Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Mkuu kama upo tayari mm nitajitolea kukuelimisha usiseme ni utumwa mna ata ktka nchi kuna katiba ambayo tunaifuata na inatukataza mengi tu kwaio kama upo tayari mm nitakuelimisha
Hatuta kaa tufikie consensus maana wewe reference zako utakuja na hivyo vitabu vilivyofunga akili yako na vilivyobeba mila na desturi za hao wajanja wa middle east wanaotaka tufuate zao na tuache vyetu.

Kilichotuponza waafrika Tulipewa Lugha nyingi na mila nyingi kuliko wao lakini tukanyimwa maadishi hivyo tukashindwa kuandika kumbukumbu ya mila zetu za asili na dini zetu kwenye vitabu

Ukienda Asia yoote kuanzia uchina, india, bangaladeshi nepal, uarabuni, izrael nk kila mmoja amepewa maandishi yake ya asili na waliweza kutunza kumbukumbu ya mila zao , tamaduni zao na ndizo hizo wanazotulazimisha tuzifuate kwa kutudanganya zilishushwa na Mungu kwa ajili yetu.

Jinsi tunavyoacha zetu na kufanya matambiko (ibada zao) ndivyo wanavyoendelea kuwa stong na sisi kuendelea kuwa weak kwa kuacha matambiko ( ibada zetu) na kufuata za kigeni
 
Kama dini inavyohalalisha kula hiyo nyama endapo tu umekabiliwa na njaa kali ndivyo hivyohivyo endapo utakabiliwa na ugonjwa utakaoweza kusababisha kifo chako, uisilamu unakataza kula, kupandikiza siyo kula.
 
Insulin, ACTH are drugs from pig. Ulishawahi kusikia waislam wameacha kutumia insulin?.
 
Ndio dini ya kiislamu inaruhusu kula nguruwe kwa ajili ya kuokoa maisha ya m.damu endapo hakuna chakula kwa wakati ule lkn asile kwa kushiba bali ale kwa kiasi tu ili asijepatwa na mauti
Hakuna kitu hapo ni usanii mtupu..mtu mwenye akili atajua tu kua hapa ni janja janja tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wajinga ni nyinyi mnaomuita nabii Mungu eti yesu ni Mungu

Wajinga ni nyinyi mnaoingia mahali patakatifu na viatu na nguo za ajabu
Leta hoja..isije kua wewe ndio mjinga zaidi yao...kwenye hoja za namna hii hua hatutukanani tunawekeana vifungu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Uko sawa kabisa..ila wafia dini hawata kuelewe..mana wengi ni vilaza na misukule.

#MaendeleoHayanaChama
 
Upuuzi ni dini yako na madhehebu yake
Siamini hayo makitu yaliyoletwa na wazungu na waarabu ili kuwapumbaza waafrika! Kwanza hayo madini yenu ndiyo yalitumika kama agents namba moja kueneza ukoloni, utumwa na kila aina ya maumivu kwa babu zetu!! Mungu wa Israel hawezi kuwa Mungu wangu, vile vile Mungu wa Saudia hawezi kuwa Mungu wangu
 
Upo sawa mkuu, dini tumeletewa.
 
Wewe ni "Great thinker"
 
Waislam hawali nguruwe lakini hawaruhusiwi kumuuwa bila ya sababu, ukijua hilo hutasumbuka
 
Uislamu haujaweka ugumu kwenye mausha ila binadamu ndio tunaweka ugumu.
Hivi ukiwekewa hio figo unaishi milele au unasogeza tu tarehe?
 
Sawa kama huamini m sikulazimishi ila m nitakua shuhuda mbele ya Mungu kua nilitaka kukufundisha ukakataa
 
Mnyama gani uyo ety akishikwa na njaa ata mwanae anamla yni yy kila kitu anakula
mnyama gni asokua na huruma na mwanae ivi ww m.damu ukishikwa na njaa ushawahi kumla mwanao. Yni mambo mengine ni kutumia ubongo wako tuu hlf ukaamua
 
Sio Quran ni hadithi,
Actually inaruhusu kula chochote unapokuwa kwenye emegencies. under extreme emegiencies unaruhisiwa hata kula sehem yako ili usogeze siku za kuishi. Ndo maana mnaambiwa uislam ni dini iliyokamilika.
Under emegencies haram inageuka halali, hata talaka ni halali inayochukiza
[emoji2960][emoji2960][emoji2960] watasema "kila mtu atakufa tu" ila ukiumwa wewe hakuna wingi.

Nasikia Qur'an inaruhusu kula [emoji200] ukiwa kwenye hali ya kufa ili kuyaokoa maisha yako.

FaizaFoxy Bwana Utam STRUGGLE MAN
Ufafanuzi tafadhali
 
Ni kweli dini tumeletewa ila hyo statement hai justify kudharau dini ya mwengine hata kama ukiwa atheist
 
Uislamu sivyo kama unavyofikiria wewe.Uislamu umekataza kula nguruwe,lakini ikiwa hakuna chakula kingine,na utakufa kwa njaa,unaruhusiwa kula ili usife na njaa.Kwa ufupi katika uislamu,kukiwa na dharura,ya kuweza kufariki,unaruhusiwa kuondoa kifo,kumponya aliye na tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…