Ulisikia wapi Anglican na Catholic hatuoani?Ungejiuliza kwanza Wwe hiyo Akili yako
,Ukristo wa Leo umewagawanya Watu na Kuwafamya Wawe na Chuki Kati Yao ,Mkatoliki hawawezi kuoana na Msabato, Msabato hataki kuolewa na Anglicana.
Mmegawanyika Hamna Umoja Wowote ule maana Mnasimamia Kitu kisicho na Ukweli ndani yake.
Hapa tuliopitia Archeology ndio tunaenda sawa!weka vituShida ni kwamba, hivyo vibao vipo maelfu kwa maelfu, na vipo vingi vinaendelewa kufukuliwa, sasa utasema walivipandikiza hivyo vibao miaka 3000 iliyopita? Pia nani kasema hivyo vibao vinaashiria kutokuwepo kwa Mungu? Sana sana vina-reinforce hiyo belief
Toa ushahidi wa hizo chuki za wazi wazi miongoni mwa waislam, uislam hauna madhehebu mengi kama unavyosema....zaidi kuna madhehebu yasiozidi manne kulingana na imamu wanayemfuata....inaonekana wewe ndi mwenye chuki na Uislam!Dini ipi ambayo haijagawanyika na haina chuki taja moja tu nami nitakuonyesha madhaifu with evidence. Ila usitaje uislam maana huo ndio uozo wa chuki miongoni mwao na hatari kuliko dini nyingjne maana wana madhehebu mengi na wana chuki wazi wazi kwa kuchapa hata dibaji kwenye kitabu chao kuonesha chuki ya kimadhehebu
Bsyotyo,Ok dini ni mfumo wa viumbe kuabudiwa,je Mungu baba mwenyewe anaabudiwa kupitia Nini?Hujaijua Mission yao tu. Angalia walivyowekeza ndio utajua. Si kwa ajili ya Mungu bali wao wenyewe
Ndio mjue kwamba kuna Tatizo hapo, si kwamba Tatizo halipo. Mungu hawezi kuabudiwa katika Dini Yeyote ile na Nyie muuane kwa mapanga kwa Ajili yake Yeye. Mungu mwenye vyote hayupo katika Dini. Dini ni mifumo ya Viumbe kuabudiwa
ni kufa ni adhabu,wakristo wanaompenda yesu hawafi?? death its just a nature perfection kwa kiumbe chochote sio binadamu pekeeIgnorance is Bliss. wewe mada zako hua ni za kijinga jinga tu, sijawai kukuona umeandika jambo la maana humu.
Sawa ni hadithi za kughushi lakini je Ukristo unatoa impact gani kwenye jamii? Ukristo ndio dini pekee iliyo hai hapa duniani, zingine zote ni mfu, ndo maana mamilion ya watu walipaswa wawe wameshakufa lakini ukristo uliwaokoa kutoka kwenye vitanda vya vifo vyao.
Mungu akurehemu wewe ignorant.
hujui dini ya kiislam ficha ujinga hadharani uislam una madhehebu zaidi ya 50Toa ushahidi wa hizo chuki za wazi wazi miongoni mwa waislam, uislam hauna madhehebu mengi kama unavyosema....zaidi kuna madhehebu yasiozidi manne kulingana na imamu wanayemfuata....inaonekana wewe ndi mwenye chuki na Uislam!
Ushajiuliza uislamu ulivyogawanyika au mpaka uambiwe.Nenda kafanye research kuna suni,kuna shia,kuna ansar wale wa Sudan,kuna sufi,kuna Ahmadiya.Hata ukoo wenu tu umegawanyika itakuwa hayo madhehebu mkuuUngejiuliza kwanza Wwe hiyo Akili yako
,Ukristo wa Leo umewagawanya Watu na Kuwafamya Wawe na Chuki Kati Yao ,Mkatoliki hawawezi kuoana na Msabato, Msabato hataki kuolewa na Anglicana.
Mmegawanyika Hamna Umoja Wowote ule maana Mnasimamia Kitu kisicho na Ukweli ndani yake.
Idadi ya watu waishio duniani ni sawa sawa kabisa na idadi ya watu ambao wamekufa iko hivyo haizidi wala haipungui.Is Carbon 14 accurate?
At least to the uninitiated, carbon dating is generally assumed to be a sure-fire way to predict the age of any organism that once lived on our planet. Without understanding the mechanics of it, we put our blind faith in the words of scientists, who assure us that carbon dating is a reliable method of determining the ages of almost everything around us. However, a little more knowledge about the exact ins and outs of carbon dating reveals that perhaps it is not quite as fool-proof a process as we may have been led to believe.
What is Carbon Dating?
At its most basic level, carbon dating is the method of determining the age of organic material by measuring the levels of carbon found in it. Specifically, there are two types of carbon found in organic materials: carbon 12 (C-12) and carbon 14 (C-14). It is imperative to remember that the material must have been alive at one point to absorb the carbon, meaning that carbon dating of rocks or other inorganic objects is nothing more than inaccurate guesswork.
All living things absorb both types of carbon; but once it dies, it will stop absorbing. The C-12 is a very stable element and will not change form after being absorbed; however, C-14 is highly unstable and in fact will immediately begin changing after absorption. Specifically, each nucleus will lose an electron, a process which is referred to as decay. This rate of decay, thankfully, is constant, and can be easily measured in terms of ‘half-life’.
Half-life refers to the amount of time it takes for an object to lose exactly half of the amount of carbon (or other element) stored in it. This half-life is very constant and will continue at the same rate forever. The half-life of carbon is 5,730 years, which means that it will take this amount of time for it to reduce from 100g of carbon to 50g – exactly half its original amount. Similarly, it will take another 5,730 years for the amount of carbon to drop to 25g, and so on and so forth. By testing the amount of carbon stored in an object, and comparing to the original amount of carbon believed to have been stored at the time of death, scientists can estimate its age.
So what’s the Problem?
Unfortunately, the believed amount of carbon present at the time of expiration is exactly that: a belief, an assumption, an estimate. It is very difficult for scientists to know how much carbon would have originally been present; one of the ways in which they have tried to overcome this difficulty was through using carbon equilibrium.
Equilibrium is the name given to the point when the rate of carbon production and carbon decay are equal. By measuring the rate of production and of decay (both eminently quantifiable), scientists were able to estimate that carbon in the atmosphere would go from zero to equilibrium in 30,000 – 50,000 years. Since the universe is estimated to be millions of years old, it was assumed that this equilibrium had already been reached.
However, in the 1960s, the growth rate was found to be significantly higher than the decay rate; almost a third in fact. This indicated that equilibrium had not in fact been reached, throwing off scientists’ assumptions about carbon dating. They attempted to account for this by setting 1950 as a standard year for the ratio of C-12 to C-14, and measuring subsequent findings against that.
Has it Worked?
In short, the answer is… sometimes. Sometimes carbon dating will agree with other evolutionary methods of age estimation, which is great. Other times, the findings will differ slightly, at which point scientists apply so-called ‘correction tables’ to amend the results and eliminate discrepancies.
Most concerning, though, is when the carbon dating directly opposes or contradicts other estimates. At this point, the carbon dating data is simply disregarded. It has been summed up most succinctly in the words of American neuroscience Professor Bruce Brew:
“If a C-14 date supports our theories, we put it in the main text. If it does not entirely contradict them, we put it in a footnote. And if it is completely out of date, we just drop it.”
What does this mean for Contemporary Carbon Dating?
Essentially, this means that carbon dating, though a useful tool, is not 100% reliable. For example, recently science teams at the British Antarctic Survey and Reading University unearthed the discovery that samples of moss could be brought back to life after being frozen in ice. The kicker? That carbon dating deemed the moss to have been frozen for over 1,500 years. Now, if this carbon dating agrees with other evolutionary methods of determining age, the team could have a real discovery on their hands. Taken alone, however, the carbon dating is unreliable at best, and at worst, downright inaccurate.
Archeology ni ka segment tu ndani ya AnthropologyHapa tuliopitia Archeology ndio tunaenda sawa!weka vitu
Sasa manne sio mengi mkuu,,Qurani si imekamilika kwa nini madhehebu manne.Toa ushahidi wa hizo chuki za wazi wazi miongoni mwa waislam, uislam hauna madhehebu mengi kama unavyosema....zaidi kuna madhehebu yasiozidi manne kulingana na imamu wanayemfuata....inaonekana wewe ndi mwenye chuki na Uislam!
Swadaktah
hujui dini ya kiislam ficha ujinga hadharani uislam una madhehebu zaidi ya 50
Don't give up dude.Daah, kwani shida nini mzee...? Kwani hivyo vibao vya Sumeria mimi ndio nimeviandika? Nioneeni huruma muda mwingine basi..
Ni kweli kabisaArcheology ni ka segment tu ndani ya Anthropology
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nani Kasema Uislam haujagawanyika.? Ukristo na Uislam zote ni Dini za Viumbe vinavyotaka Kuabudiwa. Hakuna Ukweli huko maana Mungu haabudiwi kwenye Dini Yeyote ile DunianiUshajiuliza uislamu ulivyogawanyika au mpaka uambiwe.Nenda kafanye research kuna suni,kuna shia,kuna ansar wale wa Sudan,kuna sufi,kuna Ahmadiya.Hata ukoo wenu tu umegawanyika itakuwa hayo madhehebu mkuu
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Kwanza Unatakiwa Kujua Kwamba Mungu si Baba. Maana Mungu si Kiumbe Awe na Jinsia.Bsyotyo,Ok dini ni mfumo wa viumbe kuabudiwa,je Mungu baba mwenyewe anaabudiwa kupitia Nini?
Imekuwa Ikifahamika kwa watu wa chache sana wenye maarifa na ujuzi katika miaka ya hivi karibuni (20th century), kwamba biblia ni masimulizi ya ‘Vibao vya mawe vya Sumeria’ vilivyo ‘ghoshiwa’ na wajanja wachache (hasa Warumi) katika kukamata na kupumbaza akili raia katika himaya zao, hii iliwarahisishia kujitanua na kutawala kwa uhakika zaidi.
Vibao vya mawe vya kale vya ‘Sumeria’ vinakadiriwa kuandikwa takriban miaka 3,000 kabla ya kuandikwa kwa biblia, na Biblia inakadiriwa kuandikwa miaka 2,000 baada ya kuandikwa kwa vibao vya mawe vya Sumeria.
Vibao vya Sumeria viligundulika miaka ya 1800 na watafiti wa mambo ya kale toka Uingereza katika ukanda wa ‘Assyria’; idadi ya hivyo vibao bi maelfu kwa maelfu, na kwakuwa lugha hiyo ni ya kale sana na imeshabadilika sana, ilichukua miaka mingi kuweza kutafsiri vilivyoandikwa kwenye vibao hivyo.
Miaka ya 1900 idadi kubwa ya vibao hivyo, ambavyo hadi miaka ya hivi karibuni tu vilikuwa vimefanywa siri na kufichwa katika majumba ya makumbusho ya uingereza, viliweza kutafsiriwa kwa ufasaha mkubwa sana, kilichokuwa kimeandikwa humo kilikuwa ni tishio na aibu kubwa kwa wezi wa maandiko walioandika biblia, hivyo kwa miongo yote hiyo hakuna aliyeweza kuambiwa kilichomo.
Miaka ya hivi karibuni watu wengi sana huko ulaya na Marekani walianza kupoteza hamu ya mambo yahusuyo kanisa na Ukristo kwa ujumla, hivyo hofu ya kuviweka hadharani vibao hivyo ikapungua, na baadhi japo ni vichache (vile ambavyo sio tishio sana) vimeanzwa kiwekwa wazi kwenye majumba ya makumbusho huko uingereza, kiasi hata kama wewe ni paroko wa kanisa flani, unaweza kuwachangisha waumini wako pesa ya tiketi na ukaenda kujionea mwenye kwa macho yako.
Hadithi zilizofanyiwa ‘plagiarism’ na ‘kughoshiwa’ na biblia ni nyingi, na nitazichambua nyingi kadri niwezavyo, ila moja iliyonipagawisha ni ile ya ‘Shetani’ kumshawishi Eva wafanye ngono na Adam, kitendo kilichomwogopesha na kumkera ‘Creator wa kwanza’ , Adam , Eva, na ‘Shetani walimchukiza sana.
Nyingine ni ile ya ‘Shetani’ kuwa muumbaji wa mwisho wa binadamu (alifanya kazi ya finishing) kwa kutagawia ‘DNA’ yake ya kimungu na kuwafanya binadamu kuwa na’Umungu ndani yao, hili pia lilimkera sana ‘Creator wa kwanza’, maana liliwapa binadamu uMungu na kumpa wivu sana, ni mungu mwenye wivu sana, shetani alimkera sana kwa kitendo hichi, na inawezekana adhabu yake na ya kwetu itakuwa kali sana mwishowe.
Nakunyw amaji nianze kuweka Hadithi kwa hadithi tena kwa undani.
==============================
Hadithi ya kwanza: Post no. 45
Unaongea yooote haya halafu hakuna hata kimoja kati ya hivyo ulivyotupa ujuzi wake.Ukiona mambo ya Mungu huyajui tafuta uchawi utaelewa mambo ya roho yalivyo ,
unapoteza mda kwa vitu usivyovijua