Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

Ignorance is Bliss. wewe mada zako hua ni za kijinga jinga tu, sijawai kukuona umeandika jambo la maana humu.

Sawa ni hadithi za kughushi lakini je Ukristo unatoa impact gani kwenye jamii? Ukristo ndio dini pekee iliyo hai hapa duniani, zingine zote ni mfu, ndo maana mamilion ya watu walipaswa wawe wameshakufa lakini ukristo uliwaokoa kutoka kwenye vitanda vya vifo vyao.

Mungu akurehemu wewe ignorant.
Umeandika kitu kizuri
 
Kwa maandiko ayo usiseme biblia tu bali sema "Je, waandishi wa vitabu vya dini (Biblia na Quran) hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?" Maana naona wote wameenda tofauti na ayo maandiko.
Kweli
 
Kwa maandiko ayo usiseme biblia tu bali sema "Je, waandishi wa vitabu vya dini (Biblia na Quran) hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?" Maana naona wote wameenda tofauti na ayo maandiko.
Hili swali hata Mimi juu hapo nimemtaka aweke ulinganifu na Quran maana Kuna mfanano wa vitabu
 
Sina hakika na ulichouliza, ila kipindi vibao vya Sumeria vinaandikwa hapakuwa hata na karatasi, walichonga mawe ili kuandika (engraving), ni miaka 3,000 kabla ya kitabu chochote cha bible kuandikwa.
Mkuu amri za Mungu nazo ziliandikwa kwenye mawe je,nikisema amri hizo ziliandikwa kabla ya hadithi hiyo nitakuwa sawa ?
 
Mkuu amri za Mungu nazo ziliandikwa kwenye mawe je,nikisema amri hizo ziliandikwa kabla ya hadithi hiyo nitakuwa sawa ?
Tunapima umri wa vitu kwa kutumia mbinu za kisayansi, mfano vitu vilivyokuwa na asili ya uhai (organic) tunatumia Carbon dating, vitu kama mawe pia vina ‘method yake’ . hivyo vibao vimetambulika kwa mbinu hizo kuwa na miaka 3,000 zaidi ya kipindi cha kuandikwa kwa biblia. Maana hata sasa kuna mashahidi ya kaburini yanaandikwa kwenye mawe, ila haimaanishi mashahidi haya yana umri zaidi ya vibao vya sumeria
 
Tunapima umri wa vitu kwa kutumia mbinu za kisayansi, mfano vitu vilivyokuwa na asili ya uhai (organic) tunatumia Carbon dating, vitu kama mawe pia vina ‘method yake’ . hivyo vibao vimetambulika kwa mbinu hizo kuwa na miaka 3,000 zaidi ya kipindi cha kuandikwa kwa biblia. Maana hata sasa kuna mashahidi ya kaburini yanaandikwa kwenye mawe, ila haimaanishi mashahidi haya yana umri zaidi ya vibao vya sumeria
Mkuu ebu Leta hizo hadithi tujifunze kuhusu maswali nitarudi baadaye
 
Imekuwa Ikifahamika kwa watu wa chache sana wenye maarifa na ujuzi katika miaka ya hivi karibuni (20th century), kwamba biblia ni masimulizi ya ‘Vibao vya mawe vya Sumeria’ vilivyo ‘ghoshiwa’ na wajanja wachache (hasa Warumi) katika kukamata na kupumbaza akili raia katika himaya zao, hii iliwarahisishia kujitanua na kutawala kwa uhakika zaidi.

Vibao vya mawe vya kale vya ‘Sumeria’ vinakadiriwa kuandikwa takriban miaka 3,000 kabla ya kuandikwa kwa biblia, na Biblia inakadiriwa kuandikwa miaka 2,000 baada ya kuandikwa kwa vibao vya mawe vya Sumeria.

Vibao vya Sumeria viligundulika miaka ya 1800 na watafiti wa mambo ya kale toka Uingereza katika ukanda wa ‘Assyria’; idadi ya hivyo vibao bi maelfu kwa maelfu, na kwakuwa lugha hiyo ni ya kale sana na imeshabadilika sana, ilichukua miaka mingi kuweza kutafsiri vilivyoandikwa kwenye vibao hivyo.

Miaka ya 1900 idadi kubwa ya vibao hivyo, ambavyo hadi miaka ya hivi karibuni tu vilikuwa vimefanywa siri na kufichwa katika majumba ya makumbusho ya uingereza, viliweza kutafsiriwa kwa ufasaha mkubwa sana, kilichokuwa kimeandikwa humo kilikuwa ni tishio na aibu kubwa kwa wezi wa maandiko walioandika biblia, hivyo kwa miongo yote hiyo hakuna aliyeweza kuambiwa kilichomo.

Miaka ya hivi karibuni watu wengi sana huko ulaya na Marekani walianza kupoteza hamu ya mambo yahusuyo kanisa na Ukristo kwa ujumla, hivyo hofu ya kuviweka hadharani vibao hivyo ikapungua, na baadhi japo ni vichache (vile ambavyo sio tishio sana) vimeanzwa kiwekwa wazi kwenye majumba ya makumbusho huko uingereza, kiasi hata kama wewe ni paroko wa kanisa flani, unaweza kuwachangisha waumini wako pesa ya tiketi na ukaenda kujionea mwenye kwa macho yako.

Hadithi zilizofanyiwa ‘plagiarism’ na ‘kughoshiwa’ na biblia ni nyingi, na nitazichambua nyingi kadri niwezavyo, ila moja iliyonipagawisha ni ile ya ‘Shetani’ kumshawishi Eva wafanye ngono na Adam, kitendo kilichomwogopesha na kumkera ‘Creator wa kwanza’ , Adam , Eva, na ‘Shetani walimchukiza sana.

Nyingine ni ile ya ‘Shetani’ kuwa muumbaji wa mwisho wa binadamu (alifanya kazi ya finishing) kwa kutagawia ‘DNA’ yake ya kimungu na kuwafanya binadamu kuwa na’Umungu ndani yao, hili pia lilimkera sana ‘Creator wa kwanza’, maana liliwapa binadamu uMungu na kumpa wivu sana, ni mungu mwenye wivu sana, shetani alimkera sana kwa kitendo hichi, na inawezekana adhabu yake na ya kwetu itakuwa kali sana mwishowe.

Nakunyw amaji nianze kuweka Hadithi kwa hadithi tena kwa undani.
Oya mwana ukiweka ni nistue fasta
 
Ukigusia sumeria moja kwa moja utakua unaenda kugusia theolojia ya unajimu sayansi takatifu ya kale huku ndio utakuta wa akina ANNUNAK ELOHIM ENK n.k uko unakotaka kugusia sijui kama kuna mtu atakuelewa maana inahtaji akili ya ziada
Kuna mdau anadai ushahidi, sasa sijui nimpe ushahidi wa namna gani
 
Ignorance is Bliss. wewe mada zako hua ni za kijinga jinga tu, sijawai kukuona umeandika jambo la maana humu.

Sawa ni hadithi za kughushi lakini je Ukristo unatoa impact gani kwenye jamii? Ukristo ndio dini pekee iliyo hai hapa duniani, zingine zote ni mfu, ndo maana mamilion ya watu walipaswa wawe wameshakufa lakini ukristo uliwaokoa kutoka kwenye vitanda vya vifo vyao.

Mungu akurehemu wewe ignorant.
Hapo sasa unamaanisha na msaafu una plagarism pia.. usiamini kila kitu unachosoma kwenye mtandao mkuu


Sasahivi tawala za wazungu wanafanya social engineering kubadili watu wasiamini katika uwepo wa Mungu.. ili iwe rahis kwao kufanya mambo yao bila kupingwa na jamii husika
 
Hapo sasa unamaanisha na msaafu una plagarism pia.. usiamini kila kitu unachosoma kwenye mtandao mkuu


Sasahivi tawala za wazungu wanafanya social engineering kubadili watu wasiamini katika uwepo wa Mungu.. ili iwe rahis kwao kufanya mambo yao bila kupingwa na jamii husika
Shida ni kwamba, hivyo vibao vipo maelfu kwa maelfu, na vipo vingi vinaendelewa kufukuliwa, sasa utasema walivipandikiza hivyo vibao miaka 3000 iliyopita? Pia nani kasema hivyo vibao vinaashiria kutokuwepo kwa Mungu? Sana sana vina-reinforce hiyo belief
 
Back
Top Bottom