwa kiwekwa wazi kwenye majumba ya makumbusho huko uingereza, kiasi hata kama wewe ni paroko wa kanisa flani, unaweza kuwachangisha waumini wako pesa ya tiketi na ukaenda kujionea mwenye kwa macho yako.
Hadithi zilizofanyiwa ‘plagiarism’ na ‘kughoshiwa’ na biblia ni nyingi, na nitazichambua nyingi kadri niwezavyo, ila moja iliyonipagawisha ni ile ya ‘Shetani’ kumshawishi Eva wafanye ngono na Adam, kitendo kilichomwogopesha na kumkera ‘Creator wa kwanza’ , Adam , Eva, na ‘Shetani walimchukiza sana.
Nyingine ni ile ya ‘Shetani’ kuwa muumbaji wa mwisho wa binadamu (alifanya kazi ya finishing) kwa kutagawia ‘DNA’ yake ya kimungu na kuwafanya binadamu kuwa na’Umungu ndani yao, hili pia lilimkera sana ‘Creator wa kwanza’, maana liliwapa binadamu uMungu na kumpa wivu sana, ni mungu mwenye wivu sana, shetani alimkera sana kwa kitendo hichi, na inawezekana adhabu yake na ya kwetu itakuwa kali sana mwishowe.
Nakunyw amaji nianze kuweka Hadithi kwa hadithi tena kwa undani.
==============================
Hadithi ya kwanza: Post no. 44
============================
View: https://www.instagram.com/reel/DCg_mj_Il44/?igsh=ZjFrMWRwdXg5bGxn