Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

Kwahiyo kitu kilichoandikwa miaka 5000 iliyopita kikigunduliwa leo kinakuwa cha leo na sio cha miaka 5000 iliyopita?
 
Wahi Mirembe kichwani hakuko sawa
 
Kwahiyo kitu kilichoandikwa miaka 5000 iliyopita kikigunduliwa leo kinakuwa cha leo na sio cha miaka 5000 iliyopita?
Mimi nazungumzia wataalamu wanaogundua plagiarism mwaka 1800 kwenye maandiko ya zamani ambayo yameandikwa mamilioni ya miaka iliyopita na si rahisi kujua nani alikuwa mwandishi wake. Na kama hujui original writer hiyo plagiarism utai'justify' namna gani?
 
Mleta mada leta kitabu chako ulianza kuandika mwenyewe tukufuate ule sadaka na sifa tele tele.
Maana uzi wako hauna afya ya akili.
 
Kwahiyo kitu kilichoandikwa miaka 5000 iliyopita kikigunduliwa leo kinakuwa cha leo na sio cha miaka 5000 iliyopita?
Twende kwenye swali la msingi, nililoulizwa. Je, unaweza ku establish plagiarism kwenye maandishi ambayo "original authors" are unknown? Labda tuanzie hapa. Nasubiri jibu.
 
Twende kwenye swali la msingi, nililoulizwa. Je, unaweza ku establish plagiarism kwenye maandishi ambayo "original authors" are unknown? Labda tuanzie hapa. Nasubiri jibu.
Mtu akiandika kitabu leo, halafu miaka miwili baadae ukaja kuandika content ile ile labda kwa lugha nyingine, hiyo ni Plagiarism tayari, huitaji kuestablish chochote..
 
Mtu akiandika kitabu leo, halafu miaka miwili baadae ukaja kuandika content ile ile labda kwa lugha nyingine, hiyo ni Plagiarism tayari, huitaji kuestablish chochote.

Mtu akiandika kitabu leo, halafu miaka miwili baadae ukaja kuandika content ile ile labda kwa lugha nyingine, hiyo ni Plagiarism tayari, huitaji kuestablish chochote..
Hili ndilo jibu la swali langu au umeuliza kwanza kabla ya kunijibu?
 
Hili ndilo jibu la swali langu au umeuliza kwanza kabla ya kunijibu?
Umetaka niestablish ‘plagiarism’, sasa biblia imeandika kitu kilichoandikwa takriban miaka 2,000 kabla yake kwa lugha tofauti, unataka niestablish nini, hilo ni jibu.
 
Umetaka niestablish ‘plagiarism’, sasa biblia imeandika kitu kilichoandikwa takriban miaka 2,000 kabla yake kwa lugha tofauti, unataka niestablish nini, hilo ni jibu.
Kwa hiyo, kama iliandikwa miaka 2000 iliyopita ndiyo justification ya plagiarism? Mfano, kwenye makabila almost yote yana creation stories zenye elements 3: God, humans and the world. Je, utasema kwa mfano kabila lenu limefanya plagiarism ya creation story kutoka kabila gani au jamii gani ya watu?
 
Ukitoa Credit toka kwenye source, hiyo sio Plagiarism. Waandishi wa vitabu vya bible walidanganya na kusema wameshushiwa na malaika hizo taarifa, badala ya kusema source yao ya vibao vya Sumeria na kutoa Credit kwenye reference
 
Ukitoa Credit toka kwenye source, hiyo sio Plagiarism. Waandishi wa vitabu vya bible walidanganya na kusema wameshushiwa na malaika hizo taarifa, badala ya kusema source yao ya vibao vya Sumeria na kutoa Credit kwenye reference
Taarifa zipi mfano au taarifa zote ndizo plagiarism? Unawezaje kutoa "wholesale blanket statement" hivyo bila hata kuonyesha hiyo plagiarism na kuonyesha kuwa text X ni ya fulani na waandishi wa Biblia wame'plagiatise' hivi na hivi? Vinginevyo, nitaamini ni umbea tu. Na ume'cross-check' facts zako au umeamini tu kwamba hao watafiti wa Uingereza ndio wanaosema ukweli na waandishi wa Biblia wote ndio walio plagiarise? Lete justification kama si umbeya.
 
Soma post no. 44 ili kuona mfanano
 
Hakuna jambo baya kama kutolijua jambo na kukomaa kama unalijua huku ukitumia kutokujua kwako kuwapoteza ama kuwachanganya wengine, ukiuliza utapungukiwa nini kwanini uje kama unajua wakati hujui..
 
Soma post no. 44 ili kuona mfanano
Mfanano ndiyo plagiarism au plagiarism ni kunakiri kazi ya mtu mwingine bila attribution? Pili utawezaje kusema waandishi wa Biblia wali'plagirise
Ngoja nikuulize ulishasoma creation stories za makabila ya hata Tanzania au hata nchi jirani ukakuta hakuna similarities - mfano, kwa fundamentals kama origin of the universe and humans. I have a collection of these narratives kwa sababu I studied social and cultural anthropology na kwangu sioni proof kwamba kuna plagiarism, isipokuwa jamii zote duniani zinaamini kwamba Mungu yupo na kwamba mwanzoni binadamu walikuwa wakiishi na Mungu (kama ilivyo kwa narrative ya kwenye Biblia na kuna nyingi tu zinafanana na hii, kisha something happened na ukawepo umbali kati ya Mungu meanadamu. Sababu za ku'dissapear' - Malawi ni binadamu kugundua moto (kuanza kuharibu mazingira): Rwanda ni mwanamke kuficha kifo kwenye gauni; Ukerewe ni kwa sababu tofauti kati ya mwendo wa nyoka na kinyonga, kinyonga ambaye akipewa kwanza ujumbe wa uzima alichelewa kufikisha ujumbe huo kwa wanadamu na nyoka ambaye alikuwa na ujumbe wa mauti kwa sababu ya kutembea haraka alifika akaddliver ujumbe wake kwanza, kabla mjumbe wa kwanza hajafika etc. Matokeo yake ndiyo maana watu wanakufa. Na narratives hizi zote zinaelezea kitu fulani katika jamii zetu - how people perceive the cause of life/death etc. Kuna hata baadhi ya makabila mila zao zinakadibiana, lakini hawana uhusiano. Mfano, Wabemba (Zambia) wana mila mtu akifariki inaitwa 'ubupyanyi' na mila hii inafanana na mila almost inayofanyika kwa namna ileile katika makabila ya Wajita, Wakara, Wakerewe etc. wakati makabila haya hayana uhusiano wowote. Kwako hiyo ungeita plagiarism, siyo?
 
Mfanano sio Plagiarism, maana kitu kile kile kinaweza kuandikwa kwa lugha hata 100 tofauti, ila so as long as umeoata taarifa au maandiko kwenye kitabu flani, na hujatoa credit ya wapi umefanya referrence, badala yake unasema umeshushiwa na malaika, hiyo ni ‘Plagiarism’.

Kwa kusoma hicho kibao cha kwanza nilichoweka kuhusu uumbaji, utaona kabisa kwamba wamechukua reference kwenye hivyo vibao bila kutoa credit.
 
Kwa hiyo, ukiokota tu kibao huko ukaona kinafanana na yaliyo kwenye Biblia kwako ndiyo ushahidi wa plagiarism? Halafu unaweza kusema waandishi wa Biblia wao walitoka nchi gani?
 
Kwa hiyo, ukiokota tu kibao huko ukaona kinafanana na yaliyo kwenye Biblia kwako ndiyo ushahidi wa plagiarism? Halafu unaweza kusema waandishi wa Biblia wao walitoka nchi gani?
Mkuu Huyo Kiazi mbatata Hana uwezo WA kujibu great thinker,,ni mtu anaeongozwa na hisia,,ujuaji na ubishi wa kahawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…